Dkt. Bilal azindua mradi wa ujenzi wa nyumba za mji wa Avic, ‘Avic Town’ uliopo Kigamboni Dar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Balozi wa China nchini Tanzania, Dkt. Lyu Youqing (kulia), Makamu wa Rais wa ‘Avc International’, Dkt. Cheng Baozhong (kushoto) kwa pamoja wakikata utepe kuzindua ramsi Mradi wa Ujenzi wa Mji wa Avoc ‘Avic Town’, uliozinduliwa leo Kigamboni jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Balozi wa China nchini Tanzania, Dkt. Lyu Youqing...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8llcakM_D3Y/VXwhXmPqd_I/AAAAAAADrPY/EUKWj9KuyI8/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA ZA MJI WA AVIC, 'AVIC TOWN' ULIOPO KIGAMBONI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-8llcakM_D3Y/VXwhXmPqd_I/AAAAAAADrPY/EUKWj9KuyI8/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-afCp_o_kBQ4/VXwhZgjSJkI/AAAAAAADrP4/yj17WphsgAQ/s640/2.jpg)
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA AVIC TOWN YAANZA KUUZA NYUMBA ZAKE ILIYOZIJENGA MRADI WA KIBADA JIJINI DAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Benki ya CBA kuuza nyumba za kampuni Avic kwa mikopo ya masharti nafuu
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CBA Tanzania Bw.Julius Mcharo (katikati) akiwa pamoja na maofisa wa CBA na Avic International Real Estate wakiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) muda mfupi kabla ya kusaini mkataba ambapo CBA itawakopesha wateja wanaotaka kununua nyumba zilizojengwa na kampuni hiyo katika eneo la Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha wateja binafsi wa Benki ya CBA,Bi.Hyasintha Mwimanzi akiwaleza waandishi wa habari utaratibu wa mkopo wa nyumba...
9 years ago
MichuziWAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AZINDUA MPANGO KABAMBE WA MJI MPYA WA KIGAMBONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-lZpkJnhJsLw/VfaZTONw_rI/AAAAAAAH4qI/Kiiw7DR9J7s/s640/10.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
MichuziJK atembelea banda la NSSF, avutiwa na mradi wa ujenzi wa mji wa kisasa wa Dege Eco Village, kigamboni
![](http://1.bp.blogspot.com/-FGsjHwhXPlI/U7gU2csaO7I/AAAAAAABB0o/D2Q_mIWiBGg/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QezxRVwjQ3g/U7gbDiT4YVI/AAAAAAABB1w/oCXX6duyybI/s1600/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dr9d-ypKGN4/U7gWD5BXtzI/AAAAAAABB1A/XV88d0eHfXc/s1600/1.jpg)
11 years ago
GPL27 Mar
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Pinda akagua ujenzi wa daraja la Kigamboni na mradi wa nyumba za mashirika ya NSSF na NHC
Waziri Mkuu, Mizewngo Pinda akikagua ujenzi wa daraja la kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa nyumba unaofanywa na Shirika la NSSF katika eno la Kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KmBpjlp_aeU/VJcEfxW8DbI/AAAAAAAG428/1TLdMN7W1jk/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Rais Kikwete azindua mradi wa ujenzi Nyumba za maafisa wa jeshi
![](http://4.bp.blogspot.com/-KmBpjlp_aeU/VJcEfxW8DbI/AAAAAAAG428/1TLdMN7W1jk/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
Picha na Freddy Maro
![](http://4.bp.blogspot.com/-3tIYWTHu9i4/VJcEf756p4I/AAAAAAAG424/4ZWlAakb9aw/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua mfuko wa elimu wa halmashauri ya mji wa Kibaha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akivishwa Skafu na vijana wa Scout wa mji wa Kibaha, wakati alipowasili kwenye uwanja wa Mailimoja Kobaha, kwa ajili kuzindua Mfuko wa Elimu wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani, leo, Mei 31, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wakati akiwasili uwanjani hapo.
Baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali za...