Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumaye: Hotuba ya JK itakuwa mwarobaini

Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amesema hotuba ya Rais Jakaya Kikwete anayotarajiwa kuitoa katika Bunge Maalumu la Katiba itaondoa hofu kwa wajumbe dhidi ya kutenda kinyume na misimamo ya vyama au vikundi wanavyotoka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Katiba Mpya na mwarobaini wa ufisadi

Kwa miaka 50 sasa, taifa letu limeshuhudia ufisadi wa kutisha, huku baadhi ya viongozi wakijilimbikizia mali kwa upande mmoja na Watanzania wakiendelea kuishi katika lindi la umaskini kwa upande mwingine.

 

9 years ago

Habarileo

Mwarobaini wizi wa simu wapatikana

WEZI wa simu nchini watakuwa na wakati mgumu baada ya programu maalumu kubuniwa. Programu hiyo inaweza kulinda taarifa zote za simu ya mteja pamoja na simu yenyewe pindi ikiibwa, ambapo mwizi ataweza hadi kupigwa picha bila mwenyewe kutambua.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwarobaini sukari ya magendo waja

Serikali imeunda kikosi kazi kinachoratibiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kujumuisha Mamlaka ya bandari na vyombo vya ulinzi na usalama ili kudhibiti sukari inayoingia kwa njia za bandari zisizo rasmi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwarobaini wa wizi mtandaoni upatikane

KUTOKANA na maisha ya usasa duniani yamesababisha utumiaji mkubwa wa teknolojia za kisasa. Hivyo ni muhimu kuwepo na ulinzi walau kuweza kudhibiti maeneo nyeti ambayo yakiachwa yanaweza kusababisha hasara kubwa...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Gesi si mwarobaini wa umasikini, kazi shambani

Gesi si mwarobaini wa umasikini, kazi shambani Zitto Kabwe Toleo la 367  20 Aug 2014 Rais Kikwete na Waziri Muhongo TANZANIA kama ilivyo kwa Bara la Afrika ni miongoni mwa nchi zenye uchumi unaokua kwa kasi. Inakadiriwa kwamba kati ya mwaka 2012 mpaka 2017 katika nchi kumi zenye uchumi unaokua kwa kasi zaidi, sita zitakuwa zinatoka Bara la Afrika. Tanzania ni moja ya nchi hizo, nyingine ni Rwanda, Angola, Chad, Ethiopia na Equatorial Guinea.

Angola, Equatorial...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utafutwe mwarobaini wa watu kutokupiga kura

TUMESHUHUDIA uchaguzi wa Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa ukimalizika huku wananchi 29,541 pekee wakijitokeza kupiga kura wakati idadi kamili ya waliopaswa kupiga kura ikiwa ni 71,964. Hesabu hiyo ni sawa...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi waja na mwarobaini wa mabomu nyumba za ibada

Jeshi la Polisi limeanza kutekeleza mkakati kabambe wa ulinzi kwa kuhamasisha makanisa na misikiti nchini, kuunda kamati za ulinzi na usalama ili kujihami na vitendo mbalimbali vya uhalifu ikiwamo ulipuaji wa mabomu.

 

11 years ago

Mwananchi

Lipumba atoa mwarobaini kuzuia nakisi ya bajeti

Bajeti inayotarajiwa kuwasilishwa hivi karibuni bungeni Dodoma haitakuwa na manufaa yoyote kwa Watazania, iwapo Serikali haitakuwa tayari kupunguza nakisi inayotokana na matumizi makubwa yasiyokuwa ya lazima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani