TANESCO Kuvuna Mabilioni Geita
![](https://1.bp.blogspot.com/-piGZF9QqBTU/XuUJsR4DUSI/AAAAAAALtsg/Fc9SHf9gyxQ8o_OkCFE-Ovb0nkwhixddgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B3.07.44%2BPM.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji TANESCO Dkt. Tito Mwinuka akiwa katika ziara ya ufuatiliaji na ukaguzi wa Mradi wa kusafirisha umeme kutoka Bulyanhulu hadi Geita kilovolti 220 amesema TANESCO inatarajia kukusanya takriban Shilingi bilioni 6 za ziada katika mauzo ya umeme Mkoani Geita.
Dkt. Mwinuka alisema kiasi hicho cha fedha ni kutoka katika Mgodi wa Geita Gold Mining (GGM) baada ya Mgodi huo kuunganishwa na kuongeza GGM bado unatumia umeme ghali wa mafuta mazito ukilinganisha na umeme wa TANESCO...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Giza nene mabilioni ya IPTL, Tanesco
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Tanzanite ya mabilioni yanaswa Uwanja wa Ndege, 10 watimuliwa Tanesco
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Masele ambana Kaimu Meneja Tanesco Geita
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PrmpylUXzaw/XlzEdoHjkKI/AAAAAAALgTM/afKrIHdxx2cWH5xELxeVLxgwvSyRoJnkgCLcBGAsYHQ/s72-c/b77ba96b-1e92-4a4e-ba92-84886ffc97de.jpg)
TANESCO KUCHOCHEA UWEKEZAJI MIKOA YA GEITA, KAGERA NA KIGOMA
Hiyo ni baada ya kukamilika kwa Ujenzi wa Miradi mikubwa ya kusafirisha umeme wa gridi ya Taifa kuanzia Bulyanhulu mpaka Geita, Geita mpaka Nyakanazi na ule wa Nyakanazi mpaka Rusumo ikitekelezwa sambamba na miradi ya kufua umeme wa maji ya Rusumo na Malagarasi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vdYBJAZL6Ow/XuN4ktGqaAI/AAAAAAALtkw/9dnVJOQV2-gEieHLq40qosxzK283uRSgQCLcBGAsYHQ/s72-c/445cb7bf-5803-4aad-9048-776eec3201ab.jpg)
Dkt. Mwinuka amtaka Mkandarasi kuongeza kasi ujenzi Ofisi za TANESCO Geita
![](https://1.bp.blogspot.com/-vdYBJAZL6Ow/XuN4ktGqaAI/AAAAAAALtkw/9dnVJOQV2-gEieHLq40qosxzK283uRSgQCLcBGAsYHQ/s640/445cb7bf-5803-4aad-9048-776eec3201ab.jpg)
Dkt. Mwinuka amesema ujenzi wa majengo hayo ni sehemu ya jitihada za Shirika kuhakikisha linaendesha shughuli zake katika majengo yake na hivyo kuepukana na gharama kubwa za upangishaji majengo kwa matumizi za ofisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P0TeoGRmjwY/XtjJd0GzPuI/AAAAAAALslM/5YW-P0zUZLw_roIlAKojzIDwIS9Oo7gZQCLcBGAsYHQ/s72-c/Makamu%2BRais%2Bwa%2BGGML%252C%2BSimon%2BShayo.jpg)
GEITA GOLD MINING LTD YATOA MILIONI 100/- KUSAIDIA UJENZI CHUO KIKUU HURIA-GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-P0TeoGRmjwY/XtjJd0GzPuI/AAAAAAALslM/5YW-P0zUZLw_roIlAKojzIDwIS9Oo7gZQCLcBGAsYHQ/s400/Makamu%2BRais%2Bwa%2BGGML%252C%2BSimon%2BShayo.jpg)
Awamu ya kwanza ya mradi huo inajumuisha ujenzi wa jengo la utawala linalojumuisha chumba mikutano cha viongozi, maktaba, chumba cha maabara ya kompyuta na ofisi nyingine tano.
Pia kiasi hicho cha pesa kilichotolewa na GGML ni kwa ajili ya ununuzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita.
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%.
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
CHADEMA yazidi kuvuna CCM
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM), 54 akiwemo Mwenyekiti wa kijiji cha Pemba wilayani Tarime Mkoa wa Mara, Augustino Wantora, wamejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA). Wanachama hao...
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Brandts kuvuna Sh170 mil