Waziri Maghembe asimamisha maofisa misitu wa mikoa yote
Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi Endelevu ya Rasilimali za Misitu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Mohammed Kilongo na maofisa wa misitu wa mikoa nchi nzima kupisha uchunguzi wa upotevu wa mapato ya Serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNEWZ ALERT:WAZIRI WA MALIASILI PROF. JUMANNE MAGHEMBE AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA MIPANGO WA WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) NA MAOFISA MISITU WA MIKOA YOTE NCHINI LEO
5 years ago
MichuziDODOMA ITAKUWA NA UMEME MWINGI KUPITA MIKOA YOTE NCHINI – WAZIRI KALEMANI
Serikali kupitia Wizara ya Nishati, inakamilisha mradi mkubwa wa upanuzi wa kituo cha kupoza umeme kilichopo Zuzu Dodoma, ambacho baada ya kukamilika kitakuwa na uwezo wa megawati zaidi ya 600, hivyo kuongoza Tanzania nzima kwa wingi wa umeme.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, Februari 19, 2020 alipofanya ziara katika kituo hicho kujionea maendeleo ya utekelezaji wa mradi husika.
Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri amebainisha kuwa, kwa...
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Panga lingine limemkuta Mkurugenzi pamoja na maofisa misitu wote..
Siku moja tu baada ya Waziri wa Mwigulu Nchemba kuwasimamisha baadhi ya watumishi kwa ubadhirifu huko Pwani, headlines zimerudi tena katika Wizara ya Maliasili na utalii baada ya Waziri Prof. Jumanne Maghembe kuwasimamisha maofisa misitu. Waziri Maghembe leo ametangaza kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa mipango na matumizi endelevu ya rasilimali za Misitu Mohamed Kilongo na maofisa […]
The post Panga lingine limemkuta Mkurugenzi pamoja na maofisa misitu wote.. appeared first on...
9 years ago
Habarileo11 Oct
Sendeka: Magufuli anakubalika mikoa yote
MJUMBE wa Kamati ya Kampeni wa CCM, Christopher ole Sendeka, amesema mikoa yote ambako wamezunguka, wamejihakikishia kuwa mgombea wa chama chao, Dk John Magufuli anakubalika zaidi kuliko mgombea wa Ukawa, Edward Lowassa.
10 years ago
Habarileo04 Feb
Mahakama za Rufaa kujengwa mikoa yote
MAHAKAMA ya Tanzania inatarajia kujenga Mahakama za Rufani katika mikoa yote nchini ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za utendaji wa haki kwa wananchi.
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Bawacha sasa kuzunguka mikoa yote
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Mgomo wa maderva: Kizazaa mikoa yote
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5DE5ch8fIg4/XllfcGjIcaI/AAAAAAAAf5c/W55KNpfZuIAZcry3rPihZSlEyALrLjcwwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200228-WA0015.jpg)
MAJUKWAA YA HAKI JINAI YA MIKOA YOTE YAZINDULIWA KITAIFA SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5DE5ch8fIg4/XllfcGjIcaI/AAAAAAAAf5c/W55KNpfZuIAZcry3rPihZSlEyALrLjcwwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200228-WA0015.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bCw5Uj4VB28/XllfcX94qmI/AAAAAAAAf5g/eCe_A9Ec27wEDbdgm_NfEn8R9ouGxKyVwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200228-WA0016.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Makamba atunzwa kwao apata wadhamini kuliko mikoa yote aliyopita
Mh January Makamba alikua katika mkoa wa Tanga alipokulia na kuzaliwa, wakazi wengi wa Tanga Walijitokeza Kumpokea kwa Shangwe nyingi.
Wananchi wa mkoa wa Tanga wamejitokeza watu wengi kumdhamini kuliko mikoa yote aliyopita ambapo jumla ya watu 15,043 wamejitokeza kwenye ofisi kuu za Chama cha Mapinduzi CCM mkoani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini wa fomu kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015……Fuatilia matukio...