FIFA yatoa majina ya vigogo saba wanaowania Urais
Shirikisho la kandanda duniani, FIFA limetangaza majina ya viongozi saba watakaowania urais. Majina hayo ni pamoja na Prince Ali bin al-Hussein, mwenye miaka 39 ambaye ni rais wa shirikisho la kandanda la Jordan. Mwingine ni Musa Bility raia wa Liberia mwenye umri wa miaka 48 akiwa ni rais wa shirikisho la soka nchini humo. Yupo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Vigogo saba kuwania urais Fifa
10 years ago
Bongo528 Oct
FIFA yatoa orodha ya wachezaji 23 wanaowania Ballon d’Or 2014.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--IZUqOM6wZg/Vbjfdh4ws9I/AAAAAAABS48/BKhVCR7NXnQ/s72-c/Nape-Nnauye.jpg)
CCM YATOA SABABU SABA (7) ZILIZOFANYA KUMKATA JINA MHE. LOWASA ASIGOMBEE URAIS 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/--IZUqOM6wZg/Vbjfdh4ws9I/AAAAAAABS48/BKhVCR7NXnQ/s640/Nape-Nnauye.jpg)
Kwa mara ya kwanza wananchama 41 waliomba kuteuliwa na chama. Hii inaonyesha kwamba demokrasia imekuwa ndani ya chama. Kati ya wanachama wa CCM waliochukua fomu alikuwa ni mheshimiwa waziri mkuu mstaafu Ndugu Edward Lowasa. Utaratibu wa chama ulifuatwa ili kumpata mgombea ikiwa ni pamoja kamati ya maadili, kamati kuu na halmashauri kuu ya taifa...
10 years ago
Bongo Movies02 Apr
Majina ya Wanaowania Tuzo za Filamu Mwaka 2015 Haya Hapa
Majina ya wanaowania tuzo hizo hayo hapo chini fuatilia na kwa makini kisha jiandae kumpigia kura msanii wako...
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Majina ya wanaowania tuzo za TASWA 2013/2014 haya hapa
Mwenyekiti Kamati ya Tuzo, Bw. Rehure Nyaulawa.
KAMATI ya Kusimamia Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania zinazotolewa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ilikutana Dar es Salaam jana na kupitia majina ya wanamichezo waliopendekezwa kuwania tuzo hizo.
Tuzo itafanyika Desemba 12 mwaka huu ukumbi wa Diamond, Jubilee (VIP), Dar es Salaam, ambapo wanamichezo mbalimbali waliofanya vizuri kati ya Juni 2013 hadi Juni 2014 watakabidhiwa tuzo zao.
Ni imani yetu kwamba zaidi ya...
9 years ago
Bongo504 Nov
People’s Choice Awards 2016: Majina ya wanaowania upande wa muziki
![the-weeknd](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/the-weeknd-300x194.jpg)
Majina ya wanaowania tuzo za People’s Choice Awards 2016 yametangazwa Jumanne hii Nov.3.
Upande wa muziki miongoni mwa wasanii wenye nomination nyingi ni pamoja na The Weeknd anayeongoza kwa nominations tano. Wengine waliofanikiwa kuingia ni pamoja Taylor Swift , Drake, Justin Bieber, Madonna.
Tuzo hizo zitatolewa na kuoneshwa kupitia CBS January 6, 2016
Hii ni orodha ya wanaowania tuzo hizo upande wa muziki
Favorite Male Artist
Ed Sheeran
Justin Bieber
Luke Bryan
Nick Jonas
The...
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
CAF yatangaza majina ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji Bora Afrika 2015
Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo za Caf mwaka huu, Andrew Ayew.
Shirikisho la Soka barani Africa limeyataja majina 10 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika kwa mwaka wa 2015. Katika majina hayo pia ameorodheshwa mchezaji bora kwa mwaka 2014, Mchezaji wa timu ya taifa ya Ivory Coast na klabu ya Mnachester City.
Kwa upande wa taifa nchi ya Algeria na Ivory Coast yamefanikiwa kuingiza wachezaji wawili kila moja kwa upande wa Algeria wachezaji ambao wameingia katika...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Haya ndiyo majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora duniani 2015
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirikisho la soka duniani (FIFA) limetaja majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2015.
Majina hayo matatu (3) yamepatikana kutoka kwa majina 23 aliyokuwa yamependekezwa awali. Majina hayo ni;
Cristiano Ronaldo (Ureno – Real Madrid)
Lionel Messi (Argentina – Barcelona)
Neymar da Silva Santos (Brazil – Barcelona)
Kwa upande wa wanawake FIFA imewataja;
Carli Lloyd (Houston Dash -USA)
Aya Miyama (Okayama Yunogo Belle –...
10 years ago
Bongo506 Dec
Majina ya wanaowania tuzo za 2015 Grammy Awards yatangazwa, zitatolewa Feb. (orodha kamili)