ESTER: BADO NINA IMANI NA CCM
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/ester-kiama.gif)
Msanii wa filamu Bongo, Ester Kiama. Gladness Mallya MWANADADA kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Ester Kiama amefunguka kwamba bado ana imani na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuiongoza nchi kwani kinao uwezo wa kutatua matatizo ya wasanii. Akichezungumza na gazeti hili, Ester alisema anaipenda CCM na anamsapoti mgombea wake wa urais, Dk. John Magufuli na kuwataka Watanzania wote kuungana naye kwani anaamini chama hicho kikishinda...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgC8-rU-qZjjpgdQvxPI4gVTChCHR80R*JyDXXWh6btfGTHQJNcI0wIs8w-aDlnJsWHZezpHLJgl4tHheM-uOVzx/ester.jpg)
ESTER: NINA ‘PROJECT’ NA DUDE!
10 years ago
Habarileo31 Aug
JK: Bado nina mamlaka kutimua Ma-RC, Ma-DC
RAIS Jakaya Kikwete amesema bado anayo mamlaka ya kuwafuta kazi wateule wake wakiwemo wakuu wa mikoa na wilaya ambao watashindwa kusimamia ukamilishaji wa ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za kata ifikapo Novemba mwaka huu.
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Zitto: Bado nina ndoto ya urais
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Wassira: Bado nina dhamira ya urais
WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira, amesema bado ana nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani. Kauli hiyo, aliitoa jana wakati akifanya mahojiano kwenye...
10 years ago
Mwananchi03 Apr
Julio: Bado nina kazi ngumu Coastal
10 years ago
Bongo Movies07 Jan
Faiza:Hata Baada ya Kuzaa Naona Bado Nina Mvuto!!!
Mwigizaji wa filamu alietoa kali ya mwaka jana kwa kuvaa Diaper wavaayo watoto kuhifadhi haja zao maarufu kama ‘pempasi’ kwenye kusherekea siku yake ya kuzaliwa, Faiza Ally leo ameibuka na picha akiwa ufukweni amevalia vinguo vya kuogelea huku pembeni akiwa na mtoto wake nakudai kuwa bado ana mvuto hata baada ya kuzaa mtoto.
“Hata baada ya kuzaa naona niko sexy ile mbaya kudadadeki!!!!” Faiza aliandika
Haya hebu jionee na umwambie kitu mama huyu mwenye...
10 years ago
IPPmedia11 Nov
Ester Bulaya (Special Seats, CCM)
IPPmedia
IPPmedia
Lawmakers yesterday demanded explanation from the government on emergency plans it has lined up to rescue lives of Tanzanians who are suffering due to the shortage of medicines in hospitals after it failed to settle 90bn/- it owes the Medical Store ...
Govt set to issue statement on 102bn/- MSD debtDaily News
all 2
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Wazee wa CCM wadai kupoteza imani na Kificho