Gesi si mwarobaini wa umasikini, kazi shambani
Gesi si mwarobaini wa umasikini, kazi shambani
Zitto Kabwe
Toleo la 367 20 Aug 2014
TANZANIA kama ilivyo kwa Bara la Afrika ni miongoni mwa nchi zenye uchumi unaokua kwa kasi. Inakadiriwa kwamba kati ya mwaka 2012 mpaka 2017 katika nchi kumi zenye uchumi unaokua kwa kasi zaidi, sita zitakuwa zinatoka Bara la Afrika. Tanzania ni moja ya nchi hizo, nyingine ni Rwanda, Angola, Chad, Ethiopia na Equatorial Guinea.
Angola, Equatorial...
Zitto Kabwe, MB
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Sep
Sumaye ataka gesi ifute umasikini
ALIYEKUWA Waziri Mkuu, Frederick Sumaye, amesema Watanzania na wananchi wa mataifa ambako kumegundulika gesi na mafuta, wanapaswa kufahamu hatma ya kuondoa umasikini wa nchi yao, iko mikononi mwao.
11 years ago
Michuzi18 May
11 years ago
Habarileo21 Jun
Utafiti wa gesi Z. Tanganyika kazi ngumu-Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema utafiti wa mafuta na gesi katika Ziwa Tanganyika ni mgumu kama wa baharini, tofauti na utafiti kama huo katika nchi kavu.
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Mwanamke ajinyonga shambani Tabata
Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Irene Ibrahim (22), mkazi wa Tabata Kisukuru manispaa ya Ilala, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
9 years ago
Habarileo01 Jan
Mwarobaini wizi wa simu wapatikana
WEZI wa simu nchini watakuwa na wakati mgumu baada ya programu maalumu kubuniwa. Programu hiyo inaweza kulinda taarifa zote za simu ya mteja pamoja na simu yenyewe pindi ikiibwa, ambapo mwizi ataweza hadi kupigwa picha bila mwenyewe kutambua.
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Katiba Mpya na mwarobaini wa ufisadi
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Mwarobaini sukari ya magendo waja
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Sumaye: Hotuba ya JK itakuwa mwarobaini
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Mwarobaini wa wizi mtandaoni upatikane
KUTOKANA na maisha ya usasa duniani yamesababisha utumiaji mkubwa wa teknolojia za kisasa. Hivyo ni muhimu kuwepo na ulinzi walau kuweza kudhibiti maeneo nyeti ambayo yakiachwa yanaweza kusababisha hasara kubwa...