WILAYA YA KISARAWE YAZINDUA MRADI WA UENDELEZAJI WA ARDHI
Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Kisarawe uliopo mkoani Pwani, Adamu Ng'imba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati wa uzinduzi wa mradi wa uendelezaji wa ardhi katika wilaya hiyo. Kulia ni Ofisa Mtendaji wa mji huo, Constantine Mnemele na Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo, Mwanamvua Mrindoko
Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo, Mwanamvua Mrindoko (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto Ofisa Ardhi na Maliasili wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWILAYA YA KISARAWE YAZINDUA MRADI WA UENDELEZAJI WA ARDHI
10 years ago
MichuziBOA YAINGIA MKATABA NA KAMPUNI YA UENDELEZAJI ARDHI YA AVIC
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4PzCX0YvJHw/VhbIv2xZuoI/AAAAAAAAF1U/dLypl5xuRBQ/s72-c/asas.jpg)
MRADI WA UENDELEZAJI SEKTA YA MAZIWA AFRIKA YA MASHARIKI (EADD II)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4PzCX0YvJHw/VhbIv2xZuoI/AAAAAAAAF1U/dLypl5xuRBQ/s640/asas.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-C70hcg00F_4/VhbaIDYO2hI/AAAAAAAAF2Q/UobiRCufZwU/s640/kiwanda3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_OfpNaBgU6M/VhbaIGC0aBI/AAAAAAAAF2U/XR-siEZsF5I/s640/kiwanda.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Migogoro ya ardhi Kisarawe itatuliwe
WAHENGA walisema “okoa jahazi kabla halijazama”, na mimi ndivyo ninavyowataka viongozi wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani wakiwamo mkuu wa mkoa, wilaya, mkurugenzi, mbunge na madiwani washikamame kutatua migogoro ya...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU, WIZARA YA ARDHI AFANYA JITIHADA KUBORESHA MABARAZA YA ARDHI NA NYUMBA YA WILAYA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6Tc9VxG-cNs/VMNPQqHNAqI/AAAAAAAG_SU/W5z02jxRw9Q/s72-c/JWTZ_torch_logo.png)
JWTZ LAFAFANUA MGOGORO WA ARDHI TONDORONI WILAYANI KISARAWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Tc9VxG-cNs/VMNPQqHNAqI/AAAAAAAG_SU/W5z02jxRw9Q/s1600/JWTZ_torch_logo.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aHELeYGfzSA/XvhRwOIJvDI/AAAAAAALvxE/IoeMQS1CfRUrwsfc4qkMUJ1g43f1IiRqQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B10.16.01%2BAM.jpeg)
RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA MRADI WA MAJI WA KIBAMBA KISARAWE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanua Dkt John Pombe Magufuli amezindua mradi wa maji wa Kibamba Kisarawe uliotekelezwa na Mamlaka ha Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA.
Mradi huo umejengwa kufuatia agizo alilotoa Juni 21,2017 wakati wa uzinduzi wa Mtambo wa Ruvu Juu akiwataka Dawasa kutanua mtandao wa Usambazaji maji na kupeleka maji Kisarawe.
Akitoa maelezo ya mradi huo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasa Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema mradi wa...
5 years ago
MichuziRC NDIKILO AKABIDHIWA MRADI WA MAJI KISARAWE, AMUOMBA RAIS KUUZINDUA
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amekabidhiwa rasmi mradi wa maji Kisarawe na Mamlala ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam na Pwani (DAWASA) na kumuomba Rais Dkt John Pombe Magufuli kuuzindua.
Hayo ameyasema akiwa anaendelea na ziara yake, Ndikilo ametembelea mradi wa maji Kisarawe akianzia tanki la Kibamba hadi Kisarawe kwenye tenki la kuhifadhia maji.
Ndikilo amemuomba Rais kuuzindua mradi huo ambao umekamilika kama maagizo yake kwa...
9 years ago
Vijimambo02 Sep
ZIARA YA SHIRIKA LA KIMAENDELEO PLAN INTERNATIONAL WILAYA YA KISARAWE
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/44.jpg)
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/114.jpg)