Julio: Bado nina kazi ngumu Coastal
Kocha wa muda wa Coastal Union ya Tanga, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amesema ana kibarua kizito kuhakikisha Coastal Union inamaliza ligi ikiwa katika nafasi tatu za juu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Yanga: Kazi bado ngumu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm, amekiri Ligi Kuu ni ngumu na kwamba hadi sasa hakuna timu ambayo imejihakikishia kutwaa ubingwa wa ligi hiyo inayofikia tamati Aprili 19. Yanga...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zFjNnrmsW04/VO20M00QeEI/AAAAAAAHF0M/RUYKHXBHRFs/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
Jamhuri Kiwelu "Julio" atua Coastal Union
![](http://4.bp.blogspot.com/-zFjNnrmsW04/VO20M00QeEI/AAAAAAAHF0M/RUYKHXBHRFs/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xrJcpbUW9yM/VO20MNVNwwI/AAAAAAAHF0I/nWpMdri98iE/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
10 years ago
Habarileo31 Aug
JK: Bado nina mamlaka kutimua Ma-RC, Ma-DC
RAIS Jakaya Kikwete amesema bado anayo mamlaka ya kuwafuta kazi wateule wake wakiwemo wakuu wa mikoa na wilaya ambao watashindwa kusimamia ukamilishaji wa ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za kata ifikapo Novemba mwaka huu.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/ester-kiama.gif)
ESTER: BADO NINA IMANI NA CCM
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Wassira: Bado nina dhamira ya urais
WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira, amesema bado ana nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani. Kauli hiyo, aliitoa jana wakati akifanya mahojiano kwenye...
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Zitto: Bado nina ndoto ya urais
10 years ago
Vijimambo11 Apr
BAADA YA KIPIGO CHA TAREHE 8 CHA BAO 8 JULIO ATUPIWA VILAGO KWENYE KAMATI YA UFUNDI YA COASTAL
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/Jamhuri-Kihwelo-Julio.jpg)
KOCHA wa Coastal Union, Jamhuri Musa Kiwhelo ‘Julio’ ametimuliwa baada ya kichapo cha magoli 8-0 alichopata kutoka kwa Yanga jumatano ya wiki hii.Taarifa za ndani na za uhakika kutoka kwa viongozi wa Coastal, siku hiyo baada ya kipigo walikubaliana kumtimua Julio na yeye alipewa taarifa hizo na kukubali.
Ili kulinda heshima yake, Julio akaomba aongoze mechi ya jumamosi uwanja wa Azam Complex dhidi ya Jkt Ruvu jumamosi ya wiki hii kwa nia ya kuogopa kudhalilishwa.
Baada ya mechi hiyo dhidi ya...
10 years ago
Habarileo26 Oct
Tiba kwa wagonjwa vichwa vikubwa bado ngumu
WAGONJWA wa vichwa vikubwa na mgongo wazi wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la upatikanaji wa tiba kwa urahisi, kutokana na kuwapo madaktari bingwa watano huku jamii kushindwa kumudu gharama za matibabu na kufika hospitalini.
10 years ago
Bongo Movies07 Jan
Faiza:Hata Baada ya Kuzaa Naona Bado Nina Mvuto!!!
Mwigizaji wa filamu alietoa kali ya mwaka jana kwa kuvaa Diaper wavaayo watoto kuhifadhi haja zao maarufu kama ‘pempasi’ kwenye kusherekea siku yake ya kuzaliwa, Faiza Ally leo ameibuka na picha akiwa ufukweni amevalia vinguo vya kuogelea huku pembeni akiwa na mtoto wake nakudai kuwa bado ana mvuto hata baada ya kuzaa mtoto.
“Hata baada ya kuzaa naona niko sexy ile mbaya kudadadeki!!!!” Faiza aliandika
Haya hebu jionee na umwambie kitu mama huyu mwenye...