Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Temeke malkia Netiboli Taifa

TIMU ya netiboli ya Mkoa wa Temeke, imetwaa ubingwa wa Kombe la Taifa katika mashindano yaliyofikia tamati jana Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Wakati ubingwa ukienda Temeke, nafasi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Temeke ‘malkia wa netiboli’

>Wenyeji Temeke wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya netiboli ya kombe la taifa baada ya kuifunga Morogoro magoli 52-38 katika fainali iliyopigwa jana jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Temeke, Kinondoni zatambiana netiboli

Makocha wa timu za netiboli za Temeke na Kinondoni wametambiana huku kila mmoja akijinadi kuingia kwenye fainali ya Kombe la Taifa itakayopigwa kesho Jumamosi.

 

11 years ago

Mwananchi

Kasoro za mashindano ya taifa ya Netiboli

Kwa mara ya kwanza tangu kuingia madarakani, uongozi mpya wa Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta) ulifanya mashindano ya taifa ya netiboli yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwa wiki moja.

 

10 years ago

TheCitizen

Temeke win Taifa Cup trophy again

Temeke proved their invincibility in the National Netball Championship (Taifa Cup) after retaining their crown for the third consecutive year.

 

10 years ago

BBCSwahili

TEMEKE yatwaa ubingwa TAIFA CUP

Chama cha kandanda mkoa wa Dar es salaam DRFA, kimeipongeza timu ya Temeke kwa kutwaa Ubingwa wa Taifa Wanawake, kwa bao 1-0

 

11 years ago

GPL

UTOAJI WA VITAMBULISHO VYA TAIFA TEMEKE JIJINI DAR

Baadhi ya wananchi wa kata ya Makangarawe, Manispaa ya Temeke, Dar wakisubiri zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya taifa leo.…

 

10 years ago

Michuzi

DRFA YAIFAGILIA TEMEKE KUTWAA UBINGWA TAIFA CUP

 Chama cha kandanda mkoa wa Dar es salaam DRFA, kimeipongeza timu ya Temeke kwa kutwaa Ubingwa wa Taifa Wanawake,baada ya kuifunga Pwani kwa bao 1-0,kwenye mchezo wa fainali uliopigwa jumapili ya Januari 31 kwenye dimba la Azam Complez huko Chamazi.  Katika fainali hiyo iliyohudhuriwa na waziri mwenye dhamana ya michezo Dk.Fenella Mukangara,imeshuhudiwa Temeke ikijipatia bao lake mnamo dakika ya 66 kupitia kwa mchezaji wao Neema Paul.  Temeke walifanikiwa kutinga hatua ya fainali baada ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Taifa Cup glory in sight Temeke girls as Kinondoni falter

>High-flying Temeke seem set to retain the Taifa Cup crown for the third time if their performance in their last four matches is anything to go by.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani