WHC kutoa mikopo ya nyumba bila masharti
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
TAASISI ya Mpango wa Makazi kwa Watumishi (WHC) inatarajia kutoa mkopo wa nyumba za bei nafuu kwa watumishi wa umma bila masharti yoyote.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Meneja Masoko wa WHC, Raphael Mwabukonde, alisema hakutakuwa na masharti yoyote kwa mtumishi atakayetaka kukopa kwa sababu watadhaminiwa na Serikali.
Alisema taasisi hiyo imeanzishwa kwa lengo la kuwawezesha watumishi wa umma kupata makazi bora baada ya kustaafu, hivyo Serikali iliamua kuwadhamini...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Benki ya CBA kuuza nyumba za kampuni Avic kwa mikopo ya masharti nafuu
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CBA Tanzania Bw.Julius Mcharo (katikati) akiwa pamoja na maofisa wa CBA na Avic International Real Estate wakiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) muda mfupi kabla ya kusaini mkataba ambapo CBA itawakopesha wateja wanaotaka kununua nyumba zilizojengwa na kampuni hiyo katika eneo la Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha wateja binafsi wa Benki ya CBA,Bi.Hyasintha Mwimanzi akiwaleza waandishi wa habari utaratibu wa mkopo wa nyumba...
11 years ago
Habarileo10 May
Polisi wataka mifuko ya jamii kutoa mikopo ya nyumba
ASKARI wa jeshi la polisi mkoani Mara wameiomba Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Jamii (SSRA) kukaa na mifuko ya hifadhi ya jamii iweze kutoa mikopo ya nyumba kwa askari hao.
10 years ago
Habarileo15 Aug
WHC watenga bilioni 400/- ujenzi wa nyumba
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga Sh bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za watumishi wa Serikali katika mikoa 13 nchini. Ujenzi wa nyumba hizo unatarajiwa kuanza Oktoba mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi15 May
WHC kumaliza kero za nyumba kwa watumishi?
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
WHC yadhamiria kuwamilikisha nyumba watumishi wa umma
TAKWIMU zinaonyesha kwamba kuna mahitaji ya nyumba milioni tatu nchini na kila mwaka zinatakiwa nyumba 200,000. Wakati takwimu zikionyesha hivyo, ni asilimia mbili tu ya watu wanaojenga kupitia mikopo ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HrE0xTSBKMI/XsKDt6lzxOI/AAAAAAALqqM/4ZkT6hz8kXMThidQq08N3oy4vOEgRoUCwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.31.43%2BPM.jpeg)
BODI YA MIKOPO YATAKIWA KUWA TAYARI KUTOA MIKOPO KWA WANAFUNZI PINDI VYUO VITAKAPOFUNGULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HrE0xTSBKMI/XsKDt6lzxOI/AAAAAAALqqM/4ZkT6hz8kXMThidQq08N3oy4vOEgRoUCwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.31.43%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0oHVA2UbJjY/XsKDtaBJVtI/AAAAAAALqqI/MYmvXNWfSuwiEzqd-KE1pvfhLbD7QQYGwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.32.03%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZorMRMpkxok/XsKDugAyI6I/AAAAAAALqqQ/ZOLUe0pbRl0cMunDKQwEcuLriC0jUDSeQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.32.22%2BPM.jpeg)
11 years ago
Mwananchi27 Dec
UVCCM walalamikia masharti ya mikopo
10 years ago
MichuziWANAWAKE WATAKIWA KUJIUNGA TAASISI ZA FEDHA ZENYE MASHARTI NAFUU YA MIKOPO
Hayo ameyasema leo Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto,Sophia Simba wakati wa uzinduzi wa mpango Fanikisha Plus wa wajasirimali unaondeshwa na benki ya Equity iliyofanyika leo katika ukumbi JB,Belmote jijini Dar es Salaam.
Sophia amesema wanawake umefika wakati kutumia fursa ambazo taasisi za fedha zenye...
11 years ago
Habarileo06 Feb
Aliyeua mke bila kukusudia aachwa huru kwa masharti
MAHAKAMA Kuu Tanzania Kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa, imemwachia huru kwa masharti, Evod Johannes (34) maarufu Luvanda, baada ya kukiri kumuua mke wake bila kukusudia.