Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Maghembe asimamisha maofisa misitu wa mikoa yote

Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi Endelevu ya Rasilimali za Misitu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Mohammed Kilongo na maofisa wa misitu wa mikoa nchi nzima kupisha uchunguzi wa upotevu wa mapato ya Serikali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT:WAZIRI WA MALIASILI PROF. JUMANNE MAGHEMBE AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA MIPANGO WA WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) NA MAOFISA MISITU WA MIKOA YOTE NCHINI LEO

Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akizungumza katika kikao na Idara ya Misitu na Nyuki pamoja na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika ukumbi wa Ngorongoro Makao Makuu wa Wizara hiyo Mpingo House Jijini Dar es Salaam leo tarehe 05 Januari, 2015. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Meja Jenerali Gaudence Milanzi.Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akizungumza katika kikao na Idara ya Misitu na Nyuki pamoja na Wakala wa Huduma za...

 

5 years ago

Michuzi

DODOMA ITAKUWA NA UMEME MWINGI KUPITA MIKOA YOTE NCHINI – WAZIRI KALEMANI

Veronica Simba – Dodoma

Serikali kupitia Wizara ya Nishati, inakamilisha mradi mkubwa wa upanuzi wa kituo cha kupoza umeme kilichopo Zuzu Dodoma, ambacho baada ya kukamilika kitakuwa na uwezo wa megawati zaidi ya 600, hivyo kuongoza Tanzania nzima kwa wingi wa umeme.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, Februari 19, 2020 alipofanya ziara katika kituo hicho kujionea maendeleo ya utekelezaji wa mradi husika.
Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri amebainisha kuwa, kwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Panga lingine limemkuta Mkurugenzi pamoja na maofisa misitu wote..

Siku moja tu baada ya Waziri wa Mwigulu Nchemba kuwasimamisha baadhi ya watumishi kwa ubadhirifu huko Pwani, headlines zimerudi tena katika Wizara ya Maliasili na utalii baada ya Waziri Prof. Jumanne Maghembe kuwasimamisha maofisa misitu. Waziri Maghembe leo ametangaza kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa mipango na matumizi endelevu ya rasilimali za Misitu Mohamed Kilongo na maofisa […]

The post Panga lingine limemkuta Mkurugenzi pamoja na maofisa misitu wote.. appeared first on...

 

9 years ago

Habarileo

Sendeka: Magufuli anakubalika mikoa yote

MJUMBE wa Kamati ya Kampeni wa CCM, Christopher ole Sendeka, amesema mikoa yote ambako wamezunguka, wamejihakikishia kuwa mgombea wa chama chao, Dk John Magufuli anakubalika zaidi kuliko mgombea wa Ukawa, Edward Lowassa.

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama za Rufaa kujengwa mikoa yote

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muunngano wa Tanzania Mohamed Chande Othuman.MAHAKAMA ya Tanzania inatarajia kujenga Mahakama za Rufani katika mikoa yote nchini ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za utendaji wa haki kwa wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Bawacha sasa kuzunguka mikoa yote

Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema, (Bawacha), Halima Mdee amesema baraza hilo litafanya ziara nchi nzima kuwaeleza wananchi namna Rasimu ya Katiba ilivyochakachuliwa na Wajumbe wa Bunge Maalumu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mgomo wa maderva: Kizazaa mikoa yote

Wananchi waliokuwa wamepanga kusafiri kutoka mikoa mbalimbali, jana walijikuta kwenye hali ngumu baada ya mabasi kushindwa kuondoka kama ilivyokuwa imepangwa kutokana na mgomo wa madereva ulioendeshwa nchi nzima kwa takriban saa tisa kabla ya Serikali kuingilia kati.

 

5 years ago

Michuzi

MAJUKWAA YA HAKI JINAI YA MIKOA YOTE YAZINDULIWA KITAIFA SINGIDA

 Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi aliyesimama akizindua Jukwaa la Haki Jinai Mkoa wa Singida. Kushoto ni Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP) Nchini, Biswalo Mganga na kulia in Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Angerina Lutambi  Picha ya pamoja  baina ya Mkrugenzi wa Mashitaka,(DPP) Biswalo Mganga mwenye suti , Mkuu wa Mkoa wa Singida (mwwnye kilemba) anayefuata Dkt.Angelina Lutambi  Katibu Tawala Mkoa wa Singida na wajumbe wa Jukwaa la Haki Jinai Mkoa wa Singida Mara baada ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Makamba atunzwa kwao apata wadhamini kuliko mikoa yote aliyopita

Mh January Makamba alikua katika mkoa wa Tanga alipokulia na kuzaliwa, wakazi wengi wa Tanga Walijitokeza Kumpokea kwa Shangwe nyingi.

Wananchi wa mkoa wa Tanga wamejitokeza watu wengi kumdhamini kuliko mikoa yote aliyopita ambapo jumla ya watu 15,043 wamejitokeza kwenye ofisi kuu za Chama cha Mapinduzi CCM mkoani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini wa fomu kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015……Fuatilia matukio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani