JK ampa kazi ngumu Maghembe
Rais Jakaya Kikwete amemwagiza Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe kwenda kuwaeleza wananchi wa Mji wa Dumila wilayani Kilosa sababu za kusuasua kwa utekelezaji wa mradi wa maji na lini tatizo la kukosekana kwa huduma hiyo litapatiwa ufumbuzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Kikwete urais si kazi ngumu
WAKATI mwingine baadhi ya wanasiasa huongea vitu visivyoingia akilini kana kwamba wanaowasikiliza hawana akili za kutosha au wenye kufikiri sawasawa. Hivi karibuni, akiwa nchini China, Rais Jakaya Kikwete alitoa mpya...
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Yanga: Kazi bado ngumu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm, amekiri Ligi Kuu ni ngumu na kwamba hadi sasa hakuna timu ambayo imejihakikishia kutwaa ubingwa wa ligi hiyo inayofikia tamati Aprili 19. Yanga...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Nyalandu akabidhi ofisi, Maghembe aahidi kazi
WATENDAJI katika Wizara ya Maliasili na Utalii wameombwa kumpa ushirikiano Waziri mpya wa wizara hiyo, Profesa Jumanne Maghembe ili aweze kutimiza majukumu yake kwa ufanisi.
9 years ago
StarTV06 Jan
Waziri Maghembe awasimamisha kazi Mkurugenzi, maafisa
Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Magembe amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi endelevu ya Rasilimali za Misitu wa Wakala wa Misitu Tanzania TFS Mohammed Kilongo pamoja na maafisa wa misitu wa Mikoa yote nchini kupisha uchunguzi wa ubadhirifu ulioonekana ili ufanyiwe kazi.
Hata hivyo, Waziri huyo pia ametoa siku saba kwa Idara ya Misitu kurudi katika Jengo la Wizara hiyo kwa lengo la kupunguza matumizi mabaya ya fedha za Serikali na kukemea tabia ya kupanga...
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Wapinzani wana kazi ngumu awamu ya tano
KUWA katika kambi ya upinzani ilikuwa ni kazi rahisi zaidi wakati wa awamu tatu za serikali ziliz
Njonjo Mfaume
10 years ago
Habarileo12 May
BVR hazisomi vidole wenye kazi ngumu
WANANCHI wanaofanya kazi ngumu kwa kutumia mikono ambao alama zao za vidole zimesagika wamekuwa hawatambuliwi na mashine za Mfumo wa Waandikishaji wa Wapiga Kura (BVR).
11 years ago
Mwananchi24 Oct
Rais Kikwete: Kazi hii ya urais ni ngumu
10 years ago
Mwananchi03 Apr
Julio: Bado nina kazi ngumu Coastal
11 years ago
Habarileo21 Jun
Utafiti wa gesi Z. Tanganyika kazi ngumu-Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema utafiti wa mafuta na gesi katika Ziwa Tanganyika ni mgumu kama wa baharini, tofauti na utafiti kama huo katika nchi kavu.