Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJUKWAA YA HAKI JINAI YA MIKOA YOTE YAZINDULIWA KITAIFA SINGIDA

 Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi aliyesimama akizindua Jukwaa la Haki Jinai Mkoa wa Singida. Kushoto ni Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP) Nchini, Biswalo Mganga na kulia in Katibu Tawala Mkoa wa Singida Dkt. Angerina Lutambi  Picha ya pamoja  baina ya Mkrugenzi wa Mashitaka,(DPP) Biswalo Mganga mwenye suti , Mkuu wa Mkoa wa Singida (mwwnye kilemba) anayefuata Dkt.Angelina Lutambi  Katibu Tawala Mkoa wa Singida na wajumbe wa Jukwaa la Haki Jinai Mkoa wa Singida Mara baada ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA MCHEZO WA DATS YAZINDULIWA MKOANI MOROGORO KITAIFA, MIKOA TISA KUSHIRIKI


 Mwenyekiti wa chama cha Dats Tanzania Gesase Waigama akiongea wakati wa ufunguzi wa mashindano ya mchazo huo unaoshirikisha mikoa  ya Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Kilimanjaro, Kagera, Arusha na wenyeji wao Morogogoro ambapo katika mashindano hayo yaliodhaminiwa na bia aina ya Safari mshindi wa kwanza atatoka na kitita cha shilingi 600,000 hapo kesho.

 Baadhi ya washiriki wa mchezo huo wakifanya mazoezi kabla ya kuanza kwa shindano hilo linalofanyika katika ukumbi wa Magunila ...

 

5 years ago

Michuzi

RC SINGIDA AWATAKA WAJUMBE WA JUKWAA LA HAKI JINAI KUFANYA KAZI KWA UMOJA NA UZALENDO


Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Bw. Biswalo Mganga (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa Mahakama na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (kushoto kwake) baada ya kuzindua Jukwaa la Haki Jinai hivi karibuni.
Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), Bw. Biswalo Mganga (kushoto) akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi, baada ya kuzindua Jukwaa la Haki Jinai hivi karibuni.


Na Ismail Luhamba, Singida


AKIWA kwenye ziara ya kikazi mkoani Singida...

 

10 years ago

Dewji Blog

SEMA Singida kutumia Milioni 80 kuwapiga msasa waratibu wa elimu mikoa ya Singida na Dodoma

DSC04523

Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Singida, Aziza Mumba, akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za maji, elimu na usafi wa mazingira shuleni yaliyohudhuriwa na waratibu kata na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida. Kulia ni Meneja wa SEMA, Ivo  Manyanku na Kushoto ni mwenyekiti wa mafunzo hayo.

DSC04526

Baadhi ya waratibu na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida,waliohudhuria  mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za...

 

10 years ago

Mwananchi

Bawacha sasa kuzunguka mikoa yote

Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema, (Bawacha), Halima Mdee amesema baraza hilo litafanya ziara nchi nzima kuwaeleza wananchi namna Rasimu ya Katiba ilivyochakachuliwa na Wajumbe wa Bunge Maalumu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mgomo wa maderva: Kizazaa mikoa yote

Wananchi waliokuwa wamepanga kusafiri kutoka mikoa mbalimbali, jana walijikuta kwenye hali ngumu baada ya mabasi kushindwa kuondoka kama ilivyokuwa imepangwa kutokana na mgomo wa madereva ulioendeshwa nchi nzima kwa takriban saa tisa kabla ya Serikali kuingilia kati.

 

9 years ago

Habarileo

Sendeka: Magufuli anakubalika mikoa yote

MJUMBE wa Kamati ya Kampeni wa CCM, Christopher ole Sendeka, amesema mikoa yote ambako wamezunguka, wamejihakikishia kuwa mgombea wa chama chao, Dk John Magufuli anakubalika zaidi kuliko mgombea wa Ukawa, Edward Lowassa.

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama za Rufaa kujengwa mikoa yote

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muunngano wa Tanzania Mohamed Chande Othuman.MAHAKAMA ya Tanzania inatarajia kujenga Mahakama za Rufani katika mikoa yote nchini ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za utendaji wa haki kwa wananchi.

 

10 years ago

GPL

MASHINDANO YA COPA COCA COLA KITAIFA YAZINDULIWA LEO

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo,Dkt Fenela Mukangara akihutubia wanamichezo …. Mkangara akiteta jambo na Rais wa TFF Jamali Malinzi.…

 

9 years ago

Mwananchi

Waziri Maghembe asimamisha maofisa misitu wa mikoa yote

Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi Endelevu ya Rasilimali za Misitu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Mohammed Kilongo na maofisa wa misitu wa mikoa nchi nzima kupisha uchunguzi wa upotevu wa mapato ya Serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani