Ni wiki ngumu wanaowania urais Dodoma
WAKATI uhai wa Bunge la 10 la Tanzania utamalizika rasmi keshokutwa, ambapo litavunjwa na Rais Jakaya Kikwete, tukio lingine zito linatarajiwa kuutikisa mji huu wiki hii.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UEYO3vWQ1lk/VZ00PFAVSFI/AAAAAAAAVxc/9AvLmue8r7o/s72-c/JK_KINANA2.jpg)
RAIS KIKWETE ATUA DODOMA, KUTEGUA KITENDAWILI CHA NANI MTEULE WA CCM KUWANIA URAIS WA TANZANIA WIKI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-UEYO3vWQ1lk/VZ00PFAVSFI/AAAAAAAAVxc/9AvLmue8r7o/s640/JK_KINANA2.jpg)
Mwenyekiti huyo wa CCM amewasili na kuanza kazi mara moja ya kuongoza kikao cha kamati ya maadili ili kupokea taarifa za watia nia wa CCM, kabla ya kuanza kuwajadili na kupunguza majina kutoka 39 hadi matano, kazi itakayofanywa na Kamati Kuu ya chama hicho inayotarajiwa kukutana Alhamisi Julai...
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Wiki ngumu CCM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinaanza wiki ngumu ya kusaka theluthi mbili ya kura za wajumbe kutoka Zanzibar ili kiweze kubatilisha mapendekezo ya rasimu ya Katiba ya muundo wa muungano wa...
11 years ago
Dewji Blog08 Jun
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Wiki ngumu kwa Ngeleja, Chenge
10 years ago
Habarileo29 Jun
Ni wiki ngumu watia nia CCM
WIKI hii ni ya mwisho kwa watia nia ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kurejesha fomu baada ya kuzunguka nchi nzima kuomba wadhamini, hata hivyo jana mwanachama mwingine wa CCM alichukua fomu na hivyo kufanya idadi ya watia nia hao kufikia 42.
10 years ago
Mtanzania29 Sep
Wiki ngumu Bunge Maalum la Katiba
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
Na Maregesi Paul, Dodoma
WIKI hii ni kati ya wiki ngumu zilizowahi kulikumba Bunge Maalum la Katiba lililoanza mwanzoni mwa Agosti mwaka huu.
Wakati Bunge linaanza mwanzoni mwa mwaka huu, wajumbe walitumia muda mwingi kujadili sura ya kwanza na ya sita inayohusu muundo wa Serikali na pia walivutana wakati walipokuwa wakijadili kanuni za 37 na 38 za Bunge hilo zinazohusu upigaji kura ya siri au ya...
10 years ago
Habarileo24 Feb
Wiki ngumu kwa Chenge, Tibaijuka
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge kesho atasimama mbele ya Baraza la Maadili kujibu tuhuma za kukiuka maadili ya uongozi na kujipatia Sh bilioni 1.6 ambazo aligawiwa kutoka katika fedha za akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Dk Kamala: Wanaowania urais wasaidie umma kwanza
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Wiki ngumu Bunge la Katiba yaanza leo