DODOMA ITAKUWA NA UMEME MWINGI KUPITA MIKOA YOTE NCHINI – WAZIRI KALEMANI
Veronica Simba – Dodoma
Serikali kupitia Wizara ya Nishati, inakamilisha mradi mkubwa wa upanuzi wa kituo cha kupoza umeme kilichopo Zuzu Dodoma, ambacho baada ya kukamilika kitakuwa na uwezo wa megawati zaidi ya 600, hivyo kuongoza Tanzania nzima kwa wingi wa umeme.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, Februari 19, 2020 alipofanya ziara katika kituo hicho kujionea maendeleo ya utekelezaji wa mradi husika.
Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri amebainisha kuwa, kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI KALEMANI AWASHA UMEME MKALAMA Inbox x
5 years ago
MichuziWAZIRI DKT KALEMANI ATAKA WANAOIBA UMEME WAKAMATWE NA KUWEKWA KOROKORONI
WAZIRI wa Nishati Dkt Medard Kalemani katika akikata utepe kuashiria kuwasha umeme kwenye Kijiji cha Kwasunga wilayani Korogwe wakati wa ziara yake katika wilaya za Lushoto,Handeni na Korogwe mkoani Tanga iliyokuwa inalenga kutembelea kwenye maeneo yanayofanyiwa kazi na wakandarasi kupitia mradi wa Rea awamu ya tatu unaoendelea ambao unatarajiwa kukamilika mwezi June mwaka huu kulia ni Meneja wa Tanesco wilaya ya Korogwe Mhandisi Peter Kanuti Magari
WAZIRI wa Nishati Dkt Medard Kalemani...
9 years ago
MichuziNEWZ ALERT:WAZIRI WA MALIASILI PROF. JUMANNE MAGHEMBE AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA MIPANGO WA WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) NA MAOFISA MISITU WA MIKOA YOTE NCHINI LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kC3K11mrxDA/Xqw7iIzvy-I/AAAAAAALoyg/TL27FtiBEnwC1ZOnkh8Xv2c9H12y3gWpQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-3AA-768x512.jpg)
TANESCO KATENI UMEME KWA WADAIWA SUGU MUONGEZE MAPATO-WAZIRI KALEMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-kC3K11mrxDA/Xqw7iIzvy-I/AAAAAAALoyg/TL27FtiBEnwC1ZOnkh8Xv2c9H12y3gWpQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-3AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-4AA-1024x682.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati) pamoja na Wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya TANESCO wakipata maelezo kutoka kwa msimamizi mkuu wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Zuzu jijini Dodoma, baada ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qveNqmYyYik/XoszFLx0HhI/AAAAAAALmL0/oxvbcQssv_ERn9rNZmKpISDpPrMlofJQgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B1.50.06%2BPM.jpeg)
WAZIRI KALEMANI AFANYA ZIARA MRADI WA KUFUA UMEME WA JULIUS NYERERE MW 2115
Aidha Dkt Kalemani amemtaka mkandarasi wa mradi huo kuhakikisha anakarabati barabara zote za nje na ndani ya mradi ambazo zinatumika kupitisha mizigo inayoenda kwenye mradi,sambamba na kumtaka mkandarasi huyo kumaliza kazi...
5 years ago
MichuziWAZIRI KALEMANI ATOA NENO UAGIZWAJI VIFAA VYA UMEME NJE YA NCHI
Veronica Simba – Dar es Salaam
Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani amesisitiza msimamo wa serikali kutoruhusu uagizwaji nje ya nchi, vifaa vya umeme hususan mashine umba (transfoma) na nyaya na kwamba atakayebainika kukaidi agizo hilo atachukuliwa hatua kali za kisheria zinazohusiana na uhujumu uchumi.Alitoa msimamo huo jijini Dar es Salaam, Machi 12 mwaka huu, baada ya kutembelea kiwanda cha Europe Inc. Industries LTD (TROPICAL), kinachozalisha vifaa hivyo na kujiridhisha kuwa uwezo wake...
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Waziri Maghembe asimamisha maofisa misitu wa mikoa yote
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-daHYSFyCyw0/XmpNIf44oVI/AAAAAAALi0k/VkQoG1rdIS4pvjeixHVmMJJDbkVU26qvwCLcBGAsYHQ/s72-c/TZ.jpg)
WAZIRI WA NISHATI DK.KALEMANI ASEMA TRANSFOMA ZA KVA 11 ZIPO ZA KUTOSHA NCHINI...ATOA NENO
![](https://1.bp.blogspot.com/-daHYSFyCyw0/XmpNIf44oVI/AAAAAAALi0k/VkQoG1rdIS4pvjeixHVmMJJDbkVU26qvwCLcBGAsYHQ/s400/TZ.jpg)
WAZIRI wa Nishati Dkt. Medard Kalemani amefanya ziara ya kikazi katika Kiwanda cha Tropical Industries kinachotengeneza nyaya na Transfoma kilichopo Mwenge jijini Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa ziara zake kuona uwezo wa viwanda vya ndani katika uzalishaji wa vifaa muhimu vya umeme.
Akizungumza akiwa kiwandani hapo Dk.Kalemani amesema kuwa mahitaji ya ndani ya transfoma kwa mwaka ni 21,000 na kiwanda cha Tropical kina uwezo wa kuzalisha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NeM-hAiJXxo/U-y7fBLZlsI/AAAAAAAF_oA/tWJVMhZMxQk/s72-c/sitta.jpg)
Katiba itakuwa ni ya Makundi yote - Mh. Sitta
![](http://2.bp.blogspot.com/-NeM-hAiJXxo/U-y7fBLZlsI/AAAAAAAF_oA/tWJVMhZMxQk/s1600/sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta amewahakikkishia Watanzania kwamba Katiba Mpya itakayopatikana itakuwa imezingatia matakwa ya makundi mbalimbali.
Mhe . Sitta aliyataja makundi hayo baadhi ya makundi hayo kuwa ni wafugaji, wakulima, wavuvi na wasanii.Huku akisema Katiba Mpya itakayopatikana itakuwa ni bora kuliko ya iliyopo sasa.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Mhe . Sitta wakati akizungumza na wafugaji wapato 44 kutoka mikoa mbalimbali,ambao...