Polisi waja na mwarobaini wa mabomu nyumba za ibada
Jeshi la Polisi limeanza kutekeleza mkakati kabambe wa ulinzi kwa kuhamasisha makanisa na misikiti nchini, kuunda kamati za ulinzi na usalama ili kujihami na vitendo mbalimbali vya uhalifu ikiwamo ulipuaji wa mabomu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Mwarobaini sukari ya magendo waja
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Wizi kwenye nyumba za ibada
WIZI ni tendo la tabia ya kuiba, vivyo hivyo udokozi kwa kuchukua kitu au mali ya mtu mwingine bila ridhaa yake. Ni kitendo cha kihuni kinachoendana na tabia mbaya, yaani...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1fyExb0OmHQ/VmbmrtG3UwI/AAAAAAAIK-0/rgXJxwpJspM/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Polisi waja na mpango wa kuboresha usalama kwenye jamii
![](http://2.bp.blogspot.com/-1fyExb0OmHQ/VmbmrtG3UwI/AAAAAAAIK-0/rgXJxwpJspM/s400/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Jeshi la polisi nchini, limeanzisha mpango wa kuboresha usalama wa jamii nchi nzima ambao unalenga kuboresha utoaji wa huduma bora kwa wananchi, kuboresha mawasiliano ya ndani na nje ya Jeshi la polisi kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali wa usalama ambapo mpango huo utaanza kutekelezwa katika mkoa wa kipolisi kinondoni ambapo lengo lake ni kupunguza uhalifu kwa asilimia kumi ifikapo mwaka 2019.
Akihitimisha maabara ya mpango huo iliyofanya kazi kwa...
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Serikali isipeleke siasa katika nyumba za ibada
10 years ago
Habarileo09 Feb
Waaswa kutotumia nyumba za ibada kunadi wagombea
VIONGOZI wa madhehebu mbalimbali ya dini nchini wametakiwa kuacha tabia ya kuwakumbatia na kuwanadi baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi mbele ya waumini wao kwa kutumia nyumba za ibada.
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Mdhibiti mtoto kuvaa mavazi ya ovyo nyumba za ibada
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Polisi wakamata mabomu ya kivita Z’bar
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/s7s9Z08DG1xh4yl1OR-FxRRGoJVkSONp*oYpxr1vQN4jlbCBbZqy5oCqtLpdgEbUKGVRceVi2eaJS5Tg0z--IwNxOW8v2j6z/polisi.jpg?width=650)
POLISI: TUMEMNASA KIJANA NA MABOMU KUMI
11 years ago
Habarileo17 Jul
Polisi watumia mabomu kutuliza ghasia
JESHI la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi kutuliza ghasia zilizoibuka baina ya wakazi wa eneo la Bahari-Motors, Kijitonyama, wilayani Kinondoni jijini hapa. Ghasia hizo zilitokana na kuchukuliwa kwa magari ambayo yalikuwa yameegeshwa katika gereji iliyopo eneo hilo.