Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunazungumzia soka, netiboli je?

Miaka ya themanini mpaka mwanzoni mwa miaka tisini, mchezo wa netiboli nchini ulikuwa ukishika nafasi ya pili kwa kupendwa na kujizolea mashabiki wengi, nyuma ya mchezo wa soka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau wasaidie netiboli

MASHINDANO ya Kombe la Taifa kwa mchezo wa netiboli yamefikia tamati mwishoni mwa wiki kwa mkoa wa kimichezo wa Temeke kutetea ubingwa kwa kuifunga Morogoro katika mechi ya mwisho. Temeke...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mabingwa wa netiboli wapatikana

Michuano ya netball imemalizika Zanzibar huku timu ya MOICT ya Kenya ikitwaa ubingwa kwa kuifunga NIC ya Uganda .

 

9 years ago

Habarileo

Netiboli yaporomoka kimataifa

TANZANIA imeporomoka katika viwango vya mchezo wa netiboli duniani baada ya kuondolewa katika orodha ya nchi zinazotambuliwa na Shirikisho la Kimataifa la Netiboli (INF), sababu kubwa ikiwa ni kushindwa kucheza michezo mingi ya kimataifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Temeke ‘malkia wa netiboli’

>Wenyeji Temeke wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya netiboli ya kombe la taifa baada ya kuifunga Morogoro magoli 52-38 katika fainali iliyopigwa jana jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Damu changa zinahitajika netiboli

NI Jumatatu nyingine tena tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga. Kama kawaida, lengo letu likiwa ni lilelile, kupeana changamoto za kispoti ili kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii....

 

11 years ago

Mwananchi

Kasoro za mashindano ya taifa ya Netiboli

Kwa mara ya kwanza tangu kuingia madarakani, uongozi mpya wa Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta) ulifanya mashindano ya taifa ya netiboli yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwa wiki moja.

 

11 years ago

Mwananchi

Morogoro wanyimwa kombe netiboli

Washindi wa pili wa Kombe la Taifa la netiboli timu ya Morogoro imewalalamikia waandaaji Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta) kwa kuwanyima kikombe na kuwapa pakiti tatu za majani ya chai kama zawadi.

 

11 years ago

Mwananchi

Temeke, Kinondoni zatambiana netiboli

Makocha wa timu za netiboli za Temeke na Kinondoni wametambiana huku kila mmoja akijinadi kuingia kwenye fainali ya Kombe la Taifa itakayopigwa kesho Jumamosi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Temeke malkia Netiboli Taifa

TIMU ya netiboli ya Mkoa wa Temeke, imetwaa ubingwa wa Kombe la Taifa katika mashindano yaliyofikia tamati jana Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Wakati ubingwa ukienda Temeke, nafasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani