WAZIRI WA NISHATI DK.KALEMANI ASEMA TRANSFOMA ZA KVA 11 ZIPO ZA KUTOSHA NCHINI...ATOA NENO
![](https://1.bp.blogspot.com/-daHYSFyCyw0/XmpNIf44oVI/AAAAAAALi0k/VkQoG1rdIS4pvjeixHVmMJJDbkVU26qvwCLcBGAsYHQ/s72-c/TZ.jpg)
Na Mwandishi Wetu,Michuzi Blogu ya jamii
WAZIRI wa Nishati Dkt. Medard Kalemani amefanya ziara ya kikazi katika Kiwanda cha Tropical Industries kinachotengeneza nyaya na Transfoma kilichopo Mwenge jijini Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa ziara zake kuona uwezo wa viwanda vya ndani katika uzalishaji wa vifaa muhimu vya umeme.
Akizungumza akiwa kiwandani hapo Dk.Kalemani amesema kuwa mahitaji ya ndani ya transfoma kwa mwaka ni 21,000 na kiwanda cha Tropical kina uwezo wa kuzalisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI KALEMANI ATOA NENO UAGIZWAJI VIFAA VYA UMEME NJE YA NCHI
Veronica Simba – Dar es Salaam
Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani amesisitiza msimamo wa serikali kutoruhusu uagizwaji nje ya nchi, vifaa vya umeme hususan mashine umba (transfoma) na nyaya na kwamba atakayebainika kukaidi agizo hilo atachukuliwa hatua kali za kisheria zinazohusiana na uhujumu uchumi.Alitoa msimamo huo jijini Dar es Salaam, Machi 12 mwaka huu, baada ya kutembelea kiwanda cha Europe Inc. Industries LTD (TROPICAL), kinachozalisha vifaa hivyo na kujiridhisha kuwa uwezo wake...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI GEORGE SIMBACHAWENE AFUNGUA MKUTANO WA KUJADILI NISHATI ENDELEVU NCHINI KWA WOTE
5 years ago
MichuziDODOMA ITAKUWA NA UMEME MWINGI KUPITA MIKOA YOTE NCHINI – WAZIRI KALEMANI
Serikali kupitia Wizara ya Nishati, inakamilisha mradi mkubwa wa upanuzi wa kituo cha kupoza umeme kilichopo Zuzu Dodoma, ambacho baada ya kukamilika kitakuwa na uwezo wa megawati zaidi ya 600, hivyo kuongoza Tanzania nzima kwa wingi wa umeme.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, Februari 19, 2020 alipofanya ziara katika kituo hicho kujionea maendeleo ya utekelezaji wa mradi husika.
Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri amebainisha kuwa, kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ml0Wpxba5Kc/XoS0jOJrPkI/AAAAAAALlzs/9ye1ZJ2G4nszgXpPn6ImTmiGNgfeS8JQACLcBGAsYHQ/s72-c/RG1A1518.jpg)
WAZIRI MKUU ATOA NENO KWA VIONGOZI VYA VYAMA VYA SIASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ml0Wpxba5Kc/XoS0jOJrPkI/AAAAAAALlzs/9ye1ZJ2G4nszgXpPn6ImTmiGNgfeS8JQACLcBGAsYHQ/s400/RG1A1518.jpg)
“Hivyo basi, tudumishe utulivu, amani, mshikamano pamoja na ustaarabu wetu wa Kitanzania katika kipindi chote cha kampeni na Uchaguzi Mkuu ili kulifanya Taifa letu kuendelea kuwa kisiwa cha amani na mfano wa kuigwa barani Afrika na duniani kwa ujumla.”
Waziri Mkuu...
10 years ago
GPLTEGETA ESCROW: WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF. MUHONGO ATOA UTETEZI WA SERIKALI BUNGENI
5 years ago
MichuziBAJETI YA FEDHA ZAIDI YA DOLA MILIONI 94 YAPITISHWA JUMUIYA YA SADC, MAWAZIRI WAWEKA MKAKATI KUKABILI CORONA...WAZIRI PROF. KABUDI ATOA NENO
JUMUIYA ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika(SADC)imepitisha bajeti ya fedha ya Dola za Marekani milioni 94,913,815 kwa mwaka 2020/ 2021.
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari baada ya kikao cha Baraza la Mawaziri wa Jumuiya hiyo Katibu Mtendaji wa Jumuiya hiyo Dk.Stergomena Tac amesema fedha hizo zitatumika kwenye masuala mbalimbali yanayohusu Jumuiya.
"Pamoja na ajenda mbalimbali ambazo zimejadiliwa ,pia Jumuiya imepitisha bajeti ya fedha kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I1hhVllTsTU/VOYJU2U8HVI/AAAAAAAHEls/HWsaHwWA1cQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Waziri wa Nishati na Madini akutana na Balozi wa Marekani nchini
Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress na Ujumbe wake, wamekutana na Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachewene, katika makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini jijini Dar es Salaam.
Viongozi hao walikutana ili kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo miradi ya umeme inayofadhiliwa na Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC), mradi mkubwa wa umeme unaofadhiliwa na nchi ya Marekani ujulikanao kama Umeme Afrika (Power Africa) pamoja na suala la kuwajengea...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4At9nqfj84M/U_MxpFe5xPI/AAAAAAAGAu0/nvJsr5Wb7YI/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4At9nqfj84M/U_MxpFe5xPI/AAAAAAAGAu0/nvJsr5Wb7YI/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TyEGQwC1Gr4/U_Mxos3VtcI/AAAAAAAGAuo/NSAe-ZAafBs/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ud2VexquSjc/U_MxpFnC-PI/AAAAAAAGAus/bae1d8bravo/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0dv8wiBhgsg/Xud1lHqFXeI/AAAAAAALt5U/IcV7ONRg6iMe6_U_YGNPaL3Ca-UCe4zaQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B4.14.46%2BPM.jpeg)
DK KALEMANI ATOA ONYO KWA WAFANYABIASHARA WATAKAOPANDISHA BEI YA MAFUTA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0dv8wiBhgsg/Xud1lHqFXeI/AAAAAAALt5U/IcV7ONRg6iMe6_U_YGNPaL3Ca-UCe4zaQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B4.14.46%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-N1jRYo7UY6o/Xud1mN9Mt5I/AAAAAAALt5c/cc2SecC2ueAhZMA0F2v3b4LaqCBGwxDhwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B4.15.32%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVSERIKALI imetoa onyo kali kwa wafanyabiashara wa mafuta watakaokaidi maagizo yake kwa kuuza mafuta kwa bei kubwa tofauti na bei elekezi...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10