KATAVI YAPOKEA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RnZQ3CypZ48/XptF_r6wMVI/AAAAAAALnW4/TsbMNctnBakvmZbRNQlvntVekKAh2PjUwCLcBGAsYHQ/s72-c/5be10df3d5a9d9b84690063962bbfb23.jpg)
* RC KATAVI ATOA SAA 48 KWA MCHINA ALIYEKATAA KUNAWA AFIKISHWE MAHAKAMANI.
Serikali Mkoani Katavi imepokea Vifaa tiba kwa ajili ya kuendelea na mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Corona ikiwemo vifaa vinavyotumika kupima joto la mwili ambapo ni miongoni mwa changamoto iliyokuwa ikiukabiri Mkoa huo huku Mkuu wa Mkoa wa Katavi akitoa masaa 48 kwa Jeshi la Polisi kumfikisha Mahakamani Raia wa Kichina aliyekataa kunawa mikono yake maji tiririka.
Akipokea Vifaa hivyo kutoka Water Reed Program...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMANISPAA YA TEMEKE YAPOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA
...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-15sDwXU2YsE/Xntad5iZ1XI/AAAAAAALk_k/3xBUGTNkS80E46noq7IM6LfAt5cUTHloQCLcBGAsYHQ/s72-c/1b60b15e-9ca5-4f63-a695-b921f9ac3ad6.jpg)
SERIKALI YAPOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA (COVID-19)
Serikali imepokea msaada wa vifaa kinga kutoka China kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na mlipuko wa maambukizi ya homa kali ya mapafu inayoambukizwa na virusi vya Corona (COVID-19) kutoka taasisi ya Jack Ma na Alibaba.
Akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya Serikali, Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Muhammed Bakari Kambi amesema msaada huo ambao umetolewa na Taasisi ya Jack Ma na Alibaba ni pamoja na mavazi (PPE) 1,000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu waliobainika kuwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ma7H0Ct_oTA/Xntj9ftZX9I/AAAAAAACJXM/T82VtOxIBn8OuMNkiEV9yUWqm71KJit0ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200325-WA0024.jpg)
SERIKALI YAPOKEA TANI TATU YA VIFAA KUTOKA CHINA VYA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ma7H0Ct_oTA/Xntj9ftZX9I/AAAAAAACJXM/T82VtOxIBn8OuMNkiEV9yUWqm71KJit0ACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200325-WA0024.jpg)
Serikali ya Tanzania mepokea msaada wa vifaa kinga kutoka China kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na mlipuko wa maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19) kutoka taasisi ya Jack Ma na Alibaba.
Akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya Serikali, Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Muhammed Bakari Kambi amesema msaada huo ambao umetolewa na Taasisi ya Jack Ma na Alibaba ni pamoja na mavazi (PPE) 1,000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_u4-G8nLyt8/Xo30R9egG_I/AAAAAAALmk4/ZpVjpjnoqB8NlR1rn6zvUmWcVAhlwh1NgCLcBGAsYHQ/s72-c/5b85fbdc-8bab-4bd2-863d-41371a005a93.jpg)
SERIKALI YAPOKEA MSAADA WA VIFAA KINGA KUKABILIANA NA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_u4-G8nLyt8/Xo30R9egG_I/AAAAAAALmk4/ZpVjpjnoqB8NlR1rn6zvUmWcVAhlwh1NgCLcBGAsYHQ/s640/5b85fbdc-8bab-4bd2-863d-41371a005a93.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/5bcf623c-97df-4ac1-b490-a1bb45ff58a7.jpg)
Ubalozi wa China nchini Tanzania umeipatia Serikali msaada wa vifaa kinga kwa ajili ya kuendelea kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19 (Corona), na kuahidi kuendelea kushirikian...
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
5 years ago
MichuziMNEC GASPER KILEO AMWAGA VIFAA VYA KISASA KUKABILIANA NA CORONA SHINYANGA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-y7DbMS9m-ZM/XrwoXc8Q11I/AAAAAAALqIg/_lYHXl6g0ooaV95UWpTney2gGIn3-ZKGgCLcBGAsYHQ/s72-c/1...jpg)
BASHUNGWA AWAELEKEZA WAMILIKI WA VIWANDA KUZALISHA VIFAA KINGA VYA KUTOSHA KUKABILIANA NA CORONA.
Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa amewapongeza wamiliki wa viwanda hivyo kwa kubuni na kugundua teknolojia na uzalishaji wa vifaa kinga kwa ajili ya kupambana na ugonjwa huo....
5 years ago
MichuziAGAPE ACP YATOA MSAADA WA VIFAA KUKABILIANA NA CORONA VIJIJI VYA KATA YA MWAMALA SHINYANGA
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la AGAPE ACP, John Myola (kushoto) akimkabidhi ndoo ya kunawia mikono Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko. Shirika limetoa msaada wa ndoo 62, sabuni 62 za maji na barakoa 150 kwa ajili ya kusaidia wananchi wa vijiji vya kata ya Mwamala halmashauri ya wilaya ya Shinyanga ili kukabiliana na Maambukizi ya Virusi vya Corona. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-baIwmGbi0_k/Xtjy8wA6qoI/AAAAAAALsng/jQ552wQ3gpcUsvQgGlALDRu0NyU-v_MCACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0044.jpg)
WAZIRI WA ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA APOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA KUTOKA AFRICAB
Na Said Mwishehe ,Michuzi TV
KATIKA kuendelea kukabiliana na virusi vya Corona nchini, SerikaIi kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia imepokea msaada wa matanki 100 kutoka kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya umeme ya AFRICAB maalumu kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi na wanavyuo jijini Dar es Salaam kunawa mikono ili kukabiliana na janga la homa mapato inayosababishwa na virusi vya Corona.
Akipokea na kisha kukabidhi matanki hayo yenye thamani ya Sh. Milioni 50, Waziri wa Elimu...