Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANESCO Kuvuna Mabilioni Geita


Mkurugenzi Mtendaji TANESCO Dkt. Tito Mwinuka akiwa katika ziara ya ufuatiliaji na ukaguzi wa Mradi wa kusafirisha umeme kutoka Bulyanhulu hadi Geita kilovolti 220 amesema TANESCO inatarajia kukusanya takriban Shilingi bilioni 6 za ziada katika mauzo ya umeme Mkoani Geita.

Dkt. Mwinuka alisema kiasi hicho cha fedha ni kutoka katika Mgodi wa Geita Gold Mining (GGM) baada ya Mgodi huo kuunganishwa na kuongeza  GGM bado unatumia umeme ghali wa mafuta mazito ukilinganisha na umeme wa TANESCO...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Giza nene mabilioni ya IPTL, Tanesco

Wakati haijafahamika nani aliyelipwa mabilioni ya shilingi yaliyokuwa kwenye akaunti ya Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kutokana na mvutano baina ya Tanesco na Kampuni ya IPTL, imebainika kuwa Bunge liliwahi kuagiza fedha hizo zisichukuliwe mpaka mitambo ya IPTL itakapokuwa chini ya Tanesco mwakani.

 

9 years ago

Mwananchi

Tanzanite ya mabilioni yanaswa Uwanja wa Ndege, 10 watimuliwa Tanesco

Wakala wa Ukaguzi wa Madini nchini (TMAA) imetaifisha madini aina ya Tanzanite yenye thamani ya Sh2.5 bilioni yaliyokamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) wakati yakisafirishwa kwenda nje ya nchi.     

 

10 years ago

Mwananchi

Masele ambana Kaimu Meneja Tanesco Geita

Kaimu Meneja wa Shirika la Umeme (Tanesco) Mkoa wa Geita, wa Geita, Charles Budodi juzi alijikuta kwenye wakati mgumu, baada ya kushindwa kujibu maswali yaliyoelekezwa kwake na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele kuhusu shirika hilo kukaidi agizo la Rais Jakaya Kikwete kuhakikisha shirika hilo linapeleka umeme kwenye shughuli za wachimbaji wadogo.

 

5 years ago

Michuzi

TANESCO KUCHOCHEA UWEKEZAJI MIKOA YA GEITA, KAGERA NA KIGOMA

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania( TANESCO), Dkt. Alexander Kyaruzi amesema ndani ya kipindi kifupi kijacho cha kuanzia sasa mpaka Desemba 2020 mikoa ya Geita, Kagera na Kigoma itakuwa na imeme wa kutosha.

Hiyo ni baada ya kukamilika kwa Ujenzi wa Miradi mikubwa ya kusafirisha umeme wa gridi ya Taifa kuanzia Bulyanhulu mpaka Geita, Geita mpaka Nyakanazi na ule wa Nyakanazi mpaka Rusumo ikitekelezwa sambamba na miradi ya kufua umeme wa maji ya Rusumo na Malagarasi...

 

5 years ago

Michuzi

Dkt. Mwinuka amtaka Mkandarasi kuongeza kasi ujenzi Ofisi za TANESCO Geita

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Dkt. Tito Mwinuka akiambatana na Menejimenti ya TANESCO ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa majengo ya ofisi za TANESCO Mkoa wa Geita pamoja na Wilaya ya Chato, ujenzi unaotekelezwa na  Wakala wa Majengo (TBA).

Dkt. Mwinuka amesema ujenzi wa majengo hayo ni sehemu ya jitihada za Shirika kuhakikisha linaendesha shughuli zake katika majengo yake na hivyo kuepukana na gharama kubwa za upangishaji majengo kwa matumizi za ofisi...

 

5 years ago

Michuzi

GEITA GOLD MINING LTD YATOA MILIONI 100/- KUSAIDIA UJENZI CHUO KIKUU HURIA-GEITA

KATIKA kukuza sekta ya elimu ya juu nchini, Kampuni ya Geita Gold Mining Ltd. (GGML) kupitia sera yake ya uwajibikaji kwa jamii imetoa kiasi cha Sh milioni 100 kusaidia ujenzi wa Kituo cha Chuo Kikuu Huria(Open University) cha mkoani wa Geita.

Awamu ya kwanza ya mradi huo inajumuisha ujenzi wa jengo la utawala linalojumuisha chumba mikutano cha viongozi, maktaba, chumba cha maabara ya kompyuta na ofisi nyingine tano.

Pia kiasi hicho cha pesa kilichotolewa na GGML ni kwa ajili ya ununuzi wa...

 

5 years ago

Michuzi

KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.




Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita. 
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%. 
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yazidi kuvuna CCM

WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM), 54 akiwemo Mwenyekiti wa kijiji cha Pemba wilayani Tarime Mkoa wa Mara, Augustino Wantora, wamejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA). Wanachama hao...

 

11 years ago

Mwananchi

Brandts kuvuna Sh170 mil

>Kocha wa Yanga, Ernie Brandts sasa atavuna Sh170 milioni kutoka kwa uongozi wa timu hiyo baada ya kusitisha mkataba wake jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani