Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANESCO KATENI UMEME KWA WADAIWA SUGU MUONGEZE MAPATO-WAZIRI KALEMANI

Vijana wakiendelea na kazi ya ujenzi katika kituo cha kupoza na kusambaza na umeme cha Zuzu jijini Dodoma, wakati wa ziara ya Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani na Wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya TANESCO ya kukagua ujenzi wa upanuzi wa kituo hicho Aprili 30,2020.



Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati) pamoja na Wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya TANESCO wakipata maelezo kutoka kwa msimamizi mkuu wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Zuzu jijini Dodoma, baada ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

CAG: Taasisi za SMZ wadaiwa sugu wa umeme

Wakati Shirika la Umeme Tanzania Zanzibar likitangaza operesheni kata umeme kwa wananchi na wafanyabiashara wanaodaiwa, taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) zinadaiwa 13.6 bilioni, ikiwamo Ikulu ya Zanzibar, imefahamika.

 

9 years ago

Dewji Blog

Dkt. Kalemani awaagiza TANESCO kuongeza uzalishaiji wa umeme ifikapo mwishoni mwa Desemba 2015

PIX 1

Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani (kushoto) akimsikiliza Naibu Mkurugenzi Mtendaji Tanesco Bw.Decklan Mhaiki alipokuwa akimwonyesha mradi wa Kinyerezi I mara baada ya kuwasili katika kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi eneo la Kinyerezi jijini Dar es Salaam.

PIX 2

Meneja Mradi TANESCO Mhandisi Simon Jalima (wa pili kushoto) akimwonyesha  Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani (wa pili kulia) moja ya mtambo unaopokea gesi kutoka mtwara na...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KALEMANI AWASHA UMEME MKALAMA Inbox x

Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani amewasha umeme katika maeneo kadhaa ya Wilaya ya Mkalama mkoani Singida na kusisitiza viongozi wa wilaya, vijiji na vitongoji kutoa kipaumbele kwa taasisi za umma zilizo katika maeneo yao ili ziunganishiwe nishati hiyo muhimu. Akiwa katika ziara ya kazi wilayani humo, Aprili 19 mwaka huu, Dkt Kalemani alibainisha kuwa kipaumbele cha Serikali kupeleka umeme vijijini ni katika kuhakikisha taasisi zote za umma zinakuwa na umeme ili kuziwezesha kutoa huduma...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI DKT KALEMANI ATAKA WANAOIBA UMEME WAKAMATWE NA KUWEKWA KOROKORONI




WAZIRI wa Nishati Dkt Medard Kalemani katika akikata utepe kuashiria kuwasha umeme kwenye Kijiji cha Kwasunga wilayani Korogwe wakati wa ziara yake katika wilaya za Lushoto,Handeni na Korogwe mkoani Tanga iliyokuwa inalenga kutembelea kwenye maeneo yanayofanyiwa kazi na wakandarasi kupitia mradi wa Rea awamu ya tatu unaoendelea ambao unatarajiwa kukamilika mwezi June mwaka huu kulia ni Meneja wa Tanesco wilaya ya Korogwe Mhandisi Peter Kanuti Magari

WAZIRI wa Nishati Dkt Medard Kalemani...

 

5 years ago

Michuzi

DODOMA ITAKUWA NA UMEME MWINGI KUPITA MIKOA YOTE NCHINI – WAZIRI KALEMANI

Veronica Simba – Dodoma

Serikali kupitia Wizara ya Nishati, inakamilisha mradi mkubwa wa upanuzi wa kituo cha kupoza umeme kilichopo Zuzu Dodoma, ambacho baada ya kukamilika kitakuwa na uwezo wa megawati zaidi ya 600, hivyo kuongoza Tanzania nzima kwa wingi wa umeme.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, Februari 19, 2020 alipofanya ziara katika kituo hicho kujionea maendeleo ya utekelezaji wa mradi husika.
Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri amebainisha kuwa, kwa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KALEMANI AFANYA ZIARA MRADI WA KUFUA UMEME WA JULIUS NYERERE MW 2115

Na Farida Saidy MorogoroWAZIRI wa Nishati Dkt Medard Kalemani amefanya ziara katika mradi wa ujenzi wa bwawa la kufua umeme wa JULIUS NYERERE MW 2115 ambapo amekagua maeneo mbalimbali katika mradi huo na kuridhishwa na kazi inayofanywa na mkandarasi kwa hatua aliyofikia. 
Aidha Dkt Kalemani amemtaka mkandarasi wa mradi huo kuhakikisha anakarabati barabara zote za nje na ndani ya mradi ambazo zinatumika kupitisha mizigo inayoenda kwenye mradi,sambamba na kumtaka mkandarasi huyo kumaliza kazi...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KALEMANI ATOA NENO UAGIZWAJI VIFAA VYA UMEME NJE YA NCHI


Veronica Simba – Dar es Salaam
Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani amesisitiza msimamo wa serikali kutoruhusu uagizwaji nje ya nchi, vifaa vya umeme hususan mashine umba (transfoma) na nyaya na kwamba atakayebainika kukaidi agizo hilo atachukuliwa hatua kali za kisheria zinazohusiana na uhujumu uchumi.Alitoa msimamo huo jijini Dar es Salaam, Machi 12 mwaka huu, baada ya kutembelea kiwanda cha Europe Inc. Industries LTD (TROPICAL), kinachozalisha vifaa hivyo na kujiridhisha kuwa uwezo wake...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA WADAIWA SUGU KODI YA ARDHI KUBANWA



Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Iringa (IRUWASA) Gilbert Kayange baada ya kumpatia taarifa inayoonesha kiasi cha kodi ya pango la ardhi inachodaiwa Mamlaka hiyo wakati wa zoezi lake la kuwafikia wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi katika mkoa wa Iringa tarehe 16 Mei 2020. (PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)

Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimkabidhi...

 

9 years ago

Michuzi

Ziara ya Dkt.Kalemani katika kituo cha uzalishaji umeme kwa kutumia Gesi Kinyerezi.

Na Anitha Jonas –MAELEZO Wizara ya Nishati na Madini imewaagiza watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha uzalishaji wa umeme katika Mradi wa Kinyerezi I na Kinyerezi II unakamilika ifikapo mwezi Februari 2016 na kuanza kufanya uzalishaji ilikuongeza kiasi cha nishati ya umeme kufikia zaidi ya Megawati 100.  Agizo hilo lilitolewa leo na Naibu Waziri, Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani alipofanya ziara yake katika kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani