Mikoa ihamasishe uwekezaji wa viwanda
Afisa fedha wa Kiwanda cha nguo Dahong Bw. Luke Li akiwaonyesha Bw. Erasmus Masumbuko na Bi. Angela Shayo (wachumi kutoka Tume ya Mipango) ubora wa nyuzi za pamba zinazotengenezwa na kiwanda chake.
Kaimu Meneja Utawala Bw. Atanas William wa Kiwanda Cha Mafuta (Jielong Holdings) akimwonyesha Bw. Paul Sangawe, Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, shehena ya mbegu za pamba zinazotumika na kiwanda katika usindikaji wa mafuta.
Kaimu Meneja Utawala Bw. Atanas William wa Kiwanda Cha Mafuta...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
KITUO CHA UWEKEZAJI CHAWAPONGEZA WAKUU WA MIKOA KATIKA JITIHADA ZAO ZA KUHAMASISHA UWEKEZAJI MIKOA YA KANDA YA ZIWA
Mikoa ambayo itashiriki katika Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Ziwa ni Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga Kongamano ambalo kwa pamoja litawakutanisha Wawekezaji pamoja na Serikali katika kujadili vivutio vya Uwekezaji vinavyopatikana katika mikoa hiyo ya kanda ya Ziwa.
Kituo cha Uwekezaji Kimejizatiti...
10 years ago
Habarileo11 Dec
Serikali yahamasisha uwekezaji sekta ya viwanda
SERIKALI imetoa mwito kwa Ofisi za Wakuu wa Mikoa kuhamasisha uwekezaji katika Sekta ya Viwanda kwenye mikoa yao ili kuweza kukuza uchumi wa mikoa husika na taifa kwa ujumla.
10 years ago
Dewji Blog11 Jun
RC Moro ashawishi uwekezaji kilimo, viwanda na utalii
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe (kulia) akimkaribisha Balozi wa Afika ya Kusini Nchini, Bw. T.D. Mseleku alipomtembelea Ofsini kwake hivi karibuni.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe (kulia) akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Balozi wa Afrika Kusini Bw. T. Mseleku.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Bw. T. Mseleku Balozi wa Afirika ya Kusini mbele ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.
Na Andrew Chimesela,...
10 years ago
Michuzi
VIWANJA 291 VYATANGAZWA KWA UWEKEZAJI WA VIWANDA WILAYA YA KISARAWE


wakimsikiliza...
10 years ago
MichuziWADAU WA MAENDELEO YA VIWANDA WATANGAZA VYEMA FURSA ZA UWEKEZAJI NCHINI
10 years ago
Vijimambo13 Mar
Tanzania na China kuendeleza ushirikiano kwenye Sekta ya Uwekezaji na Viwanda
5 years ago
Michuzi
TANESCO KUCHOCHEA UWEKEZAJI MIKOA YA GEITA, KAGERA NA KIGOMA
Hiyo ni baada ya kukamilika kwa Ujenzi wa Miradi mikubwa ya kusafirisha umeme wa gridi ya Taifa kuanzia Bulyanhulu mpaka Geita, Geita mpaka Nyakanazi na ule wa Nyakanazi mpaka Rusumo ikitekelezwa sambamba na miradi ya kufua umeme wa maji ya Rusumo na Malagarasi...
10 years ago
Vijimambo26 Mar
MARAIS WAWASILI KUHUDHURIA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI WA UKANDA WA KATI WA UWEKEZAJI NA VIWANDA
11 years ago
Michuzi.jpg)
TIC YASAINI MIKATABA YA MAKUBALIANO YA UWEKEZAJI NA WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA ZIWA
.jpg)
.jpg)