Masele ambana Kaimu Meneja Tanesco Geita
Kaimu Meneja wa Shirika la Umeme (Tanesco) Mkoa wa Geita, wa Geita, Charles Budodi juzi alijikuta kwenye wakati mgumu, baada ya kushindwa kujibu maswali yaliyoelekezwa kwake na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele kuhusu shirika hilo kukaidi agizo la Rais Jakaya Kikwete kuhakikisha shirika hilo linapeleka umeme kwenye shughuli za wachimbaji wadogo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi17 Apr
KAIMU MKURUGENZI TANESCO KIZIMBANI KWA MATUMIZI MABAYA YA OFISI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BuC0CUxShpI/Xr_Olnre4II/AAAAAAALqcQ/JwtmJsV22ewViXgiLCsIFc6AE7IvAtDcQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-3-3-768x512.jpg)
MENEJA TANESCO USIPOTIMIZA MALENGO JITOE NA TUTAKUCHUKULIA HATUA -DKT KALEMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BuC0CUxShpI/Xr_Olnre4II/AAAAAAALqcQ/JwtmJsV22ewViXgiLCsIFc6AE7IvAtDcQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-3-3-768x512.jpg)
Waziri wa Nishati,Dkt. Medard Kalemani( katikati) akizungumza na mwanakijiji wa Izunya,( kushoto) ambacho kikokaribu na miundombinu ya umeme ambapo aliigiza TANESCO, kupeleka umeme katika vijiji vya aina hii ambavyo vimepitia au vipo karibu na miundombinu ya umeme ambavyo havijafikiwa na REA, alipofanya fanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji wa umeme vijijini katika Wilaya za Nyang’hwale, Geita na Chato mkoani Geita.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-4-3-1024x683.jpg)
Waziri wa Nishati,Dkt. Medard Kalemani ( kushoto) akizungumza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-piGZF9QqBTU/XuUJsR4DUSI/AAAAAAALtsg/Fc9SHf9gyxQ8o_OkCFE-Ovb0nkwhixddgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B3.07.44%2BPM.jpeg)
TANESCO Kuvuna Mabilioni Geita
![](https://1.bp.blogspot.com/-piGZF9QqBTU/XuUJsR4DUSI/AAAAAAALtsg/Fc9SHf9gyxQ8o_OkCFE-Ovb0nkwhixddgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B3.07.44%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BkX33Mh4PhQ/XuUJ8WNvI8I/AAAAAAALtso/-N18WwqRhiIyyOLfJc7iMtddJlCoSKinwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B3.07.44%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji TANESCO Dkt. Tito Mwinuka akiwa katika ziara ya ufuatiliaji na ukaguzi wa Mradi wa kusafirisha umeme kutoka Bulyanhulu hadi Geita kilovolti 220 amesema TANESCO inatarajia kukusanya takriban Shilingi bilioni 6 za ziada katika mauzo ya umeme Mkoani Geita.
Dkt. Mwinuka alisema kiasi hicho cha fedha ni kutoka katika Mgodi wa Geita Gold Mining (GGM) baada ya Mgodi huo kuunganishwa na kuongeza GGM bado unatumia umeme ghali wa mafuta mazito ukilinganisha na umeme wa TANESCO...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PrmpylUXzaw/XlzEdoHjkKI/AAAAAAALgTM/afKrIHdxx2cWH5xELxeVLxgwvSyRoJnkgCLcBGAsYHQ/s72-c/b77ba96b-1e92-4a4e-ba92-84886ffc97de.jpg)
TANESCO KUCHOCHEA UWEKEZAJI MIKOA YA GEITA, KAGERA NA KIGOMA
Hiyo ni baada ya kukamilika kwa Ujenzi wa Miradi mikubwa ya kusafirisha umeme wa gridi ya Taifa kuanzia Bulyanhulu mpaka Geita, Geita mpaka Nyakanazi na ule wa Nyakanazi mpaka Rusumo ikitekelezwa sambamba na miradi ya kufua umeme wa maji ya Rusumo na Malagarasi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vdYBJAZL6Ow/XuN4ktGqaAI/AAAAAAALtkw/9dnVJOQV2-gEieHLq40qosxzK283uRSgQCLcBGAsYHQ/s72-c/445cb7bf-5803-4aad-9048-776eec3201ab.jpg)
Dkt. Mwinuka amtaka Mkandarasi kuongeza kasi ujenzi Ofisi za TANESCO Geita
![](https://1.bp.blogspot.com/-vdYBJAZL6Ow/XuN4ktGqaAI/AAAAAAALtkw/9dnVJOQV2-gEieHLq40qosxzK283uRSgQCLcBGAsYHQ/s640/445cb7bf-5803-4aad-9048-776eec3201ab.jpg)
Dkt. Mwinuka amesema ujenzi wa majengo hayo ni sehemu ya jitihada za Shirika kuhakikisha linaendesha shughuli zake katika majengo yake na hivyo kuepukana na gharama kubwa za upangishaji majengo kwa matumizi za ofisi...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Mnyika ambana mkandarasi
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka mkandarasi aliyeingia mkataba wa mradi mkubwa wa maji kutoka Mlandizi hadi kwenye matenki ya Kimara na Mtaa wa Kwembe, aharakishe na kuukamilisha kwa...
11 years ago
Habarileo01 Aug
Naibu Waziri ambana mkandarasi
NAIBU Waziri wa Uchukuzi na Mbunge wa Jimbo la Buchosa Dk Chales Tizeba amemtaka Mkandarasi Pet Construction Limited kukamilisha haraka ujenzi wa mradi wa maji katika Jimbo la Buchosa.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Waziri ambana mkandarasi, aagiza asilipwe
11 years ago
Habarileo05 May
Waziri ambana Mganga Mkuu Rufiji
MBUNGE wa Rufiji, Dk Seif Rashid, amemwagiza Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya, kupeleka dawa katika zahanati zote zilizopo katika jimbo hilo, ili zisaidie wananchi wanaokabiliana na mafuriko yanaoendelea jimboni humo.