People’s Choice Awards 2016: Majina ya wanaowania upande wa muziki
Majina ya wanaowania tuzo za People’s Choice Awards 2016 yametangazwa Jumanne hii Nov.3.
Upande wa muziki miongoni mwa wasanii wenye nomination nyingi ni pamoja na The Weeknd anayeongoza kwa nominations tano. Wengine waliofanikiwa kuingia ni pamoja Taylor Swift , Drake, Justin Bieber, Madonna.
Tuzo hizo zitatolewa na kuoneshwa kupitia CBS January 6, 2016
Hii ni orodha ya wanaowania tuzo hizo upande wa muziki
Favorite Male Artist
Ed Sheeran
Justin Bieber
Luke Bryan
Nick Jonas
The...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo508 Dec
Wanaowania Grammy Awards 2016 watangazwa, Kendrick Lamar aongoza
![kendrick lamar](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kendrick-lamar-300x194.jpg)
Majina ya wanaowania tuzo za 58 za Grammy 2016 yametangazwa Jumatatu Dec 7.
Wasanii wa Marekani waliotajwa kuwania vipengele vingi zaidi ni Kendrick Lamar anayewania vipengele 11, akifatiwa na Taylor Swift na The Weeknd wanaowania vipengele 7 kila mmoja.
Taylor Swift ndiye msanii pekee aliyefanikiwa kuingia kwenye vipengele vyote vikubwa – ‘Album of the Year’, ‘Song of the Year’, na ‘Record of the Year’.
Wengine waliotajwa kwenye kinyang’anyiro hicho ni Angelique Kidjo na kundi la Ladysmith...
10 years ago
Bongo506 Dec
Majina ya wanaowania tuzo za 2015 Grammy Awards yatangazwa, zitatolewa Feb. (orodha kamili)
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Filamu 4 kutoka Proin Promotions zatinga kinyanganyiro cha Africa Magic Viewer’s Choice Awards 2016, wadau tuzipigie kura zilete ushindi nyumbani
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ps7GXx4WdN0/Vm6t0k7TcvI/AAAAAAAAjLM/0oSTwcT_ysI/s640/lulu.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rgJkqYjDews/Vm6t0bf6CRI/AAAAAAAAjLI/0POYY3vONEQ/s640/mpango%2Bmbaya.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_TDy1l0cTDw/Vm6vEqxGNxI/AAAAAAAAjLY/f_8yAU0Of2A/s640/kitendawili.jpg)
Proin Promotions Ltd imefanikiwa kuingiza filamu zake nne katika Shindano la Africa Magic Viewers Choice Awards 2016 (AMVCA 2016) katika vipengele viwili huku Filamu zote nne zikiingia katika Kipengele Kimoja cha BEST MOVIE – EAST AFRICA filamu zilizoingia katika kipengele hiko ni MAPENZI YA MUNGU, KITENDAWALI, MPANGO MBAYA, DADDY’S WEDDING huku filamu ya KITENDAWILI ikiingia katika Kipengele kingine cha BEST INDIGENOUS LANGUAGE MOVIE/TV SERIES – SWAHILI.
Filamu zote nne zimeingia...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ps7GXx4WdN0/Vm6t0k7TcvI/AAAAAAAAjLM/0oSTwcT_ysI/s72-c/lulu.jpg)
Filamu Nne Kutoka Proin Promotions zaingia kwenye kinyanganyiro cha Africa Magic Viewers Choice Awards 2016, wadau tunaomba tuzipigie kura zilete ushindi nyumbani
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ps7GXx4WdN0/Vm6t0k7TcvI/AAAAAAAAjLM/0oSTwcT_ysI/s640/lulu.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rgJkqYjDews/Vm6t0bf6CRI/AAAAAAAAjLI/0POYY3vONEQ/s640/mpango%2Bmbaya.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_TDy1l0cTDw/Vm6vEqxGNxI/AAAAAAAAjLY/f_8yAU0Of2A/s640/kitendawili.jpg)
9 years ago
Bongo529 Oct
FIFA yatoa majina ya vigogo saba wanaowania Urais
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Majina ya wanaowania tuzo za TASWA 2013/2014 haya hapa
Mwenyekiti Kamati ya Tuzo, Bw. Rehure Nyaulawa.
KAMATI ya Kusimamia Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania zinazotolewa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ilikutana Dar es Salaam jana na kupitia majina ya wanamichezo waliopendekezwa kuwania tuzo hizo.
Tuzo itafanyika Desemba 12 mwaka huu ukumbi wa Diamond, Jubilee (VIP), Dar es Salaam, ambapo wanamichezo mbalimbali waliofanya vizuri kati ya Juni 2013 hadi Juni 2014 watakabidhiwa tuzo zao.
Ni imani yetu kwamba zaidi ya...
10 years ago
Bongo Movies02 Apr
Majina ya Wanaowania Tuzo za Filamu Mwaka 2015 Haya Hapa
Majina ya wanaowania tuzo hizo hayo hapo chini fuatilia na kwa makini kisha jiandae kumpigia kura msanii wako...
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
CAF yatangaza majina ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji Bora Afrika 2015
Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo za Caf mwaka huu, Andrew Ayew.
Shirikisho la Soka barani Africa limeyataja majina 10 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika kwa mwaka wa 2015. Katika majina hayo pia ameorodheshwa mchezaji bora kwa mwaka 2014, Mchezaji wa timu ya taifa ya Ivory Coast na klabu ya Mnachester City.
Kwa upande wa taifa nchi ya Algeria na Ivory Coast yamefanikiwa kuingiza wachezaji wawili kila moja kwa upande wa Algeria wachezaji ambao wameingia katika...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Haya ndiyo majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora duniani 2015
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirikisho la soka duniani (FIFA) limetaja majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2015.
Majina hayo matatu (3) yamepatikana kutoka kwa majina 23 aliyokuwa yamependekezwa awali. Majina hayo ni;
Cristiano Ronaldo (Ureno – Real Madrid)
Lionel Messi (Argentina – Barcelona)
Neymar da Silva Santos (Brazil – Barcelona)
Kwa upande wa wanawake FIFA imewataja;
Carli Lloyd (Houston Dash -USA)
Aya Miyama (Okayama Yunogo Belle –...