TANESCO KATENI UMEME KWA WADAIWA SUGU MUONGEZE MAPATO-WAZIRI KALEMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-kC3K11mrxDA/Xqw7iIzvy-I/AAAAAAALoyg/TL27FtiBEnwC1ZOnkh8Xv2c9H12y3gWpQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-3AA-768x512.jpg)
Vijana wakiendelea na kazi ya ujenzi katika kituo cha kupoza na kusambaza na umeme cha Zuzu jijini Dodoma, wakati wa ziara ya Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani na Wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya TANESCO ya kukagua ujenzi wa upanuzi wa kituo hicho Aprili 30,2020.
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati) pamoja na Wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya TANESCO wakipata maelezo kutoka kwa msimamizi mkuu wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Zuzu jijini Dodoma, baada ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Nov
CAG: Taasisi za SMZ wadaiwa sugu wa umeme
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Dkt. Kalemani awaagiza TANESCO kuongeza uzalishaiji wa umeme ifikapo mwishoni mwa Desemba 2015
Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani (kushoto) akimsikiliza Naibu Mkurugenzi Mtendaji Tanesco Bw.Decklan Mhaiki alipokuwa akimwonyesha mradi wa Kinyerezi I mara baada ya kuwasili katika kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi eneo la Kinyerezi jijini Dar es Salaam.
Meneja Mradi TANESCO Mhandisi Simon Jalima (wa pili kushoto) akimwonyesha Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani (wa pili kulia) moja ya mtambo unaopokea gesi kutoka mtwara na...
5 years ago
MichuziWAZIRI KALEMANI AWASHA UMEME MKALAMA Inbox x
5 years ago
MichuziWAZIRI DKT KALEMANI ATAKA WANAOIBA UMEME WAKAMATWE NA KUWEKWA KOROKORONI
WAZIRI wa Nishati Dkt Medard Kalemani katika akikata utepe kuashiria kuwasha umeme kwenye Kijiji cha Kwasunga wilayani Korogwe wakati wa ziara yake katika wilaya za Lushoto,Handeni na Korogwe mkoani Tanga iliyokuwa inalenga kutembelea kwenye maeneo yanayofanyiwa kazi na wakandarasi kupitia mradi wa Rea awamu ya tatu unaoendelea ambao unatarajiwa kukamilika mwezi June mwaka huu kulia ni Meneja wa Tanesco wilaya ya Korogwe Mhandisi Peter Kanuti Magari
WAZIRI wa Nishati Dkt Medard Kalemani...
5 years ago
MichuziDODOMA ITAKUWA NA UMEME MWINGI KUPITA MIKOA YOTE NCHINI – WAZIRI KALEMANI
Serikali kupitia Wizara ya Nishati, inakamilisha mradi mkubwa wa upanuzi wa kituo cha kupoza umeme kilichopo Zuzu Dodoma, ambacho baada ya kukamilika kitakuwa na uwezo wa megawati zaidi ya 600, hivyo kuongoza Tanzania nzima kwa wingi wa umeme.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, Februari 19, 2020 alipofanya ziara katika kituo hicho kujionea maendeleo ya utekelezaji wa mradi husika.
Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri amebainisha kuwa, kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qveNqmYyYik/XoszFLx0HhI/AAAAAAALmL0/oxvbcQssv_ERn9rNZmKpISDpPrMlofJQgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B1.50.06%2BPM.jpeg)
WAZIRI KALEMANI AFANYA ZIARA MRADI WA KUFUA UMEME WA JULIUS NYERERE MW 2115
Aidha Dkt Kalemani amemtaka mkandarasi wa mradi huo kuhakikisha anakarabati barabara zote za nje na ndani ya mradi ambazo zinatumika kupitisha mizigo inayoenda kwenye mradi,sambamba na kumtaka mkandarasi huyo kumaliza kazi...
5 years ago
MichuziWAZIRI KALEMANI ATOA NENO UAGIZWAJI VIFAA VYA UMEME NJE YA NCHI
Veronica Simba – Dar es Salaam
Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani amesisitiza msimamo wa serikali kutoruhusu uagizwaji nje ya nchi, vifaa vya umeme hususan mashine umba (transfoma) na nyaya na kwamba atakayebainika kukaidi agizo hilo atachukuliwa hatua kali za kisheria zinazohusiana na uhujumu uchumi.Alitoa msimamo huo jijini Dar es Salaam, Machi 12 mwaka huu, baada ya kutembelea kiwanda cha Europe Inc. Industries LTD (TROPICAL), kinachozalisha vifaa hivyo na kujiridhisha kuwa uwezo wake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R3reRAxCIxE/XsE5Wl_Q5fI/AAAAAAALqjs/g-HnTZwLydsn-yCvACUcAGOBZFuzYSX7wCLcBGAsYHQ/s72-c/4-1-2-768x494.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA WADAIWA SUGU KODI YA ARDHI KUBANWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-R3reRAxCIxE/XsE5Wl_Q5fI/AAAAAAALqjs/g-HnTZwLydsn-yCvACUcAGOBZFuzYSX7wCLcBGAsYHQ/s640/4-1-2-768x494.jpg)
Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Iringa (IRUWASA) Gilbert Kayange baada ya kumpatia taarifa inayoonesha kiasi cha kodi ya pango la ardhi inachodaiwa Mamlaka hiyo wakati wa zoezi lake la kuwafikia wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi katika mkoa wa Iringa tarehe 16 Mei 2020. (PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3-7.jpg)
Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimkabidhi...
9 years ago
MichuziZiara ya Dkt.Kalemani katika kituo cha uzalishaji umeme kwa kutumia Gesi Kinyerezi.