Dkt. Mwinuka amtaka Mkandarasi kuongeza kasi ujenzi Ofisi za TANESCO Geita
![](https://1.bp.blogspot.com/-vdYBJAZL6Ow/XuN4ktGqaAI/AAAAAAALtkw/9dnVJOQV2-gEieHLq40qosxzK283uRSgQCLcBGAsYHQ/s72-c/445cb7bf-5803-4aad-9048-776eec3201ab.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Dkt. Tito Mwinuka akiambatana na Menejimenti ya TANESCO ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa majengo ya ofisi za TANESCO Mkoa wa Geita pamoja na Wilaya ya Chato, ujenzi unaotekelezwa na Wakala wa Majengo (TBA).
Dkt. Mwinuka amesema ujenzi wa majengo hayo ni sehemu ya jitihada za Shirika kuhakikisha linaendesha shughuli zake katika majengo yake na hivyo kuepukana na gharama kubwa za upangishaji majengo kwa matumizi za ofisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5eeLyPFOQeY/Xni7WUpJeBI/AAAAAAAAG7g/B7MkH67tEMIDmAi5bUw5muI_Y4Z8ohc2gCLcBGAsYHQ/s72-c/4.jpg)
RC MAKONDA AMTAKA MKANDARASI UJENZI BARABARA YA MABASI MWENDOKASI MBAGALA KUONGEZA KASI
RC Makonda amesema kwa muda mrefu wakazi wa Mbagala walikuwa wakipata changamoto ya usafiri ikiwemo foleni na wakati mwingine wananchi kuibiwa simu na mikoba wakiwa wanagombania usafiri...
5 years ago
MichuziSUMA JKT WATAKIWA KUONGEZA KASI UJENZI WA HOSTELI CHUO KIKUU MZUMBE
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe (kushoto) akiwa ameambatana na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. Lughano Kusiluka akipokea maelezo kuhusu maendeleo ya ujenzi kutoka kwa msimamizi wa mradi huo.
Naibu Katibu Mkuu wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia akitoa maelekezo kwa wasimamizi wa mradi wa ujenzi wa hosteli eneo la Maekani Kampasi Kuu Morogoro.
Viongozi wa Chuo Kikuu Mzumbe, wasimamizi wa mradi na mainjinia wa ujenzi wa hosteli wakisikiliza...
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Dkt. Kalemani awaagiza TANESCO kuongeza uzalishaiji wa umeme ifikapo mwishoni mwa Desemba 2015
Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani (kushoto) akimsikiliza Naibu Mkurugenzi Mtendaji Tanesco Bw.Decklan Mhaiki alipokuwa akimwonyesha mradi wa Kinyerezi I mara baada ya kuwasili katika kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi eneo la Kinyerezi jijini Dar es Salaam.
Meneja Mradi TANESCO Mhandisi Simon Jalima (wa pili kushoto) akimwonyesha Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani (wa pili kulia) moja ya mtambo unaopokea gesi kutoka mtwara na...
11 years ago
MichuziMAGUFULI AMTAKA MKANDARASI KUFANYA KAZI USIKU NA MCHANA
“Najua bado mnaidai serikali zaidi ya shilingi bilioni tatu lakini hii isiwe sababu ya kushindwa kuendelea na kazi japo mlishaonyesha mfano mzuri wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-khdrmxpc_Vo/Xqp52dPfAEI/AAAAAAALonc/TFEPUabPp-kG9goIoTTxkcRZXQZQOa28ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI MGALU AMTAKA MKANDARASI KUMALIZA KAZI KWA WAKATI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZGolYkB5el4/XtJhetCbimI/AAAAAAALsFg/ykspJkq2fKMBfGTZz6S3JSfT7cY4ar4IgCLcBGAsYHQ/s72-c/8-3-2048x2001.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MARAIS WASTAAFU WAWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA OFISI ZA IKULU YA CHAMWINO MKOANI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZGolYkB5el4/XtJhetCbimI/AAAAAAALsFg/ykspJkq2fKMBfGTZz6S3JSfT7cY4ar4IgCLcBGAsYHQ/s640/8-3-2048x2001.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/7-5-scaled.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameshika Chepe ili kuweka zege na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benja min Mkapa kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi Ujenzi Ofisi za Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma leo tarehe 30 Mei 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/5-9-scaled.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZGolYkB5el4/XtJhetCbimI/AAAAAAALsFg/ykspJkq2fKMBfGTZz6S3JSfT7cY4ar4IgCLcBGAsYHQ/s72-c/8-3-2048x2001.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MARAIS WASTAAFU WAWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA OFISI ZA IKULU YA CHAMWINO MKOANI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZGolYkB5el4/XtJhetCbimI/AAAAAAALsFg/ykspJkq2fKMBfGTZz6S3JSfT7cY4ar4IgCLcBGAsYHQ/s400/8-3-2048x2001.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/7-5-scaled.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameshika Chepe ili kuweka zege na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benja min Mkapa kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi Ujenzi Ofisi za Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma leo tarehe 30 Mei 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/5-9-scaled.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P0TeoGRmjwY/XtjJd0GzPuI/AAAAAAALslM/5YW-P0zUZLw_roIlAKojzIDwIS9Oo7gZQCLcBGAsYHQ/s72-c/Makamu%2BRais%2Bwa%2BGGML%252C%2BSimon%2BShayo.jpg)
GEITA GOLD MINING LTD YATOA MILIONI 100/- KUSAIDIA UJENZI CHUO KIKUU HURIA-GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-P0TeoGRmjwY/XtjJd0GzPuI/AAAAAAALslM/5YW-P0zUZLw_roIlAKojzIDwIS9Oo7gZQCLcBGAsYHQ/s400/Makamu%2BRais%2Bwa%2BGGML%252C%2BSimon%2BShayo.jpg)
Awamu ya kwanza ya mradi huo inajumuisha ujenzi wa jengo la utawala linalojumuisha chumba mikutano cha viongozi, maktaba, chumba cha maabara ya kompyuta na ofisi nyingine tano.
Pia kiasi hicho cha pesa kilichotolewa na GGML ni kwa ajili ya ununuzi wa...