Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti wa gesi Z. Tanganyika kazi ngumu-Muhongo

Profesa Sospeter MuhongoWAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema utafiti wa mafuta na gesi katika Ziwa Tanganyika ni mgumu kama wa baharini, tofauti na utafiti kama huo katika nchi kavu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Gesi kumbeba Muhongo mbio za Urais

Umoja wa Watu wenye Ulemavu katika Mkoa wa Mwanza unaojulikana kwa jina la ‘Walemavu tunaweza’, umesema nchi inapaswa kuongozwa na mtu mwenye uelewa wa masuala ya gesi ili atumie nishati hiyo, kuwaletea wananchi maendeleo.

 

10 years ago

Mwananchi

JK ampa kazi ngumu Maghembe

Rais Jakaya Kikwete amemwagiza Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe kwenda kuwaeleza wananchi wa Mji wa Dumila wilayani Kilosa sababu za kusuasua kwa utekelezaji wa mradi wa maji na lini tatizo la kukosekana kwa huduma hiyo litapatiwa ufumbuzi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kikwete urais si kazi ngumu

WAKATI mwingine baadhi ya wanasiasa huongea vitu visivyoingia akilini kana kwamba wanaowasikiliza hawana akili za kutosha au wenye kufikiri sawasawa. Hivi karibuni, akiwa nchini China, Rais Jakaya Kikwete alitoa mpya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga: Kazi bado ngumu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm, amekiri Ligi Kuu ni ngumu na kwamba hadi sasa hakuna timu ambayo imejihakikishia kutwaa ubingwa wa ligi hiyo inayofikia tamati Aprili 19. Yanga...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Repoa yaanza utafiti wa gesi

TAASISI ya Utafiti na Kupunguza Umaskini nchini (Repoa) imeanza utafiti wa miaka mitano kuhusu rasilimali ya gesi na faida zake kwa uchumi wa Tanzania. Utafiti huo unashirikisha wataalam kutoka Norway...

 

10 years ago

Mwananchi

Muhongo: Nitaendesha nchi kwa uchumi wa gesi

>Mbunge wa kuteuliwa, Profesa  Sospeter Muhongo ameeleza jinsi atakavyoondoa umaskini nchini kwa kutumia uchumi wa gesi endapo atapitishwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwania urais.

 

11 years ago

Michuzi

Prof. Muhongo kuongoza kongamano la mafuta na gesi Ujerumani

Na Greyson Mwase, Ujerumani
Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano litakalofanyika kesho Berlin nchini Ujerumani ambapo atawasilisha mada kuhusiana na fursa za uwekezaji nchini Tanzania hususan katika sekta ya mafuta na gesi.
Kongamano hilo litakaloshirikisha wasomi mbalimbali litaenda sambamba na maonesho yatakayooneshwa na wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini kama moja ya maadhimisho ya jubilee ya miaka 50 ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete: Kazi hii ya urais ni ngumu

Rais Jakaya Kikwete amesema kazi ya urais ni ngumu na anatamani amalize kipindi chake ili awe mtu huru kufanya mambo yake, ikiwamo kilimo, huku akiamini atapatikana Rais bora kuiongoza vizuri zaidi Tanzania kuliko yeye.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani