Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK ampa kazi ngumu Maghembe

Rais Jakaya Kikwete amemwagiza Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe kwenda kuwaeleza wananchi wa Mji wa Dumila wilayani Kilosa sababu za kusuasua kwa utekelezaji wa mradi wa maji na lini tatizo la kukosekana kwa huduma hiyo litapatiwa ufumbuzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete urais si kazi ngumu

WAKATI mwingine baadhi ya wanasiasa huongea vitu visivyoingia akilini kana kwamba wanaowasikiliza hawana akili za kutosha au wenye kufikiri sawasawa. Hivi karibuni, akiwa nchini China, Rais Jakaya Kikwete alitoa mpya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga: Kazi bado ngumu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm, amekiri Ligi Kuu ni ngumu na kwamba hadi sasa hakuna timu ambayo imejihakikishia kutwaa ubingwa wa ligi hiyo inayofikia tamati Aprili 19. Yanga...

 

9 years ago

Habarileo

Nyalandu akabidhi ofisi, Maghembe aahidi kazi

WATENDAJI katika Wizara ya Maliasili na Utalii wameombwa kumpa ushirikiano Waziri mpya wa wizara hiyo, Profesa Jumanne Maghembe ili aweze kutimiza majukumu yake kwa ufanisi.

 

9 years ago

StarTV

Waziri Maghembe awasimamisha kazi Mkurugenzi, maafisa

Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Magembe amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi endelevu ya Rasilimali za Misitu wa Wakala wa Misitu Tanzania TFS Mohammed Kilongo pamoja na maafisa wa misitu wa Mikoa yote nchini kupisha uchunguzi wa ubadhirifu ulioonekana ili ufanyiwe kazi.

Hata hivyo, Waziri huyo pia ametoa siku saba kwa Idara ya Misitu kurudi katika Jengo la Wizara hiyo kwa lengo la kupunguza matumizi mabaya ya fedha za Serikali na kukemea tabia ya kupanga...

 

9 years ago

Raia Mwema

Wapinzani wana kazi ngumu awamu ya tano

KUWA katika kambi ya upinzani ilikuwa ni kazi rahisi zaidi wakati wa awamu tatu za serikali ziliz

Njonjo Mfaume

 

10 years ago

Habarileo

BVR hazisomi vidole wenye kazi ngumu

Mashine za Mfumo wa Waandikishaji wa Wapiga Kura (BVR)WANANCHI wanaofanya kazi ngumu kwa kutumia mikono ambao alama zao za vidole zimesagika wamekuwa hawatambuliwi na mashine za Mfumo wa Waandikishaji wa Wapiga Kura (BVR).

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete: Kazi hii ya urais ni ngumu

Rais Jakaya Kikwete amesema kazi ya urais ni ngumu na anatamani amalize kipindi chake ili awe mtu huru kufanya mambo yake, ikiwamo kilimo, huku akiamini atapatikana Rais bora kuiongoza vizuri zaidi Tanzania kuliko yeye.

 

10 years ago

Mwananchi

Julio: Bado nina kazi ngumu Coastal

Kocha wa muda wa Coastal Union ya Tanga, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amesema ana kibarua kizito kuhakikisha Coastal Union inamaliza ligi ikiwa katika nafasi tatu za juu.

 

11 years ago

Habarileo

Utafiti wa gesi Z. Tanganyika kazi ngumu-Muhongo

Profesa Sospeter MuhongoWAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema utafiti wa mafuta na gesi katika Ziwa Tanganyika ni mgumu kama wa baharini, tofauti na utafiti kama huo katika nchi kavu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani