BOA YAINGIA MKATABA NA KAMPUNI YA UENDELEZAJI ARDHI YA AVIC
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bank of Africa (BOA), Masia Mushi, akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo, wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa pamoja na Kampuni ya Kimataifa ya Uendelezaji wa Ardhi ya AVIC, kuhusu mradi mkubwa wa mikopo nafuu ya nyumba zilizojengwa na kampuni hiyo, zilizopo eneo la Somangira, Kigamboni jijini Dar es Salaam, ambao utawanufaisha watanzania hususani wateja wa benki ya BOA, ambao ulisainiwa rasmi jana. Katikati ni Naibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWILAYA YA KISARAWE YAZINDUA MRADI WA UENDELEZAJI WA ARDHI
10 years ago
GPLWILAYA YA KISARAWE YAZINDUA MRADI WA UENDELEZAJI WA ARDHI
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Dkt. Bilal azindua mradi wa ujenzi wa nyumba za mji wa Avic, ‘Avic Town’ uliopo Kigamboni Dar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Balozi wa China nchini Tanzania, Dkt. Lyu Youqing (kulia), Makamu wa Rais wa ‘Avc International’, Dkt. Cheng Baozhong (kushoto) kwa pamoja wakikata utepe kuzindua ramsi Mradi wa Ujenzi wa Mji wa Avoc ‘Avic Town’, uliozinduliwa leo Kigamboni jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Balozi wa China nchini Tanzania, Dkt. Lyu Youqing...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LQLUuv4nN68/VRMkNcxpyxI/AAAAAAAHNQM/WNt2Z29n3Fw/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
utiaji saini Mkataba wa uendelezaji wa Ujenzi wa Jengo la Upasuaji katika Hospitali ya Micheweni, pemba
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Benki ya CBA kuuza nyumba za kampuni Avic kwa mikopo ya masharti nafuu
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CBA Tanzania Bw.Julius Mcharo (katikati) akiwa pamoja na maofisa wa CBA na Avic International Real Estate wakiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) muda mfupi kabla ya kusaini mkataba ambapo CBA itawakopesha wateja wanaotaka kununua nyumba zilizojengwa na kampuni hiyo katika eneo la Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha wateja binafsi wa Benki ya CBA,Bi.Hyasintha Mwimanzi akiwaleza waandishi wa habari utaratibu wa mkopo wa nyumba...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8llcakM_D3Y/VXwhXmPqd_I/AAAAAAADrPY/EUKWj9KuyI8/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA ZA MJI WA AVIC, 'AVIC TOWN' ULIOPO KIGAMBONI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-8llcakM_D3Y/VXwhXmPqd_I/AAAAAAADrPY/EUKWj9KuyI8/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-afCp_o_kBQ4/VXwhZgjSJkI/AAAAAAADrP4/yj17WphsgAQ/s640/2.jpg)
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA AVIC TOWN YAANZA KUUZA NYUMBA ZAKE ILIYOZIJENGA MRADI WA KIBADA JIJINI DAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nnsbzwZ6dyM/UvzEmwBTRrI/AAAAAAAFM6k/7kLfxA-xx7I/s72-c/unnamed+(9).jpg)
pinda akutana na viongozi wa kampuni ya AVIC Group China Civil Aviation inayotaka kuwekeza ATCL
![](http://4.bp.blogspot.com/-nnsbzwZ6dyM/UvzEmwBTRrI/AAAAAAAFM6k/7kLfxA-xx7I/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xEz29Tl7NhI/UvzEpgxIQ7I/AAAAAAAFM6s/P5C5wRvljrw/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
GPLSIMBA YAINGIA MKATABA NA EAG