Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CAG: Taasisi za SMZ wadaiwa sugu wa umeme

Wakati Shirika la Umeme Tanzania Zanzibar likitangaza operesheni kata umeme kwa wananchi na wafanyabiashara wanaodaiwa, taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) zinadaiwa 13.6 bilioni, ikiwamo Ikulu ya Zanzibar, imefahamika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TANESCO KATENI UMEME KWA WADAIWA SUGU MUONGEZE MAPATO-WAZIRI KALEMANI

Vijana wakiendelea na kazi ya ujenzi katika kituo cha kupoza na kusambaza na umeme cha Zuzu jijini Dodoma, wakati wa ziara ya Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani na Wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya TANESCO ya kukagua ujenzi wa upanuzi wa kituo hicho Aprili 30,2020.



Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati) pamoja na Wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya TANESCO wakipata maelezo kutoka kwa msimamizi mkuu wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Zuzu jijini Dodoma, baada ya...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wadaiwa sugu wa ardhiwafikishwa mahakamani


NA RACHEL KYALA
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imezifikisha mahakamani kampuni 11 ambazo ni wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi.
Miongoni  mwa kampuni hizo zinadaiwa ni S.H Amon, Highland Estate na Costix Limited  ambazo zinadaiwa sh. milioni 80.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba, Wilaya ya Ilala, Yose Mlyambina, alisema malalamiko dhidi ya kampuni na watu binafsi 120, yaliwasilishwa katika baraza hilo na Kamishna wa Ardhi, Dk. Moses...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wataka wadaiwa sugu wasakwe


Na Ahmed Makongo, Bunda
WADAU wa pamba katika wilaya ya Bunda, wamepitisha azimio la kuwasaka wakulima wanaodaiwa na kampuni zinazonunua zao hilo na kuwekeza katika kilimo cha mkataba wilayani hapa.
Azimio hilo lilipitishwa jana baada ya wadau hao kubaini kwamba wakulima wengi waliokopeshwa pembejeo na dawa za kunyunyizia pamba wilayani hapa, wanadaiwa mamilioni ya fedha.
Wadau hao wakiongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda, Demunicus Lusasi, walipitisha azimio hilo katika kikao...

 

10 years ago

Mwananchi

Dawasco: Tumeikabidhi Serikali wadaiwa Sugu

Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasco), imekabidhi kwa Wizara ya Maji wadaiwa sugu 12 wa huduma ya maji kwa ajili ya kuchukuliwa hatua.

 

11 years ago

Mwananchi

Dawasco yataja wadaiwa sugu wa Sh40 bilioni

Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), imesema inawadai wateja sugu Sh40 bilioni huku ikiwataka kulipa madeni hayo ili kunusuru utendaji wake.

 

9 years ago

StarTV

Mfumo mpya wa kuwatambua na Kudhibiti Wadaiwa Sugu Wa Mikopo wazinduliwa

Taasisi za Fedha Nchini zimeshauriwa kujiunga na mfumo mpya wa upatikanaji taarifa za wahitaji wa mikopo katika   benki mbalimbali ili kuweza kudhibiti vitendo vya baadhi ya wananchi kutolipa kwa wakati ama kutolipa kabisa.

Mfumo huo ujulikanao kama Credit Scoring Tool utaziwezesha benki kuongeza mapato kutokana na uhakika wa urudishwaji mikopo kutoka kwa wateja na utasaidia kuongeza ufanisi wa utoaji wa mikopo kwa muda mfupi tofauti na mfumo wa zamani.

 

Taarifa zinaonyesha kuwa baadhi ya...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA WADAIWA SUGU KODI YA ARDHI KUBANWA



Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Iringa (IRUWASA) Gilbert Kayange baada ya kumpatia taarifa inayoonesha kiasi cha kodi ya pango la ardhi inachodaiwa Mamlaka hiyo wakati wa zoezi lake la kuwafikia wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi katika mkoa wa Iringa tarehe 16 Mei 2020. (PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)

Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimkabidhi...

 

10 years ago

Habarileo

Shein: SMZ itaendelea kusambaza umeme

Dk SheinRAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amezindua mradi wa umeme katika kijiji cha Dongongwe Mkoa wa Kusini Unguja na kusema serikali ina wajibu wa kupeleka kwa wananchi huduma bora za kijamii, kiuchumi na maendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani