Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Benki ya CBA kuuza nyumba za kampuni Avic kwa mikopo ya masharti nafuu

 

cba 2

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CBA Tanzania  Bw.Julius Mcharo (katikati) akiwa pamoja na maofisa wa CBA na  Avic International Real Estate wakiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)  muda mfupi kabla ya kusaini mkataba ambapo CBA itawakopesha wateja wanaotaka kununua nyumba zilizojengwa na kampuni hiyo katika eneo la Kigamboni jijini Dar es Salaam.

cba 8

Mkuu wa Kitengo cha wateja binafsi wa Benki ya CBA,Bi.Hyasintha Mwimanzi akiwaleza waandishi wa habari  utaratibu wa mkopo wa nyumba...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA AVIC TOWN YAANZA KUUZA NYUMBA ZAKE ILIYOZIJENGA MRADI WA KIBADA JIJINI DAR

 Ofisa Masoko wa Kampuni Avi Town, Kidani Muhombolage (kulia) akiwaongoza wateja walipotembelea mradi wa nyumba za aina saba zilizojengwa na kampuni hiyo zilizopo Kijiji cha Somangira Kigamboni Dar es Salaam, Mradi huo una ekari 583.  Wateja wakiwa wanatoka ndani ya nyumba hizo

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

CBA YAHIMIZA WATANZANIA KUCHANGAMKIA MIKOPO YA NYUMBA

Meneja Masoko wa kampuni ya AVIC International,Bw.He Xianlong (katikati) akimwonyesha Mkurugenzi wa Benki ya CBA Tanzania,Bw.Julius Mcharo na maofisa alioambatana nao ramani za nyumba  zilizojengwa kwa ajili ya kuuzwa wakati wa ziara ya maofisa wa CBA walipotembelea mradi huo leo. CBA imeingia mkataba wa kutoa mikopo kwa wananchi wanaotaka kununua nyumba hizo kwa ajili ya makaziMaofisa wa CBA Na Avic wakiangalia nyumba ambazo  zimejengwa kwa ajili ya kuuzwa kwa wananchi.  Mkurugenzi Mtendaji...

 

10 years ago

Michuzi

WANAWAKE WATAKIWA KUJIUNGA TAASISI ZA FEDHA ZENYE MASHARTI NAFUU YA MIKOPO

Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWANAWAKE wametakiwa kujiunga katika taasisi za fedha ambazo zinaainisha mikopo ya wajasiriamali hiyo itasaidia wanawake kujikwamua na umasikini.
Hayo ameyasema leo Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto,Sophia Simba wakati wa uzinduzi wa mpango Fanikisha Plus  wa wajasirimali unaondeshwa na benki ya Equity iliyofanyika leo katika ukumbi JB,Belmote jijini Dar es Salaam.
Sophia amesema wanawake umefika wakati kutumia fursa ambazo taasisi za fedha zenye...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal azindua mradi wa ujenzi wa nyumba za mji wa Avic, ‘Avic Town’ uliopo Kigamboni Dar.

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Balozi wa China nchini Tanzania, Dkt. Lyu Youqing (kulia), Makamu wa Rais wa ‘Avc International’, Dkt. Cheng Baozhong (kushoto) kwa pamoja wakikata utepe kuzindua ramsi Mradi wa Ujenzi wa Mji wa Avoc ‘Avic Town’, uliozinduliwa leo Kigamboni jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).

3

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Balozi wa China nchini Tanzania, Dkt. Lyu Youqing...

 

10 years ago

Mtanzania

WHC kutoa mikopo ya nyumba bila masharti

NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
TAASISI ya Mpango wa Makazi kwa Watumishi (WHC) inatarajia kutoa mkopo wa nyumba za bei nafuu kwa watumishi wa umma bila masharti yoyote.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Meneja Masoko wa WHC, Raphael Mwabukonde, alisema hakutakuwa na masharti yoyote kwa mtumishi atakayetaka kukopa kwa sababu watadhaminiwa na Serikali.
Alisema taasisi hiyo imeanzishwa kwa lengo la kuwawezesha watumishi wa umma kupata makazi bora baada ya kustaafu, hivyo Serikali iliamua kuwadhamini...

 

9 years ago

Habarileo

Lowassa aahidi kuanzisha benki ya mikopo nafuu

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na vyama vya CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, Edward Lowassa amesema akiteuliwa kuwa rais ataanzisha benki ya maendeleo kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wananchi wa kipato cha chini.

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA ZA MJI WA AVIC, 'AVIC TOWN' ULIOPO KIGAMBONI DAR.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi wa ujenzi wa Mradi wa Ujenzi wa Mki wa Avic, 'Avic Town', uliofanyika leo Juni 13, 2015 Kigamboni jijini Dar es SalaamMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Balozi wa China nchini Tanzania, Dkt. Lyu Youqing (kulia), Makamu wa Rais wa 'Avc International', Dkt. Cheng Baozhong (kushoto) kwa pamoja wakikata utepe kuzindua ramsi Mradi wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: BENKI HAIWEZI KUUZA NYUMBA KWA MKOPO AMBAO MMOJA WA WANANDOA HAKUSHIRIKI

Na  Bashir   Yakub.
Ukisoma  kichwa  cha  habari  utaona  nimeongelea  nyumba  lakini    kimsingi   mchakato  huu  unahusisha  mali  zote  za  wanandoa  vikiwemo  viwanja,  magari,  na  kila  kitu  ambacho  ni  mali ya  wanandoa. Kichwa  kinajieleza  kuwa   ni  makosa  benki  au taasisi  yoyote  ya  fedha  kuuza   nyumba  au  mali  yoyote  ya  wanandoa  ikiwa  wakati  wa  kuchukua  mkopo  mwanandoa  mmojawapo  hakushirikishwa  katika    mchakato  wa  mkopo  huo. 
1.  MAANA   YA   MALI   YA...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB yaipatia Tanzania Mkopo wa Masharti Nafuu kiasi cha shilingi trilioni 1.14

Serikali ya Tanzania na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB), zimesaini mikataba mitano ya mkopo wa masharti nafuu ya Dola za Marekani milioni 495.59 ambayo ni sawa na TZS trilioni 1.14 zitakazowezesha kutekeleza ujenzi wa miradi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Msalato Jijini Dodoma, Dola za Marekani milioni 271.63, ujenzi wa barabara ya Bagamoyo-Holoholo-Lungalunga–Malindi km.120.8 kwa gharama ya Dola za Marekani milioni 168.76 na Dola 55.2 kwa ajili ya Programu ya utawala bora na kuendeleza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani