NHIF YAFANYA ZIARA KWENYE VITUO VITATU VYA AFYA WILAYANI KISARAWE, PWANI
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umefanya ziara katika vituo vya afya vitatu vilivyopo Wilayani Kisarawe Mkoani Pwani, yenye lengo la kuzungumza na wananchi wanaopatiwa matibabu kwenye hospitalini hizo na kuwasikiliza kero wanazokumbana nazo wakati wa kupata huduma.
na kutoa msaada wa mashuka 100.
Akizungumza wakati za ziara hiyo, Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Mfuko huo, Rehani Athuman, alisema kuwa wameamua kufanya ziara hiyo kujua ni namna gani wananchi wanapatiwa kuduma kutoka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAWEKEZAJI KUTOKA CHINA WAVUTIWA NA ENEO LA VIWANDA WILAYANI KISARAWE MKOANI PWANI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EcKodtFMZt0/VR0s8h36m-I/AAAAAAAAGw0/wY957-ymuIg/s72-c/P4029026.jpg)
WADAU WA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA MATIBABU MKOANI RUKWA WAPEWA ELIMU YA UTARATIBU WA MIKOPO MBALIMBALI INAYOTOLEWA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EcKodtFMZt0/VR0s8h36m-I/AAAAAAAAGw0/wY957-ymuIg/s1600/P4029026.jpg)
10 years ago
GPLWAWEKEZAJI KUTOKA CHINA WAVUTIWA NA ENEO LA VIWANDA WILAYANI KISARAWE MKOANI PWANI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8CXXCt2470U/XnUjvt628pI/AAAAAAALkj8/poBQAp2H-FsXxgIb8q6ORn6RUGBD9ExKgCLcBGAsYHQ/s72-c/CAPTION-ONE-768x575.jpeg)
WAGANGA WAKUU WATAKIWA KUKAGUA UTAYARI WA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-8CXXCt2470U/XnUjvt628pI/AAAAAAALkj8/poBQAp2H-FsXxgIb8q6ORn6RUGBD9ExKgCLcBGAsYHQ/s640/CAPTION-ONE-768x575.jpeg)
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia maswala ya Afya, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt.Dorothy Gwajima akiwa katika moja ya chumba kilicho andaliwa kwa ajili ya kutolea kuhuduma kwa wagonjwa wa COVID-19 (CORONA) katika halmashauri ya Ikungi mkoani Singida.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/CAPTION-TWOAA-1024x680.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA MACHIMBO YA MADINI YA KAOLIN WILAYANI KISARAWE
11 years ago
MichuziNHIF yafanya afya bonanza katika Wilaya ya Temeke,jijini Dar
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iG8ZUJFuszM/U3UURrt4_2I/AAAAAAAChGc/jvhfZkJNrvg/s72-c/6.jpg)
madaktari walalamikia kutokamilika kwa miradi ya ujenzi vituo vya afya kwa wakati,wakulima wa tumbaku waangusha kilio chao mbele ya Kinana wilayani sikonge
![](http://2.bp.blogspot.com/-iG8ZUJFuszM/U3UURrt4_2I/AAAAAAAChGc/jvhfZkJNrvg/s1600/6.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wcVK7Mbxf1s/XnJEG9r10SI/AAAAAAALkRY/WZ_46goMTxUEQX_VoDdVAPQMSDNnKfHUQCLcBGAsYHQ/s72-c/DC%2BKINO.jpg)
DC CHONGOLO AAGIZA WATAALAMU WA AFYA KUTOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA KWENYE VITUO VYA DALADALA, NYUMBA ZA IBADA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wcVK7Mbxf1s/XnJEG9r10SI/AAAAAAALkRY/WZ_46goMTxUEQX_VoDdVAPQMSDNnKfHUQCLcBGAsYHQ/s400/DC%2BKINO.jpg)
Aidha Mhe. Chongolo ameagiza pia elimu hiyo kutolewa kwenye vituo vya daladala ili kuwasaidia wananchi kutambua namna ya kutumia na kujikinga na Virusi hivyo.
Mhe. Chongolo ametoa agizo hilo leo katika kikao cha zarura kilichofanyika katika ukumbi wa Afya ambapo kimehusisha Mkurugenzi wa...