Gesi kumbeba Muhongo mbio za Urais
Umoja wa Watu wenye Ulemavu katika Mkoa wa Mwanza unaojulikana kwa jina la ‘Walemavu tunaweza’, umesema nchi inapaswa kuongozwa na mtu mwenye uelewa wa masuala ya gesi ili atumie nishati hiyo, kuwaletea wananchi maendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Dec
Nishati wazidi kumbeba Prof. Muhongo
WAKATI Watanzania wakisubiri uchunguzi unaofanywa na Serikali kuhusu utoaji wa fedha Sh bilioni 182.77 katika akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), taarifa zaidi zimebainisha kuwa uongozi wa miaka miwili ya Wizara ya Nishati na Madini, chini ya Waziri Profesa Sospeter Muhongo, umefanikisha ongezeko la umeme katika Gridi ya Taifa.
10 years ago
KwanzaJamii24 Sep
ALAT yakana kumbeba Pinda urais wa 2015
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Muhongo: Nitaendesha nchi kwa uchumi wa gesi
11 years ago
Habarileo21 Jun
Utafiti wa gesi Z. Tanganyika kazi ngumu-Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema utafiti wa mafuta na gesi katika Ziwa Tanganyika ni mgumu kama wa baharini, tofauti na utafiti kama huo katika nchi kavu.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-asRrm_nWMI4/U1oWnq5_J_I/AAAAAAAFc9w/ytAtTNgkYLA/s72-c/unnamed+(34).jpg)
Prof. Muhongo kuongoza kongamano la mafuta na gesi Ujerumani
Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano litakalofanyika kesho Berlin nchini Ujerumani ambapo atawasilisha mada kuhusiana na fursa za uwekezaji nchini Tanzania hususan katika sekta ya mafuta na gesi.
Kongamano hilo litakaloshirikisha wasomi mbalimbali litaenda sambamba na maonesho yatakayooneshwa na wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini kama moja ya maadhimisho ya jubilee ya miaka 50 ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vBT2V0lXMbI/U8l6Su_bZLI/AAAAAAAF3g8/OCiipub5sZ4/s72-c/unnamed+(90).jpg)
Mradi wa bomba la gesi asilia kukamilika kama ilivyopagwa - Profesa Muhongo
![](http://3.bp.blogspot.com/-vBT2V0lXMbI/U8l6Su_bZLI/AAAAAAAF3g8/OCiipub5sZ4/s1600/unnamed+(90).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jYc0ANxkFW4/U8l6SyGdZEI/AAAAAAAF3hE/KPbuJi4j2sQ/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hBrgE1iaO9M/U8l6S0JkohI/AAAAAAAF3hA/zN-EUo4upP0/s1600/unnamed+(92).jpg)
11 years ago
MichuziPROF. MUHONGO AZINDUA RASMI KONGAMANO LA MAFUTA NA GESI BERLIN, UJERUMANI
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/x5nfMUvOqsg/default.jpg)