Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwarobaini wa wizi mtandaoni upatikane

KUTOKANA na maisha ya usasa duniani yamesababisha utumiaji mkubwa wa teknolojia za kisasa. Hivyo ni muhimu kuwepo na ulinzi walau kuweza kudhibiti maeneo nyeti ambayo yakiachwa yanaweza kusababisha hasara kubwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mwarobaini wizi wa simu wapatikana

WEZI wa simu nchini watakuwa na wakati mgumu baada ya programu maalumu kubuniwa. Programu hiyo inaweza kulinda taarifa zote za simu ya mteja pamoja na simu yenyewe pindi ikiibwa, ambapo mwizi ataweza hadi kupigwa picha bila mwenyewe kutambua.

 

11 years ago

Mwananchi

Wengi walia na wizi wa mtandaoni

Imetolewa hadhari juu ya kukithiri kwa vitendo vya wizi wa fedha kupitia mitandao ambao umesababisha hasara kubwa kwa taasisi za fedha, kampuni na hata watu binafsi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shirika kupambana na wizi mtandaoni

SHIRIKA linaloshughulikia usalama mitandaoni, Cyber Security and Digital Forensics Investigation Expert, limeeleza kuunganisha nguvu na polisi wa visiwa vya Falme ya Solomon, ili kupambana na wizi wa mtandaoni. Akizungumza na...

 

10 years ago

GPL

NJEMBA ANASWA WIZI WA FEDHA ZA MTANDAONI

Stori: MASHAKA KISUSI,MWANZA/Risasi
JAMAA aliyetambulika kwa jina moja la Jacob, mkazi wa Majengo wilayani Misungwi, Mkoani Mwanza, amejikuta yuko mikononi mwa polisi wakati akifanya jaribio la wizi wa fedha sh. 70, 000 kupitia huduma za fedha za mtandao wa simu. Kijana Jacob anayedaiwa kuiba kwa kutumia…

 

11 years ago

Mwananchi

Wizi wa mtandaoni: Uhalifu mpya unaotishia miamala ya fedha

Miaka mitano iliyopita uhalifu wa mtandaoni haukuwapo. Hakuna aliyefahamu madhara yake moja kwa moja, kwa kuwa matukio mengi yalikuwa yanatokea nchi za Ulaya na Marekani na kidogo Kenya.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwarobaini sukari ya magendo waja

Serikali imeunda kikosi kazi kinachoratibiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kujumuisha Mamlaka ya bandari na vyombo vya ulinzi na usalama ili kudhibiti sukari inayoingia kwa njia za bandari zisizo rasmi.

 

11 years ago

Mwananchi

Katiba Mpya na mwarobaini wa ufisadi

Kwa miaka 50 sasa, taifa letu limeshuhudia ufisadi wa kutisha, huku baadhi ya viongozi wakijilimbikizia mali kwa upande mmoja na Watanzania wakiendelea kuishi katika lindi la umaskini kwa upande mwingine.

 

11 years ago

Mwananchi

Sumaye: Hotuba ya JK itakuwa mwarobaini

Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amesema hotuba ya Rais Jakaya Kikwete anayotarajiwa kuitoa katika Bunge Maalumu la Katiba itaondoa hofu kwa wajumbe dhidi ya kutenda kinyume na misimamo ya vyama au vikundi wanavyotoka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani