Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIWANJA 291 VYATANGAZWA KWA UWEKEZAJI WA VIWANDA WILAYA YA KISARAWE

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Adamu Ng’imba akiwaonyesha waandishi wa habari jinsi mji wa Kisarawe utakavyojengwa, katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo,kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe na Katibu mkuu wa kamati kuu ya Miradi,Mwanamvua Mrindoko na kushoto  ni Afisa Mradi wa Maliasili wa Wilaya ya Kisarawe,Cheyo Nyegele.

Baadhi ya wajumbe wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe
wakimsikiliza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAWEKEZAJI KUTOKA CHINA WAVUTIWA NA ENEO LA VIWANDA WILAYANI KISARAWE MKOANI PWANI

 Kibao kinacho elekeza eneo la mradi wa viwanda wilayani Kisarawe mkoani Pwani lililopo Visegese. Mradi huo unaendeshwa na Halmshauri hiyo na wabia wa Kampuni ya World Map Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Brendan Maro (kushoto), akizungumza na viongozi wa Halmshauri ya Wilaya ya Kisarawe,  Wabia wa eneo la mradi wa Kampuni ya World Map  na wawekezaji kutoka nchini China waliofika wilayani humo jana kuangalia fursa za kuwekeza viwanda katika eneo hilo....

 

10 years ago

GPL

WAWEKEZAJI KUTOKA CHINA WAVUTIWA NA ENEO LA VIWANDA WILAYANI KISARAWE MKOANI PWANI‏

 Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Brendan Maro (kushoto), akizungumza na viongozi wa Halmshauri ya Wilaya ya Kisarawe,  Wabia wa eneo la mradi wa Kampuni ya World Map  na wawekezaji kutoka nchini China waliofika wilayani humo jana kuangalia fursa za kuwekeza viwanda katika eneo hilo. Kulia ni Ofisa Mipango Miji Mwandamizi kutoka TIC, Elibariki Ngorovily.  Wawekezaji kutoka China...

 

10 years ago

Vijimambo

Mikoa ihamasishe uwekezaji wa viwanda

Afisa fedha wa Kiwanda cha nguo Dahong Bw. Luke Li akiwaonyesha Bw. Erasmus Masumbuko na Bi. Angela Shayo (wachumi kutoka Tume ya Mipango) ubora wa nyuzi za pamba zinazotengenezwa na kiwanda chake.Kaimu Meneja Utawala Bw. Atanas William wa Kiwanda Cha Mafuta (Jielong Holdings) akimwonyesha Bw. Paul Sangawe, Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, shehena ya mbegu za pamba zinazotumika na kiwanda katika usindikaji wa mafuta.Kaimu Meneja Utawala Bw. Atanas William wa Kiwanda Cha Mafuta...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yahamasisha uwekezaji sekta ya viwanda

SERIKALI imetoa mwito kwa Ofisi za Wakuu wa Mikoa kuhamasisha uwekezaji katika Sekta ya Viwanda kwenye mikoa yao ili kuweza kukuza uchumi wa mikoa husika na taifa kwa ujumla.

 

10 years ago

Vijimambo

WILAYA YA KISARAWE YAZINDUA MRADI WA UENDELEZAJI WA ARDHI

 Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Kisarawe uliopo mkoani Pwani, Adamu Ng'imba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati wa  uzinduzi wa mradi wa uendelezaji wa ardhi katika wilaya hiyo. Kulia ni Ofisa Mtendaji wa mji huo, Constantine Mnemele na Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo,  Mwanamvua  Mrindoko Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo,  Mwanamvua  Mrindoko (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto Ofisa Ardhi na Maliasili wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

RC Moro ashawishi uwekezaji kilimo, viwanda na utalii

OLYMPUS DIGITAL CAMERA

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe (kulia) akimkaribisha Balozi wa Afika ya Kusini Nchini, Bw. T.D. Mseleku  alipomtembelea Ofsini kwake  hivi karibuni.

OLYMPUS DIGITAL CAMERA

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe (kulia) akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Balozi wa Afrika Kusini Bw. T. Mseleku.

OLYMPUS DIGITAL CAMERA

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Bw. T. Mseleku Balozi wa Afirika ya Kusini mbele ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.

Na Andrew Chimesela,...

 

10 years ago

GPL

WILAYA YA KISARAWE YAZINDUA MRADI WA UENDELEZAJI WA ARDHI‏

 Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Kisarawe uliopo mkoani Pwani, Adamu Ng'imba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati wa  uzinduzi wa mradi wa uendelezaji wa ardhi katika wilaya hiyo. Kulia ni Ofisa Mtendaji wa mji huo, Constantine Mnemele na Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo,  Mwanamvua Mrindoko.  Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya hiyo,  Mwanamvua ...

 

9 years ago

Vijimambo

ZIARA YA SHIRIKA LA KIMAENDELEO PLAN INTERNATIONAL WILAYA YA KISARAWE

4Meneja wa Plan International Kisarawe kulia William Mtukananje akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mradi wa kupinga ukatili kwa watoto unajulikana kwa jina la Violence Against Children (VAC) katika ofisi za paln international Wilaya ya Kissrawe kulia ni Mratibu wa Mradi wa kupinga ukatili kwa watoto kutoka Shirika la Plan International, Neema Daniel(Picha na Victor Masangu)1Mratibu wa Mradi wa kupinga ukatili kwa watoto kutoka Shirika la Plan International, Neema Danielni...

 

11 years ago

Michuzi

Zainab Matitu Vullu aipiga jeki hospitali ya wilaya ya Kisarawe

  Mbunge wa  viti maalum  Mkoa wa Pwani, Mhe Zainabu Matitu  Vullu akizungumza na Mganga Mkuu wa  Wilaya  ya  Kisarawe mkoani Pwani,Dk Happiness Ndossi baada ya kukabidhi > mashine ya kufuria nguo za wagonjwa, Mashuka,  pamoja na mipira ya Baiskeli  kwa ajili ya Hospitali hiyo  vyote vikiwa na gharama ya Shilingi Milioni Sita na laki  tano Wilaya ya Kisarawe,Dk. Happiness Ndossi  akionyesha moja ya shuka zilizotolewa na Mbunge wa Viti  maalum Mkoa wa Pwani, Mhe Zainabui Matiti Vullu kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani