Dk Kamala: Wanaowania urais wasaidie umma kwanza
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dk Diodorus Kamala amewataka wenye ndoto za kuwania urais mwaka ujao kufikiria kwanza namna ya kuwasaidia Watanzania wakiwa nje ya wadhifa huo, badala ya kuwaza kushinda kwanza mbio hizo ndipo wasaidie.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo07 Jul
Ni wiki ngumu wanaowania urais Dodoma
WAKATI uhai wa Bunge la 10 la Tanzania utamalizika rasmi keshokutwa, ambapo litavunjwa na Rais Jakaya Kikwete, tukio lingine zito linatarajiwa kuutikisa mji huu wiki hii.
9 years ago
Bongo529 Oct
FIFA yatoa majina ya vigogo saba wanaowania Urais
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cfktafRVNpA/VL4koGWOT3I/AAAAAAAG-dg/MWDe1yTSHgA/s72-c/rr.jpg)
CCM KUWACHUKULIA HATUA KALI WANAOSAMBAZA HABARI ZA UZUSHI HASA WANAOWANIA NAFASI YA URAIS.
![](http://4.bp.blogspot.com/-cfktafRVNpA/VL4koGWOT3I/AAAAAAAG-dg/MWDe1yTSHgA/s1600/rr.jpg)
Itakumbukwa Kamati Kuu iliyopita ya tarehe 13/01/2015, iliyoketi Kisiwandui Zanzibar ilipitisha ratiba ya shughuli za kawaida za Chama kwa mwaka 2015 na kupanga kushughulikia ratiba ya mchakato wa uteuzi wa wagombea wa CCM vikao vijavyo.
Pamoja...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VsLFj-l6-cQ/VI2PkTmZMcI/AAAAAAAG3KQ/Ttd9Jo6id-c/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
BALOZI KAMALA AANZISHA MFUKO WA "Dr. KAMALA AWARD FUND"
![](http://2.bp.blogspot.com/-VsLFj-l6-cQ/VI2PkTmZMcI/AAAAAAAG3KQ/Ttd9Jo6id-c/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa na baadhi ya Wahitimu wa Kituo cha Chekechea cha Florence cha Kigogo Dar es salaam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-dDbdAuaTTv4/VI2Pz5FYHMI/AAAAAAAG3KY/71wIV2y7fBc/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
Balozi Kamala amewashukuru Bwana na Bibi Mbezi kwa kuanzisha kituo hicho. Aidha,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hEK4x3iCvUU/VPceCo6pIoI/AAAAAAAHHtA/D44bwWlsv-0/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
RIPOTI YA KWANZA YA UTEKELEZAJI KUZINDULIWA KWA UMMA MACHI 5, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-hEK4x3iCvUU/VPceCo6pIoI/AAAAAAAHHtA/D44bwWlsv-0/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
Ripoti ya Mwaka ya BRN imeandaliwa kuendana na utamaduni wa BRN wa kuweka vipaumbele, malengo na mfumo wa...
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
DK HAMZA KONDO: Mtanzania kwa kwanza kutunukiwa PhD ya mawasiliano ya umma nchini
CHUO Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimekuwa chuo cha kwanza Tanzania tangu nchi ipate uhuru kutunuku shahada ya uzamivu ya mawasiliano ya umma (PhD in Mass Communication) kati ya vyuo...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Nani akemee wanaoibia umma kwa tamaa ya urais?
KADIRI siku zinavyozidi kuyoyoma kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu mwakani utakaoliingiza taifa kwenye awamu ya tano ya uongozi, ndivyo mambo mengi yanavyozidi kujitokeza huku wanaotajwa kutaka kuwania nafasi ya urais...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Wadau wasaidie netiboli
MASHINDANO ya Kombe la Taifa kwa mchezo wa netiboli yamefikia tamati mwishoni mwa wiki kwa mkoa wa kimichezo wa Temeke kutetea ubingwa kwa kuifunga Morogoro katika mechi ya mwisho. Temeke...
5 years ago
CCM BlogMWANAMKE WA KWANZA AJITOKEZA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
Kada wa Chama cha Mapinduzi Mhe. Mwatum Mussa Sultan akiwa Mwanamke wa Kwanza kuchukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar akiwa ni Mwanachama wa 11 kujitokeza kuchukua Fomu leo katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar. Akionesha mkoba ukiwa na Fomu za Kugombea Urais wa Zanzibar baada ya kukabidhiwa akiwaonesha Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo leo.