Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zainab Matitu Vullu aipiga jeki hospitali ya wilaya ya Kisarawe

  Mbunge wa  viti maalum  Mkoa wa Pwani, Mhe Zainabu Matitu  Vullu akizungumza na Mganga Mkuu wa  Wilaya  ya  Kisarawe mkoani Pwani,Dk Happiness Ndossi baada ya kukabidhi > mashine ya kufuria nguo za wagonjwa, Mashuka,  pamoja na mipira ya Baiskeli  kwa ajili ya Hospitali hiyo  vyote vikiwa na gharama ya Shilingi Milioni Sita na laki  tano Wilaya ya Kisarawe,Dk. Happiness Ndossi  akionyesha moja ya shuka zilizotolewa na Mbunge wa Viti  maalum Mkoa wa Pwani, Mhe Zainabui Matiti Vullu kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

balozi seif aipiga jeki unique learning school

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seiof Ali Iddi akikabidhi Seti ya Kompyuta na Printa yake kwa Uongozi wa Unique Learning School iliyopo Upenja Wilaya ya Kaskazini “ B”.  Balozi Seif akiwasisitiza wanafunzi wa Unique Learning School kujitahidi katika masomo yao ili kujijengea hatma njema ya maisha yao ya baadaye kIelimu.Balozi Seif akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi na Wanafunzi wa Unique Learning School mara baada ya kuwakabidhi Kompyuta kutekeleza ahadi aliyoupa uongozi wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Maliasili na Utaliii, Nyalandu aipiga jeki ofisi ya Qadhi mkoa wa Singida

DSC09580

Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi akizungumza muda mfupi kabla msaidizi wa Waziri wa maliasili na utalii,  Helen Mtalemwa (wa pili kulia) kukabidhi shilingi milioni kumi kwa ajili ya kuipunguzia makali ya uendeshaji ofisi ya Qadhi mkoa wa Singida.

DSC09581

Msaidizi wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Helen Mtalemwa akimkabidhimsaada wa shilingi 10 milioni  Katibu wa mahakama ya Qadhi mkoa wa Singida, Alhaj Burhan Mlau kwa ajili ya kupunguza makali ya uendeshaji wa mahakama hiyo mjini...

 

11 years ago

Michuzi

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' aipiga jeki Uhuru Gym

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwa na baadhi ya mabondia wanaofanya mazoezi katika GYM ya Uhuru uwanja wa Basket, Kariakoo kutoka kushoto ni Atanasi kibwe,Omari Bai, Raymond Mbwago ,Mussa Sindano Vifaa na kocha wa GYM hiyo Mohamed Chipota  Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akikabidhi vifaa vya mchezo wa masumbwi Gloves pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo kwa Kocha wa GYM ya Uhuru uwanja wa...

 

9 years ago

StarTV

Waziri Mkuu aipiga marufuku Hospitali ya Mkoa Ruvuma kutoaji  Mimba

Waziri Mkuu Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa amepiga marufuku utoaji wa mimba katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma akisisitiza kuwa yeyote atakayebainika kufanya kazi ya utoaji Mimba atafukuzwa kazi mara moja.

Amesema hayo wakati akizungumza na watumishi, wauguzi na Madaktari wa Mkoa wa Ruvuma.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa Kasimu Majaliwa mara baada ya kufanya ukaguzi katika hospitari ya mkoa wa Ruvuma  amesema ana taarifa  ya madakitar baadhi kuhusika na...

 

11 years ago

Habarileo

Sumatra yatoa msaada hospitali ya Kisarawe

MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imetoa msaada wa vifaa vya hospitalini na kuwapa zawadi waliojifungua katika Hospitali ya Wilaya, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea Mwaka mpya.

 

10 years ago

Michuzi

MBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPITALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPITALI YA MACHAME

Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe akiwa amembeba mtoto mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Kuni na kulakiwa na wananchi katika jimbo hilo.Baadhi ya viongozi mbalimbali waliohudhuria shighuli ya makabidhiano iliyofanyika katika uwanja wa Kuni ,Bomang'ombe wilayani Hai.Wananchi wakiwa wamezingira magari hayo wakiyatizama kwa karibu.Mbunge wa jimbo la Hai ,akiuzungumza juu ya msaada huo kwa watu wa jimbo la Hai.Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe akikabidhi nyaraka mbalimbali za...

 

10 years ago

Vijimambo

WILAYA YA KISARAWE YAZINDUA MRADI WA UENDELEZAJI WA ARDHI

 Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Kisarawe uliopo mkoani Pwani, Adamu Ng'imba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati wa  uzinduzi wa mradi wa uendelezaji wa ardhi katika wilaya hiyo. Kulia ni Ofisa Mtendaji wa mji huo, Constantine Mnemele na Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo,  Mwanamvua  Mrindoko Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo,  Mwanamvua  Mrindoko (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto Ofisa Ardhi na Maliasili wa...

 

10 years ago

GPL

WILAYA YA KISARAWE YAZINDUA MRADI WA UENDELEZAJI WA ARDHI‏

 Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Kisarawe uliopo mkoani Pwani, Adamu Ng'imba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati wa  uzinduzi wa mradi wa uendelezaji wa ardhi katika wilaya hiyo. Kulia ni Ofisa Mtendaji wa mji huo, Constantine Mnemele na Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo,  Mwanamvua Mrindoko.  Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo,  Mwanamvua ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani