Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete urais si kazi ngumu

WAKATI mwingine baadhi ya wanasiasa huongea vitu visivyoingia akilini kana kwamba wanaowasikiliza hawana akili za kutosha au wenye kufikiri sawasawa. Hivi karibuni, akiwa nchini China, Rais Jakaya Kikwete alitoa mpya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete: Kazi hii ya urais ni ngumu

Rais Jakaya Kikwete amesema kazi ya urais ni ngumu na anatamani amalize kipindi chake ili awe mtu huru kufanya mambo yake, ikiwamo kilimo, huku akiamini atapatikana Rais bora kuiongoza vizuri zaidi Tanzania kuliko yeye.

 

10 years ago

Mwananchi

Warioba: CCM ina kazi ngumu kumpata mgombea urais

Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba amesema CCM inakabiliwa na kazi ngumu ya kupata mgombea wa urais atakayepeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi wa mwaka huu, akionya kuwa makundi ya urais yasipomalizwa yanaweza kufika hadi ngazi ya kata.

 

10 years ago

Mwananchi

JK ampa kazi ngumu Maghembe

Rais Jakaya Kikwete amemwagiza Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe kwenda kuwaeleza wananchi wa Mji wa Dumila wilayani Kilosa sababu za kusuasua kwa utekelezaji wa mradi wa maji na lini tatizo la kukosekana kwa huduma hiyo litapatiwa ufumbuzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga: Kazi bado ngumu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm, amekiri Ligi Kuu ni ngumu na kwamba hadi sasa hakuna timu ambayo imejihakikishia kutwaa ubingwa wa ligi hiyo inayofikia tamati Aprili 19. Yanga...

 

10 years ago

Habarileo

Ni wiki ngumu wanaowania urais Dodoma

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaWAKATI uhai wa Bunge la 10 la Tanzania utamalizika rasmi keshokutwa, ambapo litavunjwa na Rais Jakaya Kikwete, tukio lingine zito linatarajiwa kuutikisa mji huu wiki hii.

 

11 years ago

Habarileo

Utafiti wa gesi Z. Tanganyika kazi ngumu-Muhongo

Profesa Sospeter MuhongoWAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema utafiti wa mafuta na gesi katika Ziwa Tanganyika ni mgumu kama wa baharini, tofauti na utafiti kama huo katika nchi kavu.

 

10 years ago

Mwananchi

Julio: Bado nina kazi ngumu Coastal

Kocha wa muda wa Coastal Union ya Tanga, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amesema ana kibarua kizito kuhakikisha Coastal Union inamaliza ligi ikiwa katika nafasi tatu za juu.

 

9 years ago

Raia Mwema

Wapinzani wana kazi ngumu awamu ya tano

KUWA katika kambi ya upinzani ilikuwa ni kazi rahisi zaidi wakati wa awamu tatu za serikali ziliz

Njonjo Mfaume

 

10 years ago

Habarileo

BVR hazisomi vidole wenye kazi ngumu

Mashine za Mfumo wa Waandikishaji wa Wapiga Kura (BVR)WANANCHI wanaofanya kazi ngumu kwa kutumia mikono ambao alama zao za vidole zimesagika wamekuwa hawatambuliwi na mashine za Mfumo wa Waandikishaji wa Wapiga Kura (BVR).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani