Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gesi si mwarobaini wa umasikini, kazi shambani

Gesi si mwarobaini wa umasikini, kazi shambani Zitto Kabwe Toleo la 367  20 Aug 2014 Rais Kikwete na Waziri Muhongo TANZANIA kama ilivyo kwa Bara la Afrika ni miongoni mwa nchi zenye uchumi unaokua kwa kasi. Inakadiriwa kwamba kati ya mwaka 2012 mpaka 2017 katika nchi kumi zenye uchumi unaokua kwa kasi zaidi, sita zitakuwa zinatoka Bara la Afrika. Tanzania ni moja ya nchi hizo, nyingine ni Rwanda, Angola, Chad, Ethiopia na Equatorial Guinea.

Angola, Equatorial...

Zitto Kabwe, MB

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Sumaye ataka gesi ifute umasikini

Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick SumayeALIYEKUWA Waziri Mkuu, Frederick Sumaye, amesema Watanzania na wananchi wa mataifa ambako kumegundulika gesi na mafuta, wanapaswa kufahamu hatma ya kuondoa umasikini wa nchi yao, iko mikononi mwao.

 

11 years ago

Habarileo

Utafiti wa gesi Z. Tanganyika kazi ngumu-Muhongo

Profesa Sospeter MuhongoWAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema utafiti wa mafuta na gesi katika Ziwa Tanganyika ni mgumu kama wa baharini, tofauti na utafiti kama huo katika nchi kavu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke ajinyonga shambani Tabata

Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Irene Ibrahim (22), mkazi wa Tabata Kisukuru manispaa ya Ilala, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

 

9 years ago

Habarileo

Mwarobaini wizi wa simu wapatikana

WEZI wa simu nchini watakuwa na wakati mgumu baada ya programu maalumu kubuniwa. Programu hiyo inaweza kulinda taarifa zote za simu ya mteja pamoja na simu yenyewe pindi ikiibwa, ambapo mwizi ataweza hadi kupigwa picha bila mwenyewe kutambua.

 

11 years ago

Mwananchi

Katiba Mpya na mwarobaini wa ufisadi

Kwa miaka 50 sasa, taifa letu limeshuhudia ufisadi wa kutisha, huku baadhi ya viongozi wakijilimbikizia mali kwa upande mmoja na Watanzania wakiendelea kuishi katika lindi la umaskini kwa upande mwingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwarobaini sukari ya magendo waja

Serikali imeunda kikosi kazi kinachoratibiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kujumuisha Mamlaka ya bandari na vyombo vya ulinzi na usalama ili kudhibiti sukari inayoingia kwa njia za bandari zisizo rasmi.

 

11 years ago

Mwananchi

Sumaye: Hotuba ya JK itakuwa mwarobaini

Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amesema hotuba ya Rais Jakaya Kikwete anayotarajiwa kuitoa katika Bunge Maalumu la Katiba itaondoa hofu kwa wajumbe dhidi ya kutenda kinyume na misimamo ya vyama au vikundi wanavyotoka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwarobaini wa wizi mtandaoni upatikane

KUTOKANA na maisha ya usasa duniani yamesababisha utumiaji mkubwa wa teknolojia za kisasa. Hivyo ni muhimu kuwepo na ulinzi walau kuweza kudhibiti maeneo nyeti ambayo yakiachwa yanaweza kusababisha hasara kubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani