MNEC GASPER KILEO AMWAGA VIFAA VYA KISASA KUKABILIANA NA CORONA SHINYANGA
Muonekano wa Masinki ya kunawia mikono bila kugusa koki ambayo ni sehemu ya kifaa cha kisasa cha kunawia mikono kilichotolewa na Kampuni ya Uzalishaji Vinywaji Vikali ya East African Spirits (T) Limited Shinyanga inayotengeneza vinywaji vya Diamond Rock na Hansons Choice kwa ajili ya kukabiliana na maambukizi ya Virusi vya Corona katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga leo Alhamis Juni 4,2020. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziAGAPE ACP YATOA MSAADA WA VIFAA KUKABILIANA NA CORONA VIJIJI VYA KATA YA MWAMALA SHINYANGA
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la AGAPE ACP, John Myola (kushoto) akimkabidhi ndoo ya kunawia mikono Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko. Shirika limetoa msaada wa ndoo 62, sabuni 62 za maji na barakoa 150 kwa ajili ya kusaidia wananchi wa vijiji vya kata ya Mwamala halmashauri ya wilaya ya Shinyanga ili kukabiliana na Maambukizi ya Virusi vya Corona. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
5 years ago
MichuziMAT,SHIRIKA LA UTAFITI HPON WACHANGIA WA VIFAA VYA MILIONI 4.5 KINGA KUKABILIANA NA CORONA SHINYANGA
Chama Cha Madaktari Tanzania (Medical Association of Tanzania – MAT) na Shirika la Utafiti HPON (Heath For A Prosperous Nation) wametoa msaada wa Vifaa Kinga vyenye thamani ya shilingi Milioni 4.5 kwa ajili ya kukabiliana na Maambukizi ya Virusi vya Corona (COVID -19) katika mkoa wa Shinyanga.
Vifaa kinga hivyo ambavyo vitatumika katika vituo vya kutolea huduma za afya mkoani Shinyanga vimekabidhiwa na wadau hao wa sekta ya afya leo Ijumaa Mei 22,2020 kwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga...
5 years ago
CCM BlogKATIKA KUKABILIANA NA CORONA, MGODI WA BARRICK BUZWAGI WATOA MSAADA WA VIFAA SHINYANGA
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...
5 years ago
MichuziKATIKA KUKABILIANA NA CORONA, MGODI WA BARRICK BUZWAGI WATOA MSAADA WA VIFAA SHINYANGA
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...
10 years ago
CloudsFM22 Jan
MAREKANI NA UJERUMANI WATOA VIFAA VYA KISASA KUKABILIANA NA UJANGILI MBUGA YA SELOUS
Meneja wa Mbuga ya wanyama ya Selous, Benson Kibonde akimpatia maelezo kuhusu masalia ya injini ya mvuke iliyoachwa na Wajerumani, kwa Waziri wa Maliasili na Utalii Lazao Nyalandu (kushoto), waziri huyo alipofika katika mbuga hiyo, kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kupokeavifaa vya kukabiliana na ujangili vilivyotolewa na serikali za Marekani na Ujerumani kwa ajili ya Mbuga ya Selous.
Maelezo kuhusu masalia hayo ya injini hiyo ya moshi iliyoachwa na wajerumani Benson Kibonge.
Waziri Nyalandu...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Marekani na Ujerumani waipa Tanzania vifaa vya kisasa kukabiliana na ujangili mbuga ya Selous
![](http://2.bp.blogspot.com/-6dmZbxSn4jE/VMA0542XlFI/AAAAAAAAse4/EknWe-__BIA/s1600/1.jpg)
Meneja wa Mbuga ya wanyama ya Selous, Benson Kibonde akimpatia maelezo kuhusu masalia ya injini ya mvuke iliyoachwa na Wajerumani, kwa Waziri wa Maliasili na Utalii Lazao Nyalandu (kushoto), waziri huyo alipofika katika mbuga hiyo, kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kupokeavifaa vya kukabiliana na ujangili vilivyotolewa na serikali za Marekani na Ujerumani kwa ajili ya Mbuga ya Selous jana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-kzBLIkv22Xg/VMA04mS_WdI/AAAAAAAAsew/Hfe5v9TrobU/s1600/2.jpg)
Maelezo kuhusu masalia hayo ya injini hiyo ya moshi iliyoachwa na wajerumani Benson Kibonge.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZrejrydhGgw/VMA07Io56RI/AAAAAAAAsfA/HWCNFzTYRl8/s1600/3.jpg)
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-6dmZbxSn4jE/VMA0542XlFI/AAAAAAAAse4/EknWe-__BIA/s1600/1.jpg)
MAREKANI NA UJERUMANI WAIPA TANZANIA VIFAA VYA KISASA KUKABILIANA NA UJANGILI MBUGA YA SELOUS LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RnZQ3CypZ48/XptF_r6wMVI/AAAAAAALnW4/TsbMNctnBakvmZbRNQlvntVekKAh2PjUwCLcBGAsYHQ/s72-c/5be10df3d5a9d9b84690063962bbfb23.jpg)
KATAVI YAPOKEA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA
* RC KATAVI ATOA SAA 48 KWA MCHINA ALIYEKATAA KUNAWA AFIKISHWE MAHAKAMANI.
Serikali Mkoani Katavi imepokea Vifaa tiba kwa ajili ya kuendelea na mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Corona ikiwemo vifaa vinavyotumika kupima joto la mwili ambapo ni miongoni mwa changamoto iliyokuwa ikiukabiri Mkoa huo huku Mkuu wa Mkoa wa Katavi akitoa masaa 48 kwa Jeshi la Polisi kumfikisha Mahakamani Raia wa Kichina aliyekataa kunawa mikono yake maji tiririka.
Akipokea Vifaa hivyo kutoka Water Reed Program...