Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


People’s Choice Awards 2016: Majina ya wanaowania upande wa muziki

the-weeknd

Majina ya wanaowania tuzo za People’s Choice Awards 2016 yametangazwa Jumanne hii Nov.3.

the-weeknd

Upande wa muziki miongoni mwa wasanii wenye nomination nyingi ni pamoja na The Weeknd anayeongoza kwa nominations tano. Wengine waliofanikiwa kuingia ni pamoja Taylor Swift , Drake, Justin Bieber, Madonna.

Tuzo hizo zitatolewa na kuoneshwa kupitia CBS January 6, 2016

Hii ni orodha ya wanaowania tuzo hizo upande wa muziki

Favorite Male Artist
Ed Sheeran
Justin Bieber
Luke Bryan
Nick Jonas
The...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Wanaowania Grammy Awards 2016 watangazwa, Kendrick Lamar aongoza

kendrick lamar

Majina ya wanaowania tuzo za 58 za Grammy 2016 yametangazwa Jumatatu Dec 7.

kendrick lamar

Wasanii wa Marekani waliotajwa kuwania vipengele vingi zaidi ni Kendrick Lamar anayewania vipengele 11, akifatiwa na Taylor Swift na The Weeknd wanaowania vipengele 7 kila mmoja.

Taylor Swift ndiye msanii pekee aliyefanikiwa kuingia kwenye vipengele vyote vikubwa – ‘Album of the Year’, ‘Song of the Year’, na ‘Record of the Year’.

Wengine waliotajwa kwenye kinyang’anyiro hicho ni Angelique Kidjo na kundi la Ladysmith...

 

10 years ago

Bongo5

Majina ya wanaowania tuzo za 2015 Grammy Awards yatangazwa, zitatolewa Feb. (orodha kamili)

Majina ya wasanii wanaowania tuzo kubwa za Grammy Awards yametangazwa Ijumaa Dec 5. Pharrell Williams na Ed Sheeran ndio wanaowania vipengele vikubwa vinne kikiwemo cha album bora ya mwaka. Wengine waliotajwa kuwania tuzo hizo ni pamoja na Beyonce, Iggy Azalea, Drake, Nicki Minaj, Chris Brown, Kanye West na wengine. Beyonce pia ametajwa kuwa ndio msanii […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Filamu 4 kutoka Proin Promotions zatinga kinyanganyiro cha Africa Magic Viewer’s Choice Awards 2016, wadau tuzipigie kura zilete ushindi nyumbani

Proin Promotions Ltd imefanikiwa kuingiza filamu zake nne katika Shindano la Africa Magic Viewers Choice Awards 2016 (AMVCA 2016) katika vipengele viwili huku Filamu zote nne zikiingia katika Kipengele Kimoja cha BEST MOVIE – EAST AFRICA filamu zilizoingia katika kipengele hiko ni  MAPENZI YA MUNGU, KITENDAWALI, MPANGO MBAYA, DADDY’S WEDDING huku filamu ya KITENDAWILI ikiingia katika Kipengele kingine cha BEST INDIGENOUS LANGUAGE MOVIE/TV SERIES – SWAHILI.

Filamu zote nne zimeingia...

 

9 years ago

Michuzi

Filamu Nne Kutoka Proin Promotions zaingia kwenye kinyanganyiro cha Africa Magic Viewers Choice Awards 2016, wadau tunaomba tuzipigie kura zilete ushindi nyumbani

Proin Promotions Ltd imefanikiwa kuingiza filamu zake nne katika Shindano la Africa Magic Viewers Choice Awards 2016 (AMVCA 2016) katika vipengele viwili huku Filamu zote nne zikiingia katika Kipengele Kimoja cha BEST MOVIE - EAST AFRICA filamu zilizoingia katika kipengele hiko ni  MAPENZI YA MUNGU, KITENDAWALI, MPANGO MBAYA, DADDY’S WEDDING huku filamu ya KITENDAWILI ikiingia katika Kipengele kingine cha BEST INDIGENOUS LANGUAGE MOVIE/TV SERIES – SWAHILI.Filamu zote nne zimeingia katika...

 

9 years ago

Bongo5

FIFA yatoa majina ya vigogo saba wanaowania Urais

Shirikisho la kandanda duniani, FIFA limetangaza majina ya viongozi saba watakaowania urais. Majina hayo ni pamoja na Prince Ali bin al-Hussein, mwenye miaka 39 ambaye ni rais wa shirikisho la kandanda la Jordan. Mwingine ni Musa Bility raia wa Liberia mwenye umri wa miaka 48 akiwa ni rais wa shirikisho la soka nchini humo. Yupo […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Majina ya wanaowania tuzo za TASWA 2013/2014 haya hapa

Mkurugenzi wa Times Fm, Rehure Nyaulawa akisisitiza jambo

Mwenyekiti Kamati ya Tuzo, Bw. Rehure Nyaulawa.

KAMATI ya Kusimamia Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania zinazotolewa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ilikutana Dar es Salaam jana na kupitia majina ya wanamichezo waliopendekezwa kuwania tuzo hizo.

Tuzo itafanyika Desemba 12 mwaka huu ukumbi wa Diamond, Jubilee (VIP), Dar es Salaam, ambapo wanamichezo mbalimbali waliofanya vizuri kati ya Juni 2013 hadi Juni 2014 watakabidhiwa tuzo zao.

Ni imani yetu kwamba zaidi ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Majina ya Wanaowania Tuzo za Filamu Mwaka 2015 Haya Hapa

Waandaaji wa tuzo kubwa kufanyika za filamu Tanzania Film Awards 2015 (TAFA) yametajwa rasmi na tayari kwa kupigiwa kura baada ya namba za majina hayo kutoka katika ukumbi wa Hotel ya New Africa,  mmoja kati  ya waratibu wa tuzo hizo Teacher Issa Mbura alieleza kuwa tuzo hizo zitakuwa na vipengele kumi na mbili tu, na baadae kulingana na mahitaji vinaweza kuongezeka kwa miaka ijayo.

Majina ya wanaowania tuzo hizo hayo hapo chini fuatilia na kwa makini kisha jiandae kumpigia kura msanii wako...

 

9 years ago

Dewji Blog

CAF yatangaza majina ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji Bora Afrika 2015

Andre-Dede-Ayew

Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo za Caf mwaka huu, Andrew Ayew.

Shirikisho la Soka barani Africa limeyataja majina 10 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika kwa mwaka wa 2015. Katika majina hayo pia ameorodheshwa mchezaji bora kwa mwaka 2014, Mchezaji wa timu ya taifa ya Ivory Coast na klabu ya Mnachester City.

Kwa upande wa taifa nchi ya Algeria na Ivory Coast yamefanikiwa kuingiza wachezaji wawili kila moja kwa upande wa Algeria wachezaji ambao wameingia katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Haya ndiyo majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora duniani 2015

ballon-shortlist

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Shirikisho la soka duniani (FIFA) limetaja majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2015.

Majina hayo matatu (3) yamepatikana kutoka kwa majina 23 aliyokuwa yamependekezwa awali. Majina hayo ni;

Cristiano Ronaldo (Ureno – Real Madrid)

Lionel Messi (Argentina – Barcelona)

Neymar da Silva Santos (Brazil – Barcelona)

Kwa upande wa wanawake FIFA imewataja;

Carli Lloyd (Houston Dash -USA)

Aya Miyama (Okayama Yunogo Belle –...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani