TANESCO KUCHOCHEA UWEKEZAJI MIKOA YA GEITA, KAGERA NA KIGOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PrmpylUXzaw/XlzEdoHjkKI/AAAAAAALgTM/afKrIHdxx2cWH5xELxeVLxgwvSyRoJnkgCLcBGAsYHQ/s72-c/b77ba96b-1e92-4a4e-ba92-84886ffc97de.jpg)
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania( TANESCO), Dkt. Alexander Kyaruzi amesema ndani ya kipindi kifupi kijacho cha kuanzia sasa mpaka Desemba 2020 mikoa ya Geita, Kagera na Kigoma itakuwa na imeme wa kutosha.
Hiyo ni baada ya kukamilika kwa Ujenzi wa Miradi mikubwa ya kusafirisha umeme wa gridi ya Taifa kuanzia Bulyanhulu mpaka Geita, Geita mpaka Nyakanazi na ule wa Nyakanazi mpaka Rusumo ikitekelezwa sambamba na miradi ya kufua umeme wa maji ya Rusumo na Malagarasi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JBLBLEDKFbs/UvvGGZ0UxeI/AAAAAAAFMqk/jA0w3RTUdDQ/s72-c/unnamed.jpg)
KITUO CHA UWEKEZAJI CHAWAPONGEZA WAKUU WA MIKOA KATIKA JITIHADA ZAO ZA KUHAMASISHA UWEKEZAJI MIKOA YA KANDA YA ZIWA
Mikoa ambayo itashiriki katika Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Ziwa ni Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga Kongamano ambalo kwa pamoja litawakutanisha Wawekezaji pamoja na Serikali katika kujadili vivutio vya Uwekezaji vinavyopatikana katika mikoa hiyo ya kanda ya Ziwa.
Kituo cha Uwekezaji Kimejizatiti...
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Tume ya ‘Operesheni Tokomeza’ kutembelea mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara
Na Mwandishi Wetu
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Ujangili imetangaza ratiba ya pili ya ziara yake katika Mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara ili kukusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa Operesheni hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa mwishoni mwa wiki na Katibu wa Tume hiyo Wakili Fredrick Manyanda (pichani), Tume hiyo itatembelea mikoa hiyo kuanzia keshokutwa Alhamisi, Oktoba 23, mwaka huu hadi tarehe Novemba...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bl6FN1eXsyA/VNEZNvmUChI/AAAAAAAAGUY/ZbuxslaVKy4/s72-c/IMG_1989.jpg)
UJENZI WA BARABARA YA LAMI KUUNGANISHA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAKAMILIKA, WAZIRI WA UJENZI AAHIDI SERIKALI KUKAMILISHA KUUNGA PIA MIKOA YA KATAVI, KIGOMA NA TABORA...
![](http://3.bp.blogspot.com/-bl6FN1eXsyA/VNEZNvmUChI/AAAAAAAAGUY/ZbuxslaVKy4/s1600/IMG_1989.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g0Ba7CFYbbA/VNEXUCToWwI/AAAAAAAAGT8/blssevIgj3c/s1600/IMG_4378.jpg)
10 years ago
VijimamboMikoa ihamasishe uwekezaji wa viwanda
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-piGZF9QqBTU/XuUJsR4DUSI/AAAAAAALtsg/Fc9SHf9gyxQ8o_OkCFE-Ovb0nkwhixddgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B3.07.44%2BPM.jpeg)
TANESCO Kuvuna Mabilioni Geita
![](https://1.bp.blogspot.com/-piGZF9QqBTU/XuUJsR4DUSI/AAAAAAALtsg/Fc9SHf9gyxQ8o_OkCFE-Ovb0nkwhixddgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B3.07.44%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BkX33Mh4PhQ/XuUJ8WNvI8I/AAAAAAALtso/-N18WwqRhiIyyOLfJc7iMtddJlCoSKinwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B3.07.44%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji TANESCO Dkt. Tito Mwinuka akiwa katika ziara ya ufuatiliaji na ukaguzi wa Mradi wa kusafirisha umeme kutoka Bulyanhulu hadi Geita kilovolti 220 amesema TANESCO inatarajia kukusanya takriban Shilingi bilioni 6 za ziada katika mauzo ya umeme Mkoani Geita.
Dkt. Mwinuka alisema kiasi hicho cha fedha ni kutoka katika Mgodi wa Geita Gold Mining (GGM) baada ya Mgodi huo kuunganishwa na kuongeza GGM bado unatumia umeme ghali wa mafuta mazito ukilinganisha na umeme wa TANESCO...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/magufuli-akifanya-mkutano-wake-wa-mwisho-mjini-kahama-leo-katika-viwanja-vya-UWT-CCM-Kahama.jpg)
MAGUFULI ATIKISA MIKOA YA GEITA NA SHINYANGA
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Masele ambana Kaimu Meneja Tanesco Geita
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZPbDkvjuEPI/Xlnsv4yimgI/AAAAAAALf_8/F4WFOEcFVYwpuN2IsL-AiGQRACDKYtOiwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp-Image-2020-02-28-at-14.05.14-660x365.jpeg)
TANESCO Kuimarisha Hali ya Upatikanaji wa Umeme Mkoani Kagera
Dkt KALEMANI ametoa kauli hiyo Mkoani Kagera Wakati wa Ziara yake, ambapo amesema Umeme huo Utaunganisha Mkoa huo moja kwa moja na Umeme wa Gridi ya Taifa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZPbDkvjuEPI/Xlnsv4yimgI/AAAAAAALf_8/F4WFOEcFVYwpuN2IsL-AiGQRACDKYtOiwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp-Image-2020-02-28-at-14.05.14-660x365.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TvH1UAP5swE/Uv0wDxNRmxI/AAAAAAAFNBk/C34pdJHWzIY/s72-c/MMG21480.jpg)
TIC YAINGIA MKATABA WA MAKUBALIANO YA UWEKEZAJI NA WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA ZIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-TvH1UAP5swE/Uv0wDxNRmxI/AAAAAAAFNBk/C34pdJHWzIY/s1600/MMG21480.jpg)