Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dkt. Kalemani awaagiza TANESCO kuongeza uzalishaiji wa umeme ifikapo mwishoni mwa Desemba 2015

PIX 1

Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani (kushoto) akimsikiliza Naibu Mkurugenzi Mtendaji Tanesco Bw.Decklan Mhaiki alipokuwa akimwonyesha mradi wa Kinyerezi I mara baada ya kuwasili katika kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi eneo la Kinyerezi jijini Dar es Salaam.

PIX 2

Meneja Mradi TANESCO Mhandisi Simon Jalima (wa pili kushoto) akimwonyesha  Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani (wa pili kulia) moja ya mtambo unaopokea gesi kutoka mtwara na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Dkt. Kalemani awaagiza Wakandarasi wa Umeme Vijijini kukamilisha miradi Machi 30

  Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard  Kalemani (wa pili kulia) akimsikiliza mmoja wa wananchi wanaozunguka mgodi wa dhahabu wa Busolwa mkoani Geita wakati alipofanya ziara katika mgodi huo ili kuangalia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika mgodi huo.Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard  Kalemani (wa tatu kulia) akiangalia baadhi ya mitambo inayotumika katika shughuli za uzalishaji dhahabu katika  mgodi wa Busolwa mkoani Geita wakati alipofanya ziara katika mgodi huo...

 

5 years ago

Michuzi

TANESCO KATENI UMEME KWA WADAIWA SUGU MUONGEZE MAPATO-WAZIRI KALEMANI

Vijana wakiendelea na kazi ya ujenzi katika kituo cha kupoza na kusambaza na umeme cha Zuzu jijini Dodoma, wakati wa ziara ya Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani na Wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya TANESCO ya kukagua ujenzi wa upanuzi wa kituo hicho Aprili 30,2020.



Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati) pamoja na Wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya TANESCO wakipata maelezo kutoka kwa msimamizi mkuu wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Zuzu jijini Dodoma, baada ya...

 

9 years ago

Michuzi

TANESCO KUONDOLEWA KATIKA UZALISHAJI UMEME, WIND EA KUANZA KUZALISHA MWISHONI 2017.

 Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli Mhandisi, Hosea Mbise akizungumza katika mkutano wa tatu wa wawekezaji na wadau wa nishati ya umeme ujulikanao kwa jina la  Powering Africa uliodhaminiwa na kampuni ya Wind East Africa. Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa kampuni ya Wind East Africa John Chaggama akifafanua jambo kuhusiana na uwekezaji wao wa Umeme wa Upepo uliopo mkoani Singida. Chaggama alisema mradi huo utatatua tatizo la nishati hiyo hapa nchini mara utakapoanza rasmi...

 

5 years ago

Michuzi

MENEJA TANESCO USIPOTIMIZA MALENGO JITOE NA TUTAKUCHUKULIA HATUA -DKT KALEMANI


Waziri wa Nishati,Dkt. Medard Kalemani( katikati) akizungumza na mwanakijiji wa Izunya,( kushoto) ambacho kikokaribu na miundombinu ya umeme ambapo aliigiza TANESCO, kupeleka umeme katika vijiji vya aina hii ambavyo vimepitia au vipo karibu na miundombinu ya umeme ambavyo havijafikiwa na REA, alipofanya fanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji wa umeme vijijini katika Wilaya za Nyang’hwale, Geita na Chato mkoani Geita.
Waziri wa Nishati,Dkt. Medard Kalemani ( kushoto) akizungumza...

 

5 years ago

Michuzi

DKT. KALEMANI HARIDHISHWI NA KASI NDOGO YA MATUMIZI YA UMEME TABORA

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akizungumza na Viongozi wa Kijiji cha Busomeke katika Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, alipofanya ziara ya kukagua shughuli za usambazaji umeme vjijini, Aprili 27, 2020.
Viongozi wa Kijiji cha Mizanza wilayani Igunga Mkoani Tabora wakimsikiliza Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani, hayupo pichani baada ya kufanya ziara kijijini hapo ya kukagua shughuli za usambazaji umeme vjijini, Aprili 27, 2020.

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani( kulia)...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI DKT KALEMANI ATAKA WANAOIBA UMEME WAKAMATWE NA KUWEKWA KOROKORONI




WAZIRI wa Nishati Dkt Medard Kalemani katika akikata utepe kuashiria kuwasha umeme kwenye Kijiji cha Kwasunga wilayani Korogwe wakati wa ziara yake katika wilaya za Lushoto,Handeni na Korogwe mkoani Tanga iliyokuwa inalenga kutembelea kwenye maeneo yanayofanyiwa kazi na wakandarasi kupitia mradi wa Rea awamu ya tatu unaoendelea ambao unatarajiwa kukamilika mwezi June mwaka huu kulia ni Meneja wa Tanesco wilaya ya Korogwe Mhandisi Peter Kanuti Magari

WAZIRI wa Nishati Dkt Medard Kalemani...

 

5 years ago

Michuzi

DKT KALEMANI AAGIZA KITUO CHA KUPOZA UMEME NYAKANAZI KIKAMILIKE NOVEMBA

 Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani (katikati), akiangalia mchoro wa ramani ya kituo cha kupoza umeme kinachojengwa Nyakanazi, wilayani Biharamulo alipotembelea eneo hilo Februari 25, kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi husika.
 Msimamizi wa Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupoza Umeme Nyakanazi, Mhandisi Elias Makunga (wa tatu-kulia), akifafanua jambo kwa Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani (kulia) kuhusu maendeleo ya mradi huo. Waziri alitembelea eneo hilo kujionea maendeleo yake,...

 

5 years ago

Michuzi

Dkt. Kalemani: Lipieni tujue idadi ya wateja tusambaze nguzo tuwawashie umeme!




Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ( kulia) akiwasha umeme katika Kijiji cha Bugwego Kata ya Bwongera, wilayani Chato mkoani Geita alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji umeme vijijini katika maeneo hayo, Mei 18,2020.
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani(kushoto),akizungumza na mmoja wa wakazi wa Kijiji cha Rusungwa Kata ya Nyamirembe,Wilayani Chato,mkoani Geita baada ya kuwasha umeme katika nyumba yake alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji umeme vijijini...

 

5 years ago

Michuzi

DKT KALEMANI AAGIZA VIJIJI 11 SINGIDA MASHARIKI KUWASHWA UMEME NDANI YA MWEZI MMOJA






Waziri wa Nishati Medard Kalemani akizungumza kabla ya kuwasha umeme katika vijiji vya Matare na Nkuhi vilivyopo jimbo la Singida Mashariki,kulia kwake ni Mbunge wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Edward Mpogolo.

Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Miraji Mtaturu akizungumza katika ziara ya Waziri wa Nishati Medard Kalemani jimboni humo.



Waziri wa Nishati Dkt.Medard Kalemani akitoa maagizo kwa wakandarasi wa umeme akiwa katika ziara wilayani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani