Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadau wasaidie netiboli

MASHINDANO ya Kombe la Taifa kwa mchezo wa netiboli yamefikia tamati mwishoni mwa wiki kwa mkoa wa kimichezo wa Temeke kutetea ubingwa kwa kuifunga Morogoro katika mechi ya mwisho. Temeke...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WADAU WASAIDIE WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela amewataka wadau kwa kushirikiana na serikali waendelee kutoa msaada kwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi kwani bado wengi hawajafikiwa.

Brig. Jen. Mwangela ameyasema hayo wakati akishiriki uzinduzi wa Mradi mpya wa taasisi ya Save The Children ambapo mradi huo mpya utajikita katika kuongeza ushiriki wa wananchi katika michakato ya kisera na Kibajeti.

Amesema taasisi hiyo imekuwa ikisaidia watoto wanaoishi katika mazingira...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wadau wasaidie Albino kupatiwa matibabu saratani ya ngozi

WATU wenye ulemavu wa ngozi (albino), wamekuwa wakisumbuliwa na maradhi ya ngozi hususan saratani ya ngozi. Maradhi hayo hadi sasa, baadhi ya watu huyachukulia kuwa labda hayana tiba, hiyo inatokana...

 

10 years ago

Habarileo

‘Wasomi wasaidie maendeleo kwao’

WASOMI nchini wameaswa kuisaidia jamii mahali wanapotoka kwa kushirikiana na serikali kusukuma gurudumu la maendeleo, ikiwa wao wana uwezo wa kuwapunguzia changamoto mbalimbali wananchi zinazowakabili.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Kamala: Wanaowania urais wasaidie umma kwanza

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dk Diodorus Kamala amewataka wenye ndoto za kuwania urais mwaka ujao kufikiria kwanza namna ya kuwasaidia Watanzania wakiwa nje ya wadhifa huo, badala ya kuwaza kushinda kwanza mbio hizo ndipo wasaidie.

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake wasaidie waume wasife kwa wingi barabarani

WANAWAKE wametakiwa kuwa chachu ya mabadiliko kwa kuwatahadharisha wenzi wao kuwa makini wanapokuwa barabarani kutokana na takwimu kuonesha ajali nyingi za vifo zimekuwa zikihusisha zaidi wanaume.

 

9 years ago

Habarileo

Netiboli yaporomoka kimataifa

TANZANIA imeporomoka katika viwango vya mchezo wa netiboli duniani baada ya kuondolewa katika orodha ya nchi zinazotambuliwa na Shirikisho la Kimataifa la Netiboli (INF), sababu kubwa ikiwa ni kushindwa kucheza michezo mingi ya kimataifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Temeke ‘malkia wa netiboli’

>Wenyeji Temeke wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya netiboli ya kombe la taifa baada ya kuifunga Morogoro magoli 52-38 katika fainali iliyopigwa jana jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mabingwa wa netiboli wapatikana

Michuano ya netball imemalizika Zanzibar huku timu ya MOICT ya Kenya ikitwaa ubingwa kwa kuifunga NIC ya Uganda .

 

10 years ago

Mwananchi

Tunazungumzia soka, netiboli je?

Miaka ya themanini mpaka mwanzoni mwa miaka tisini, mchezo wa netiboli nchini ulikuwa ukishika nafasi ya pili kwa kupendwa na kujizolea mashabiki wengi, nyuma ya mchezo wa soka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani