Waziri wa Maliasili na Utaliii, Nyalandu aipiga jeki ofisi ya Qadhi mkoa wa Singida
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi akizungumza muda mfupi kabla msaidizi wa Waziri wa maliasili na utalii, Helen Mtalemwa (wa pili kulia) kukabidhi shilingi milioni kumi kwa ajili ya kuipunguzia makali ya uendeshaji ofisi ya Qadhi mkoa wa Singida.
Msaidizi wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Helen Mtalemwa akimkabidhimsaada wa shilingi 10 milioni Katibu wa mahakama ya Qadhi mkoa wa Singida, Alhaj Burhan Mlau kwa ajili ya kupunguza makali ya uendeshaji wa mahakama hiyo mjini...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IlUX14oJkoE/VoJZY-7_rNI/AAAAAAAAASs/Iz1fKrcaDRI/s72-c/DSC_4403.jpg)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII PFOF. JUMANNE MAGHEMBE AKABIDHIWA RASMI OFISI LEO NA ALIYEKUWA WAZIRI WA WIZARA HIYO LAZARO NYALANDU
![](http://3.bp.blogspot.com/-IlUX14oJkoE/VoJZY-7_rNI/AAAAAAAAASs/Iz1fKrcaDRI/s640/DSC_4403.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b1A2YvSAAcw/VoJZcRwLIQI/AAAAAAAAAS4/2ZSG905gCwQ/s640/DSC_4409.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MALIASILI NA UTALII,LAZARO NYALANDU ATEMBELEA OFISI ZA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA (TANAPA)
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Ninazo picha za Lazaro Nyalandu akikabidhi rasmi ofisi kwa Waziri mpya wa Maliasili na Utalii
Dec 23 2015 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alimalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake. Sasa leo Dec 29, 2015 aliyekuwa waziri wa Utalii na Maliasili, Lazaro Nyalandu amekabidhi rasmi ofisi […]
The post Ninazo picha za Lazaro Nyalandu akikabidhi rasmi ofisi kwa Waziri mpya wa Maliasili na Utalii appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
StarTV06 Jan
Waziri Mkuu aipiga marufuku Hospitali ya Mkoa Ruvuma kutoaji  Mimba
Waziri Mkuu Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa amepiga marufuku utoaji wa mimba katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma akisisitiza kuwa yeyote atakayebainika kufanya kazi ya utoaji Mimba atafukuzwa kazi mara moja.
Amesema hayo wakati akizungumza na watumishi, wauguzi na Madaktari wa Mkoa wa Ruvuma.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa Kasimu Majaliwa mara baada ya kufanya ukaguzi katika hospitari ya mkoa wa Ruvuma amesema ana taarifa ya madakitar baadhi kuhusika na...
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Lazaro Nyalandu: Waziri wa Maliasili na Utalii
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nZXkrzx064Y/VZBR-JDBoSI/AAAAAAAHlQ0/x9WngzAfY84/s72-c/unnamed.jpg)
PSPF YAIPIGA JEKI OFISI YA MKUU WA MKOA WA LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-nZXkrzx064Y/VZBR-JDBoSI/AAAAAAAHlQ0/x9WngzAfY84/s640/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-r2oXze0zSBQ/VZBR-0MgO8I/AAAAAAAHlQ4/i2fzK273Gvk/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
Uhuru NewspaperZIARA YA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MH. LAZARO NYALANDU NCHINI MAREKANI
10 years ago
VijimamboWaziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu alipokutana na baadhi aya madiwani wa Loliondo
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dn2NnLwZdgM/VFIsQnyloyI/AAAAAAAGuLE/nQXnPhwjiF4/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
balozi seif aipiga jeki unique learning school
![](http://1.bp.blogspot.com/-dn2NnLwZdgM/VFIsQnyloyI/AAAAAAAGuLE/nQXnPhwjiF4/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-la7mtwPcGzw/VFIsQsRtWiI/AAAAAAAGuLI/9wkdtDqM5gA/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dFJfF3wAuh0/VFIsQwjjerI/AAAAAAAGuLQ/72w8IzdhZz4/s1600/unnamed%2B(28).jpg)