Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZIARA YA SHIRIKA LA KIMAENDELEO PLAN INTERNATIONAL WILAYA YA KISARAWE

4Meneja wa Plan International Kisarawe kulia William Mtukananje akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mradi wa kupinga ukatili kwa watoto unajulikana kwa jina la Violence Against Children (VAC) katika ofisi za paln international Wilaya ya Kissrawe kulia ni Mratibu wa Mradi wa kupinga ukatili kwa watoto kutoka Shirika la Plan International, Neema Daniel(Picha na Victor Masangu)1Mratibu wa Mradi wa kupinga ukatili kwa watoto kutoka Shirika la Plan International, Neema Danielni...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

PLAN INTERNATIONAL WAKABIDHI VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA WILAYANI KISARAWE...DC JOKATE ATOA NENO

 Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo(kulia) na Meneja wa Shirika la Plan International (kushoto) katika Wilaya hiyo Marcely Madubi(kushoto) wakioneshwa na Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani  Stanphod Mwakatabe moja ya vifaa vya msaada ambavyo vimetolewa na Shirika hilo kwa ajili ya mapambano dhidi ya Corona ndani ya wilaya hiyo.   Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Jokate  Mwegelo akiwa ameshika taulo za kike ambazo zimetolewa na Shirika la Plan...

 

11 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA NELICO NA MABARAZA YA WATOTO WILAYA YA GEITA WAFANYA ZIARA YA KIMAFUNZO KATIKA SHIRIKA LA KIVULINI

Mkurugenzi wa Shirika la Kutetea Haki za Wanawake na Wasichana la KIVULINI akitoa historia ya shirika la KIVULINI kwa wawakilishi wa mabaraza ya watoto mara baada ya kutembelea ofisi za shirika hilo hapo jana. KIVULINI ni shirika lisolo la kiserikali linalofanya shughuli za kupinga na kutetea Haki za Wanawake na Wasichana katika mikoa yote ya kanda ya ziwa pamoja na mkoa wa Singida tangu mwaka 1999. Afisa Utetezi na Mitandao ya Kijamii toka Shirika la KIVULINI Bi. Khadija Liganga...

 

10 years ago

Michuzi

ZIARA YA MAKAMU WA RAIS WA SHIRIKA LA HEIFER INTERNATIONAL STEVE DENNE NCHINI

DSCN1621Mfugaji wa Heifer International Tanzania Abel Mwakatumbula na mkewe wakiwa na Makamu wa Rais wa shirika hilo Bw. Steve Denne aliyetembelea Tanzania kwa mara kwanza wiki iliyopita kuona miradi inayoendeshwa na shirika hilo. Katika ziara hiyo, Steve Denne alitembelea ofisi za mkoa wa Mbeya akifuatana na Mkurugenzi wa Heifer International Tanzania Dk Henry Njakoi, Meneja Mradi wa EADD Tanzania Bwana Mark Tsoxo, ambapo walikutana na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro. Katika Mazungumzo yake na...

 

10 years ago

GPL

ZIARA YA MAKAMU WA RAIS WA SHIRIKA LA HEIFER INTERNATIONAL STEVE DENNE NCHINI‏

Mfugaji wa Heifer International Tanzania Abel Mwakatumbula na mkewe wakiwa na Makamu wa Rais wa shirika hilo. Makamu wa Rais wa Heifer International Steve Denne, Mkurugenzi wa Heifer International Tanzania Dk. Henry Njakoi wakifurahia mafanikio ya miradi ya Heifer International.…

 

10 years ago

Vijimambo

WILAYA YA KISARAWE YAZINDUA MRADI WA UENDELEZAJI WA ARDHI

 Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Kisarawe uliopo mkoani Pwani, Adamu Ng'imba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati wa  uzinduzi wa mradi wa uendelezaji wa ardhi katika wilaya hiyo. Kulia ni Ofisa Mtendaji wa mji huo, Constantine Mnemele na Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo,  Mwanamvua  Mrindoko Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo,  Mwanamvua  Mrindoko (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto Ofisa Ardhi na Maliasili wa...

 

10 years ago

GPL

WILAYA YA KISARAWE YAZINDUA MRADI WA UENDELEZAJI WA ARDHI‏

 Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Kisarawe uliopo mkoani Pwani, Adamu Ng'imba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati wa  uzinduzi wa mradi wa uendelezaji wa ardhi katika wilaya hiyo. Kulia ni Ofisa Mtendaji wa mji huo, Constantine Mnemele na Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo,  Mwanamvua Mrindoko.  Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo,  Mwanamvua ...

 

11 years ago

Michuzi

Zainab Matitu Vullu aipiga jeki hospitali ya wilaya ya Kisarawe

  Mbunge wa  viti maalum  Mkoa wa Pwani, Mhe Zainabu Matitu  Vullu akizungumza na Mganga Mkuu wa  Wilaya  ya  Kisarawe mkoani Pwani,Dk Happiness Ndossi baada ya kukabidhi > mashine ya kufuria nguo za wagonjwa, Mashuka,  pamoja na mipira ya Baiskeli  kwa ajili ya Hospitali hiyo  vyote vikiwa na gharama ya Shilingi Milioni Sita na laki  tano Wilaya ya Kisarawe,Dk. Happiness Ndossi  akionyesha moja ya shuka zilizotolewa na Mbunge wa Viti  maalum Mkoa wa Pwani, Mhe Zainabui Matiti Vullu kwa...

 

10 years ago

Michuzi

VIWANJA 291 VYATANGAZWA KWA UWEKEZAJI WA VIWANDA WILAYA YA KISARAWE

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Adamu Ng’imba akiwaonyesha waandishi wa habari jinsi mji wa Kisarawe utakavyojengwa, katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo,kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe na Katibu mkuu wa kamati kuu ya Miradi,Mwanamvua Mrindoko na kushoto  ni Afisa Mradi wa Maliasili wa Wilaya ya Kisarawe,Cheyo Nyegele.

Baadhi ya wajumbe wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe
wakimsikiliza...

 

10 years ago

IPPmedia

Plan International berates child marriage tradition


Plan International berates child marriage tradition
IPPmedia
In a bid to eradicate child marriages in the county, Tanzanians have been urged to abandon traditions and cultures that undermine the country's efforts to ensure the well-being of girl children. Kessia Chonjo, the Plan International community development ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani