PLAN INTERNATIONAL WAKABIDHI VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA WILAYANI KISARAWE...DC JOKATE ATOA NENO
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo(kulia) na Meneja wa Shirika la Plan International (kushoto) katika Wilaya hiyo Marcely Madubi(kushoto) wakioneshwa na Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Stanphod Mwakatabe moja ya vifaa vya msaada ambavyo vimetolewa na Shirika hilo kwa ajili ya mapambano dhidi ya Corona ndani ya wilaya hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Jokate Mwegelo akiwa ameshika taulo za kike ambazo zimetolewa na Shirika la Plan...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lW3sx7lzaak/XruQ2DdMw8I/AAAAAAALp_k/5UTSQb5ZKOklc1W9A2Ri0_1Y3nAIY15cgCLcBGAsYHQ/s72-c/Pc-4-768x677.jpg)
IKUPA ATOA MSAADA WA VIFAA KWA AJILI YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA CORONA KWA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU (SHIVYAWATA)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lW3sx7lzaak/XruQ2DdMw8I/AAAAAAALp_k/5UTSQb5ZKOklc1W9A2Ri0_1Y3nAIY15cgCLcBGAsYHQ/s640/Pc-4-768x677.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Pc-5.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Watu Wenye Ulemavu Mhe. Stella Ikupa (katikati) akimwangalia Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu (SHIVYAWATA)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-azEL92owoJ4/Xrb-nv6PTqI/AAAAAAALpoM/wdZ3V1zEzOcZrvQFlj2Dhp_xu44btlJ0wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-09%2Bat%2B8.09.20%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MTANDAO WA VIONGOZI WANAWAKE WAKABIDHI VIFAA VYA CORONA VYA SH MILIONI TANO GEREZA LA ISANGA DODOMA
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo, mmoja wa Waanzilishi wa mtandao huo, Beatrice Kimoleta amesema hatua hiyo wameifanya ikiwa ni kuunga mkono kwa vitendo juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali katika kupambana na ugonjwa wa Corona.
“ Mhe....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SEceDJZ9m1c/Xr4ymqY4lCI/AAAAAAALqTg/bkP-Ewg3n-sNNlnWzTe-AIFYM4vc77m7ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200513-WA0078.jpg)
UVCCM HANANG' WAKABIDHI VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilayani Hanang' Mkoani Manyara, kupitia kampeni yao ya mikono safi Hanang' salama wameikabidhi Serikali vifaa vya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona vya thamani ya sh. 531,000.
Makamu Mwenyekiti wa kampeni ya mikono safi Hanang' Emmanuel Gamasa akizungumza jana alisema lengo la UVCCM wilayani humo kukabidhi msaada huo wa vifaaa hivyo ni kuiunga mkono serikali katika mapambano ya kujikinga na maambukizi ya virusi...
5 years ago
MichuziWAZIRI KALEMANI ATOA NENO UAGIZWAJI VIFAA VYA UMEME NJE YA NCHI
Veronica Simba – Dar es Salaam
Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani amesisitiza msimamo wa serikali kutoruhusu uagizwaji nje ya nchi, vifaa vya umeme hususan mashine umba (transfoma) na nyaya na kwamba atakayebainika kukaidi agizo hilo atachukuliwa hatua kali za kisheria zinazohusiana na uhujumu uchumi.Alitoa msimamo huo jijini Dar es Salaam, Machi 12 mwaka huu, baada ya kutembelea kiwanda cha Europe Inc. Industries LTD (TROPICAL), kinachozalisha vifaa hivyo na kujiridhisha kuwa uwezo wake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xMJLEImKx4k/XlTuY5qYJjI/AAAAAAAEFvs/QfcYzL-cGLYYKlIDnmH25FVOpeOLLwpggCLcBGAsYHQ/s72-c/2ce1db18-0a21-4149-a7a7-c003444b8bbc.jpg)
ZOLA kuzawadia vifaa vya umeme wanafunzi wataofanya vizuri katika mitihani yao wilayani Kisarawe
Akitangaza ofa hiyo ,Mkurugenzi Mkuu wa...
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iXIFPGTlxU0/XsFEicSzciI/AAAAAAALqk0/z1A3Tm2uzp4AmFpazgGAWCJ5xJCxm0kJQCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
SHIA ITHNA ASHERIA MWANZA WAKABIDHI VIFAA KINGA VYA CORONA JESHI LA POLISI
NA BALTAZAR MASHAKA, Mwanza
WAUMINI wa madhehebu ya Khoja Shia Ithna Asheria, jijini Mwanza wamejitosa kwenye mapambano ya vita dhidi ya Homa kali ya Mapafu inayosababishwa na Kirusi cha Corona (Covid-19) kwa kutoa msaada wa vifaa kinga vya ugonjwa huo kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza.
Vifaa kinga hivyo barakoa 300, vitakasa mikono 500 na chupa 500 za sanitizer vilikabidhiwa juzi kwa Ofisa Mnadhimu wa jeshi hilo mkoani humu, Safia Jongo kwa niaba ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RnZQ3CypZ48/XptF_r6wMVI/AAAAAAALnW4/TsbMNctnBakvmZbRNQlvntVekKAh2PjUwCLcBGAsYHQ/s72-c/5be10df3d5a9d9b84690063962bbfb23.jpg)
KATAVI YAPOKEA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA
* RC KATAVI ATOA SAA 48 KWA MCHINA ALIYEKATAA KUNAWA AFIKISHWE MAHAKAMANI.
Serikali Mkoani Katavi imepokea Vifaa tiba kwa ajili ya kuendelea na mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Corona ikiwemo vifaa vinavyotumika kupima joto la mwili ambapo ni miongoni mwa changamoto iliyokuwa ikiukabiri Mkoa huo huku Mkuu wa Mkoa wa Katavi akitoa masaa 48 kwa Jeshi la Polisi kumfikisha Mahakamani Raia wa Kichina aliyekataa kunawa mikono yake maji tiririka.
Akipokea Vifaa hivyo kutoka Water Reed Program...