Shirika kupambana na wizi mtandaoni
SHIRIKA linaloshughulikia usalama mitandaoni, Cyber Security and Digital Forensics Investigation Expert, limeeleza kuunganisha nguvu na polisi wa visiwa vya Falme ya Solomon, ili kupambana na wizi wa mtandaoni. Akizungumza na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Wengi walia na wizi wa mtandaoni
Imetolewa hadhari juu ya kukithiri kwa vitendo vya wizi wa fedha kupitia mitandao ambao umesababisha hasara kubwa kwa taasisi za fedha, kampuni na hata watu binafsi.
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Mwarobaini wa wizi mtandaoni upatikane
KUTOKANA na maisha ya usasa duniani yamesababisha utumiaji mkubwa wa teknolojia za kisasa. Hivyo ni muhimu kuwepo na ulinzi walau kuweza kudhibiti maeneo nyeti ambayo yakiachwa yanaweza kusababisha hasara kubwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09UucIyvyvl7wLjB-REgOAZWlv7QaNlnryUxVqD2mPPU7n0wNi7AQ876Fjo9UW*T0e1Cho61VJqSHaG63Li3H-KO/2.jpg)
NJEMBA ANASWA WIZI WA FEDHA ZA MTANDAONI
Stori: MASHAKA KISUSI,MWANZA/Risasi
JAMAA aliyetambulika kwa jina moja la Jacob, mkazi wa Majengo wilayani Misungwi, Mkoani Mwanza, amejikuta yuko mikononi mwa polisi wakati akifanya jaribio la wizi wa fedha sh. 70, 000 kupitia huduma za fedha za mtandao wa simu. Kijana Jacob anayedaiwa kuiba kwa kutumia…
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Wizi wa mtandaoni: Uhalifu mpya unaotishia miamala ya fedha
Miaka mitano iliyopita uhalifu wa mtandaoni haukuwapo. Hakuna aliyefahamu madhara yake moja kwa moja, kwa kuwa matukio mengi yalikuwa yanatokea nchi za Ulaya na Marekani na kidogo Kenya.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A1NfACf-qds/Vo0Sdu9CH0I/AAAAAAADEkU/0QeMUPJnrzk/s72-c/images.png)
TRA KUPAMBANA NA WIZI WA KAZI ZA WASANII
![](http://3.bp.blogspot.com/-A1NfACf-qds/Vo0Sdu9CH0I/AAAAAAADEkU/0QeMUPJnrzk/s640/images.png)
Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) imesema itaendelea kupambana na wale wote watakaogundulika kwa wizi wa kazi za sanaa.
Agizo hilo limetolewa na Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Alphayo Kidata alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari na kueleza kuwa wapo katika operesheni ya kukamata wezi wa kazi za sanaa .
"Ipo kamati ambayo inajumuisha wadau kama Bodi ya Filamu, Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na COSOTA ikishirikiana na Jeshi la Polisi katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hA1izSRLkQ0/Xq5_PIdyCtI/AAAAAAAAM0A/DTAVajsgMhcDXJiriL0hSUOEV4YTdQwMQCLcBGAsYHQ/s72-c/K%2B3.jpg)
SHIRIKA LA MWEDO LAKABIDHI MISAADA KUPAMBANA NA CORONA ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hA1izSRLkQ0/Xq5_PIdyCtI/AAAAAAAAM0A/DTAVajsgMhcDXJiriL0hSUOEV4YTdQwMQCLcBGAsYHQ/s640/K%2B3.jpg)
Katibu Tawala mkoa wa Arusha,Richard Kwitega(katikati) akimsikiliza Mkurugenzi wa shirika la Maasai Women Development Organization(MWEDO),Ndinini Kimesera(kulia) walipokabidhi misaada mbalimbali ya usafi kwaajili ya kuunga mkono juhudi za kukabiliana na ugonjwa wa corona,kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Mwedo,Dk Eliamani Laltaika.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7O161su5HQ4/Xq5_TRngLzI/AAAAAAAAM0E/ChGfYgsSCscRK9D5LLxQkE1cs83KtxZrACLcBGAsYHQ/s640/K%2B4.jpg)
Katibu Tawala mkoa wa Arusha,Richard Kwitega(kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa shirika la Maasai Women Development Organization(MWEDO),Ndinini Kimesera(wa tatu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuullGSEgvqkBIWGieJBj2pnnh7nv2ZzpegAKRa*qxdMENAs6-J32p3BVFBeT8X5z6fmVsc-JpUEfRDwNvSJOO451r/keneyttra.jpg?width=650)
WAKUU WA SHIRIKA LA KUPAMBANA NA UFISADI NCHINI KENYA WASIMAMISHWA KAZI
Rais wa serikali ya Kenya, Uhuru Kenyatta. Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amewasimamisha kazi wakuu wawili wa shirika linalopambana na ufisadi nchini humo, siku moja tu baada ya bunge kupitisha mswaada inaowalaumu kwa uzembe na utepetevu. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa msemaji wa Ikulu ya Rais Manoah Esipisu, tume ya maadili na kupambana na ufisadi, itaendelea na kazi yake licha ya kusimamishwa kwa wakuu hao wawili. Wakuu hao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-46UH3R1cmsk/XmpL_IgIL3I/AAAAAAALi0I/ZJWXOjbLwUQsPtBO83v0ULRZzfkkf6kXgCLcBGAsYHQ/s72-c/5bc0769b-75aa-4d53-b0ed-c806e679aab7.jpg)
SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LAPONGEZA JUHUDI ZA TANZANIA KATIKA KUPAMBANA NA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Na Said Mwishehe, Michuzi Blogu ya jamii
KAIMU Kamishina Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za kulevya nchini James Kaji amesema kuwa Tanzania imefanikiwa kupunguza kwa asilimia 90 uingizwaji wa dawa za kulevya nchini kupitia ukanda wa Bahari ya Hindi na kwamba Serikali ya Awamu ya Tano imepongezwa na Umoja wa Mataifa kupitia Shirika lake la UNODC linaloshughulika na dawa hizo na uhalifu kutokana na kutambua juhudi zake katika kukomesha biashara hiyo.
Akizungumza leo...
KAIMU Kamishina Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za kulevya nchini James Kaji amesema kuwa Tanzania imefanikiwa kupunguza kwa asilimia 90 uingizwaji wa dawa za kulevya nchini kupitia ukanda wa Bahari ya Hindi na kwamba Serikali ya Awamu ya Tano imepongezwa na Umoja wa Mataifa kupitia Shirika lake la UNODC linaloshughulika na dawa hizo na uhalifu kutokana na kutambua juhudi zake katika kukomesha biashara hiyo.
Akizungumza leo...
11 years ago
MichuziSHIRIKA LA NELICO NA MABARAZA YA WATOTO WILAYA YA GEITA WAFANYA ZIARA YA KIMAFUNZO KATIKA SHIRIKA LA KIVULINI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania