Wadau wasaidie netiboli
MASHINDANO ya Kombe la Taifa kwa mchezo wa netiboli yamefikia tamati mwishoni mwa wiki kwa mkoa wa kimichezo wa Temeke kutetea ubingwa kwa kuifunga Morogoro katika mechi ya mwisho. Temeke...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWADAU WASAIDIE WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI
Brig. Jen. Mwangela ameyasema hayo wakati akishiriki uzinduzi wa Mradi mpya wa taasisi ya Save The Children ambapo mradi huo mpya utajikita katika kuongeza ushiriki wa wananchi katika michakato ya kisera na Kibajeti.
Amesema taasisi hiyo imekuwa ikisaidia watoto wanaoishi katika mazingira...
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Wadau wasaidie Albino kupatiwa matibabu saratani ya ngozi
WATU wenye ulemavu wa ngozi (albino), wamekuwa wakisumbuliwa na maradhi ya ngozi hususan saratani ya ngozi. Maradhi hayo hadi sasa, baadhi ya watu huyachukulia kuwa labda hayana tiba, hiyo inatokana...
10 years ago
Habarileo26 May
‘Wasomi wasaidie maendeleo kwao’
WASOMI nchini wameaswa kuisaidia jamii mahali wanapotoka kwa kushirikiana na serikali kusukuma gurudumu la maendeleo, ikiwa wao wana uwezo wa kuwapunguzia changamoto mbalimbali wananchi zinazowakabili.
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Dk Kamala: Wanaowania urais wasaidie umma kwanza
10 years ago
Habarileo14 Dec
Wanawake wasaidie waume wasife kwa wingi barabarani
WANAWAKE wametakiwa kuwa chachu ya mabadiliko kwa kuwatahadharisha wenzi wao kuwa makini wanapokuwa barabarani kutokana na takwimu kuonesha ajali nyingi za vifo zimekuwa zikihusisha zaidi wanaume.
9 years ago
Habarileo15 Oct
Netiboli yaporomoka kimataifa
TANZANIA imeporomoka katika viwango vya mchezo wa netiboli duniani baada ya kuondolewa katika orodha ya nchi zinazotambuliwa na Shirikisho la Kimataifa la Netiboli (INF), sababu kubwa ikiwa ni kushindwa kucheza michezo mingi ya kimataifa.
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Temeke ‘malkia wa netiboli’
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
Mabingwa wa netiboli wapatikana
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Tunazungumzia soka, netiboli je?