ZOLA kuzawadia vifaa vya umeme wanafunzi wataofanya vizuri katika mitihani yao wilayani Kisarawe
![](https://1.bp.blogspot.com/-xMJLEImKx4k/XlTuY5qYJjI/AAAAAAAEFvs/QfcYzL-cGLYYKlIDnmH25FVOpeOLLwpggCLcBGAsYHQ/s72-c/2ce1db18-0a21-4149-a7a7-c003444b8bbc.jpg)
Kampuni ya kuzalisha vifaa vya umeme wa jua ya ZOLA Electric Tanzania, ambayo zamani ilijulikana kama Mpower, imeeleza dhamira yake ya kusaidia jamii na kuunga mkono jitihada za serikali kuboresha sekta ya elimu ambapo imetangaza kuwazawadia vifaa vya nishati ya umeme wa jua wanafunzi wa kidato cha nne watakaofanya vizuri kwenye mtihani wa Taifa katika wilaya ya Kisarawe mwaka huu kupitia kampeni yake inayoendelea inayojulikana kama ‘Bukua na Ushinde’.
Akitangaza ofa hiyo ,Mkurugenzi Mkuu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziPLAN INTERNATIONAL WAKABIDHI VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA WILAYANI KISARAWE...DC JOKATE ATOA NENO
9 years ago
StarTV09 Sep
Hali ya Wanafunzi wa darasa la 7 wanaofanya mitihani yao ya mwisho
Ikiwa ni siku ya kwanza ya watahiniwa wa Darasa la Saba kufanya mtihani wao wa kuhitimu elimu ya msingi nchi nzima, baadhi ya Shule za msingi jijini Dar Es Salaam zimeoneka kuwa katika hali ya utulivu na amani .
Wanafunzi wameendelea na maandalizi ya mtihani huo, wengine wakiwa wamekaa katika makundi wakijadiliana namna walivyoanza mtihani wengi wao wakiwa na matarajio ya kufanza vyema katika mitihani hiyo.
StarTv imepita katika Shule ya Msingi Kinondoni iliyopo katika Manispaa ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fgiAkcyJqiQ/U2wdHIbadGI/AAAAAAAFgZI/xigMBBbjpbs/s72-c/unnamed+(16).jpg)
WIKI YA ELIMU MKOA WA DAR ES SALAAM YAFANA, WANAFUNZI,SHULE ZA SERIKALI NA BINAFSI ZAFANYA VIZURI MITIHANI YA TAIFA MWAKA 2013
![](http://4.bp.blogspot.com/-fgiAkcyJqiQ/U2wdHIbadGI/AAAAAAAFgZI/xigMBBbjpbs/s1600/unnamed+(16).jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
MOblog inawatakia kila la kheri wanafunzi wote wanaofanya mitihani yao ya kumaliza elimu ya msingi leo
Habari watanzania wenzangu, kwa niaba ya MOdewjiblog Team napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia kila la kheri wanafunzi wote wa darasa la saba wanaofanya mitihani yao ya mwisho ya kumaliza elimu ya msingi hivi leo.
Mola awape wepesi wa kuelewa vyema mitihani yao.
Elimu bora ndio msingi wa Taifa Letu!
Kila la kheri wanafunzi!
Mungu ibariki Tanzania na wabariki vijana wetu pia.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cXwDz0Ncwoo/VcHyMgz7g8I/AAAAAAAAcEo/hxmy2rlnWow/s72-c/IMG-20150805-WA0050.jpg)
WASHIRIKI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAWASILISHA MIRADI YAO YA KILIMO NA MAZINGIRA KWA WANAKIJIJI WA KISANGA WILAYANI KISARAWE PWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-cXwDz0Ncwoo/VcHyMgz7g8I/AAAAAAAAcEo/hxmy2rlnWow/s640/IMG-20150805-WA0050.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tq6XCpeDV5s/VcHyMGMQsoI/AAAAAAAAcEg/_D_2cH874kM/s640/IMG-20150805-WA0049.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--bmmLV15n5Q/VcHyMY_D-UI/AAAAAAAAcEk/jKi7Hl0c5jw/s640/IMG-20150805-WA0051.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-T_RVXN0KJq4/U-phWIIxhCI/AAAAAAAF_Bw/ALdKyqvSrzg/s72-c/FRANK%2B1.jpg)
KAMPUNI YA SEED CO KUZAWADIA WANAFUNZI MADAWATI 100 YENYE THAMANI YA MIL 15 KATIKA SHINDANO LA MASHAMBA DARASA MIKOA YA KANDA YA ZIWA.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vp1Ywlooi64/Vk2R1jwdSWI/AAAAAAAIGwc/qN3yBRumuHs/s72-c/001.VF%2BMEDIA.jpg)
Vodacom Foundation yatoa msaada wa vifaa vya elimu Kisarawe
Akiongea wakati wa kukabidhi msaada wa vifaa hivyo kwa wanafunzi jana,Kaimu Ofisa Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia...
9 years ago
MichuziNHIF YAFANYA ZIARA KWENYE VITUO VITATU VYA AFYA WILAYANI KISARAWE, PWANI
na kutoa msaada wa mashuka 100.
Akizungumza wakati za ziara hiyo, Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Mfuko huo, Rehani Athuman, alisema kuwa wameamua kufanya ziara hiyo kujua ni namna gani wananchi wanapatiwa kuduma kutoka...