SHIRIKA LA NELICO NA MABARAZA YA WATOTO WILAYA YA GEITA WAFANYA ZIARA YA KIMAFUNZO KATIKA SHIRIKA LA KIVULINI
Mkurugenzi wa Shirika la Kutetea Haki za Wanawake na Wasichana la KIVULINI akitoa historia ya shirika la KIVULINI kwa wawakilishi wa mabaraza ya watoto mara baada ya kutembelea ofisi za shirika hilo hapo jana. KIVULINI ni shirika lisolo la kiserikali linalofanya shughuli za kupinga na kutetea Haki za Wanawake na Wasichana katika mikoa yote ya kanda ya ziwa pamoja na mkoa wa Singida tangu mwaka 1999.
Afisa Utetezi na Mitandao ya Kijamii toka Shirika la KIVULINI Bi. Khadija Liganga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VJyHriDYAZk/U2NRNWJJqhI/AAAAAAAAAQU/MrIVrAqWmnU/s72-c/1.jpg)
ASASI TANO ZINAZOPATA RUZUKU TOKA MFUKO WA MSAADA WA KISHERIA (LSF) KWA MIKOA YA KANDA YA ZIWA ZAMALIZA ZIARA YA SIKU 3 SHIRIKA LA KIVULINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VJyHriDYAZk/U2NRNWJJqhI/AAAAAAAAAQU/MrIVrAqWmnU/s1600/1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HnjAJj1hX9c/VnPc0KXU55I/AAAAAAAAQPk/oc52sq6VPP4/s72-c/20151218_091847.jpg)
UJUMBE WA SHIRIKA LA NYUMBA UGANDA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO NHC TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-HnjAJj1hX9c/VnPc0KXU55I/AAAAAAAAQPk/oc52sq6VPP4/s640/20151218_091847.jpg)
9 years ago
Vijimambo02 Sep
ZIARA YA SHIRIKA LA KIMAENDELEO PLAN INTERNATIONAL WILAYA YA KISARAWE
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/44.jpg)
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/114.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita.
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%.
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...
9 years ago
StarTV31 Dec
Wakazi Wilaya ya Mbogwe Geita wafanya usafi kujikinga Ya Kipindupindu Â
Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Mariam Lugaila ameongoza wananchi kutekeleza agizo la mkuu wa mkoa huo Fatma Mwasa la kufanya usafi.
Lengo ni kuhakikisha kila wilaya inajikinga na ugonjwa wa kipindupindu ambao umeshaingia mkoani humo.
Zoezi la usafi limefanyika katika eneo la sokoni na stendi ya mabasi mjini Masumbwe wananchi wote wakihimizwa kufanya usafi majumbani na maeneo ya kazi sambamba na kuchimba vyoo na kuvitumia.
Mkuu wa wilaya ya mbogwe Bi Mariamu Lugaila Amesema Rais John...
10 years ago
Vijimambo26 Jan
ZIARA YA MKURUGENZI WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA MIKOANI
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/QyR_2WfYW1s-DOaytMngXBSD4L4WR1ucrvqNScBrEuwJDvst2XD8G0Tl315TOO0WCxbxLsohbG8Jxxmk_D1ckwQ36fbZiI-q-JCtD455JVVbfkWAQCJfxz1ODik3YVAYZXvbMJVUCvy3SUbvJY4vkyjRTXaI5SR2iivJJJErZ5Yjw5Cuj6GEYctRAvVbfjB7ra9t2p-9jmUqdPjWyUhmPIR7RmRedlwd4grIfzAvfZh6LISu0muJjQ-p1JrEJ93CArA3MQpzVDBAwDZvQ_hNWhfMP7q4qdbxsV5-fHMemFOmif5ESkIufPb8AuqcmkgbLFnH1VFJZoes6FvaO8lTXqp1ugnp1QcB8E3KoyckbxiKN43uDH9Ifi36JaJH31t_rrB9F_dLk5BFYw=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-VC1msTyV--M%2FVMXjMREUVSI%2FAAAAAAAAMyQ%2FrTvX3D48EpQ%2Fs1600%2FZIARA%252BYA%252BMKURUGENZI%252BMKUU%252BMIKOANI-1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/btpISW4JDKK9fcJKWToLZXokzD2onqKvv_F3rUNvkeDhHi3INt1S3Pz-tx7NLZKSjX5pA1W2DXiw7W40D7XvOemxnn8nEUI8v9zz4Rew_jaw8cKpCq79livHCwn44q-ew-At9OqK2N0teby5JdZwYpikhIk6ahQJMSXyFz4i2sf0X_vttFXoeXsHQ723URR3vVEeY7NnyJJS0YQfEUZnBr_FD3eO7YmaHbX24nzLz36o0F59Q_vaWa-VBxOWl6ntDmWILpTmkqddLAJ1ESxFmAUCQlBlhABk5kamBjsSI6axzj0c2mIXWeVEs6em1JkebkeWNak_ddH_Af3i4zOst2jI0U8Bdn8Z2n27BBQGKMnbsLRor5PaeEKFXEhKgqKUQpQU7nG5Ch1lOQ=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-FcoSTR2kr9g%2FVMXjON4CZ7I%2FAAAAAAAAMyY%2FGbDx3i0BZa0%2Fs1600%2FZIARA%252BYA%252BMKURUGENZI%252BMKUU%252BMIKOANI-2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/9H-xeC81noLiLEuJTDQlOmXXDMxpLGGOrvalX7Y1JdbvOC6rwA13psxDIqDVh7TzuydHHkAEoNqqkjzgjpAasSUdK1CjEWqvKDf6uLz2QqrSu_jFl2f6uajYzGzsumPrAUq92IVLhapcilzNdktAm3NxL8094meHltQERpbz8LeDQSqpCKj2CaM1QpM0segDbHgnrhEic_AFv7glnI7bv_cJXTsAjMTb74yTi86B0qnqbjPghF9KmmUJUvMVEffutSyX9UEGdTgjIlxfz9hZ5MTipSd9JJoP4RxY1HRfJBqnIOYjBpQyfMhmkCRwx8JECHNWE7og6TibhpuWTJwn841ziowTADw197p9ogdT5CKnnNIyUppBPbbor7oHGOnbvLuj81AEwZFr0A=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-wbLZcKFl76o%2FVMXjPCyvMmI%2FAAAAAAAAMyg%2FIuwbUTP8PBw%2Fs1600%2FZIARA%252BYA%252BMKURUGENZI%252BMKUU%252BMIKOANI-3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA UZIKWASA LATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA WILAYA YA PANGANI
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu Hassani Nyange na kulia ni Mkurugenzi wa Halmashsuri ya wilaya ya Pangani Isaya Mbenje
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu...
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Mwanamke aliyeanzisha shirika la kuwafaa watoto
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h3kcCb6aTuM/VCXAp48QPaI/AAAAAAAGmBk/h1JgpuQ7h-s/s72-c/IMG-20140926-WA0025.jpg)
Shirika la EGPAF latoa msaada wa vifaa tiba kwa Hopitali ya Wilaya ya Kilwa
Halfla ya kukabidhi vifaa hivyo vitakavyotumika katika uchunguzi wa awali wa tatizo la saratani ya mlango wa kizazi kwa akinamama ilifanyika jana katika mji wa Kilwa kivinje.
Akikabidhi vifaa hivyo ikiwamo mashine maalum ya kuchunguzia ili kutambua dalili za awali za ugonjwa huo mratibu wa afya,uzazi na jinsia wa shirika hilo,Angasyege...