Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni wiki ngumu wanaowania urais Dodoma

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaWAKATI uhai wa Bunge la 10 la Tanzania utamalizika rasmi keshokutwa, ambapo litavunjwa na Rais Jakaya Kikwete, tukio lingine zito linatarajiwa kuutikisa mji huu wiki hii.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATUA DODOMA, KUTEGUA KITENDAWILI CHA NANI MTEULE WA CCM KUWANIA URAIS WA TANZANIA WIKI HII

 MWENYEKITI wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, akiongozana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, (kulia), akiwapungia wana CCM waliofika kumlaki kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Julai 8, 2015. 
Mwenyekiti huyo wa CCM amewasili na kuanza kazi mara moja ya kuongoza kikao cha kamati ya maadili ili kupokea taarifa za watia nia wa CCM, kabla ya kuanza kuwajadili na kupunguza majina kutoka 39 hadi matano, kazi itakayofanywa na Kamati Kuu ya chama hicho inayotarajiwa kukutana Alhamisi Julai...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wiki ngumu CCM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinaanza wiki ngumu ya kusaka theluthi mbili ya kura za wajumbe kutoka Zanzibar ili kiweze kubatilisha mapendekezo ya rasimu ya Katiba ya muundo wa muungano wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wiki ngumu kwa Ngeleja, Chenge

 Hii ni wiki ngumu kwa wenyeviti watatu wa Kamati za Bunge ambao wanatakiwa kuachia nafasi za uongozi kutokana na kuhusika katika kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow ya Sh306 bilioni.

 

10 years ago

Habarileo

Ni wiki ngumu watia nia CCM

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaWIKI hii ni ya mwisho kwa watia nia ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kurejesha fomu baada ya kuzunguka nchi nzima kuomba wadhamini, hata hivyo jana mwanachama mwingine wa CCM alichukua fomu na hivyo kufanya idadi ya watia nia hao kufikia 42.

 

10 years ago

Mtanzania

Wiki ngumu Bunge Maalum la Katiba

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

Na Maregesi Paul, Dodoma

WIKI hii ni kati ya wiki ngumu zilizowahi kulikumba Bunge Maalum la Katiba lililoanza mwanzoni mwa Agosti mwaka huu.

Wakati Bunge linaanza mwanzoni mwa mwaka huu, wajumbe walitumia muda mwingi kujadili sura ya kwanza na ya sita inayohusu muundo wa Serikali na pia walivutana wakati walipokuwa wakijadili kanuni za 37 na 38 za Bunge hilo zinazohusu upigaji kura ya siri au ya...

 

10 years ago

Habarileo

Wiki ngumu kwa Chenge, Tibaijuka

Andrew ChengeMBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge kesho atasimama mbele ya Baraza la Maadili kujibu tuhuma za kukiuka maadili ya uongozi na kujipatia Sh bilioni 1.6 ambazo aligawiwa kutoka katika fedha za akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Kamala: Wanaowania urais wasaidie umma kwanza

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dk Diodorus Kamala amewataka wenye ndoto za kuwania urais mwaka ujao kufikiria kwanza namna ya kuwasaidia Watanzania wakiwa nje ya wadhifa huo, badala ya kuwaza kushinda kwanza mbio hizo ndipo wasaidie.

 

11 years ago

Mwananchi

Wiki ngumu Bunge la Katiba yaanza leo

>Bunge Maalumu la Katiba leo linaanza wiki ngumu pale litakapohitimisha mjadala wa muundo wa Muungano na kupiga kura kupitisha au kukataa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani