WHC kumaliza kero za nyumba kwa watumishi?
Kuwa na makazi ni moja ya mahitaji muhimu ya binadamu, kwa kutambua hilo Serikali imekuwa ikifanya jitihada mbalimbali kuwawezesha watumishi wake na wananchi kwa jumla kupitia mashirika mbalimbali, waweze kumiliki nyumba hata kwa njia ya mkopo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
WHC yadhamiria kuwamilikisha nyumba watumishi wa umma
TAKWIMU zinaonyesha kwamba kuna mahitaji ya nyumba milioni tatu nchini na kila mwaka zinatakiwa nyumba 200,000. Wakati takwimu zikionyesha hivyo, ni asilimia mbili tu ya watu wanaojenga kupitia mikopo ya...
9 years ago
VijimamboWATUMISHI HOUSING COMPANY, BENKI YA CRDB WATIA SAINI MKATABA WA MIKOPO YA NYUMBA KWA WATUMISHI WA UMMA
Katibu wa Benki ya CRDB, John Rugambo (kulia), akitia saini mkataba huo. Kutoka kushoto ni Chief Operation Officer wa WHCTZ, Weja Ng'olo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa TMRC, Oscar Mgaya, Mkurugenzi wa Watumishi Housing Company, Dk.Fred Msemwa na Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Charles Kimei.
10 years ago
Habarileo15 Aug
WHC watenga bilioni 400/- ujenzi wa nyumba
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga Sh bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za watumishi wa Serikali katika mikoa 13 nchini. Ujenzi wa nyumba hizo unatarajiwa kuanza Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Mtanzania10 Apr
WHC kutoa mikopo ya nyumba bila masharti
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
TAASISI ya Mpango wa Makazi kwa Watumishi (WHC) inatarajia kutoa mkopo wa nyumba za bei nafuu kwa watumishi wa umma bila masharti yoyote.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Meneja Masoko wa WHC, Raphael Mwabukonde, alisema hakutakuwa na masharti yoyote kwa mtumishi atakayetaka kukopa kwa sababu watadhaminiwa na Serikali.
Alisema taasisi hiyo imeanzishwa kwa lengo la kuwawezesha watumishi wa umma kupata makazi bora baada ya kustaafu, hivyo Serikali iliamua kuwadhamini...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UZldFb3JMoA/VGgOvBBkTBI/AAAAAAAGxko/sTc8Io0ylbQ/s72-c/unnamed.jpg)
Watumishi Housing Company na Kibaha Education Centre waafikiana kushirikiana katika ujenzi wa nyumba za watumishi wa umma
![](http://3.bp.blogspot.com/-UZldFb3JMoA/VGgOvBBkTBI/AAAAAAAGxko/sTc8Io0ylbQ/s1600/unnamed.jpg)
5 years ago
MichuziDKT MWANJELWA AWATAKA WATUMISHI HOUSE KUWEKA KIPAUMBELE WATUMISHI WA UMMA KUNUNUA NYUMBA ZA TAASISI HIYO
Amesema licha kutoa kipaumbele Kwa watumishi wa umma lakini pia asilimia nyingine lazima iende Kwa watumishi ambao wapo kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
Dkt Mwanjelwa ameyasema hayo jijini Dar es Salaam leo mara baada ya kutembelea moja ya miradi...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Dawasa na mikakati ya kumaliza kero ya maji
MRADI wa upanuzi wa mtambo wa Ruvu Juu na mingine inayoendelea inatarajiwa kuleta ahueni kubwa ya huduma za maji katika jiji la Dar es Salaam mara itakapokamilika. Kaimu Mkurugenzi wa...
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Jafo apania kumaliza kero ya maji Kisarawe
“MAISHA niliyoishi ndiyo yanayonifanya nisizembee kuwatumikia wananchi katika hii nafasi ya ubunge niliyoipata, natambua wapo wanaoishi kama nilivyokua mimi awali, hii inanifanya nisilewe madaraka niliyo nayo. “Kila nikirudi jimboni kwangu,...