Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfumo mpya wa kuwatambua na Kudhibiti Wadaiwa Sugu Wa Mikopo wazinduliwa

Taasisi za Fedha Nchini zimeshauriwa kujiunga na mfumo mpya wa upatikanaji taarifa za wahitaji wa mikopo katika   benki mbalimbali ili kuweza kudhibiti vitendo vya baadhi ya wananchi kutolipa kwa wakati ama kutolipa kabisa.

Mfumo huo ujulikanao kama Credit Scoring Tool utaziwezesha benki kuongeza mapato kutokana na uhakika wa urudishwaji mikopo kutoka kwa wateja na utasaidia kuongeza ufanisi wa utoaji wa mikopo kwa muda mfupi tofauti na mfumo wa zamani.

 

Taarifa zinaonyesha kuwa baadhi ya...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NMB YAZINDUA MFUMO WA KISASA WA UTUNZAJI WA TAARIFA ZA MIKOPO, WATEJA SASA KUPATA MIKOPO NDANI YA SIKU 4.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB's) na kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kutoka NMB kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 kutokana na taarifa zao za mikopo kuendelea kuwepo kwenye mfumo wa Benki hiyo.Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Benki ya NMB yazindua mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa mikopo, wateja sasa kupata mikopo ndani ya siku 4

NMB-1

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB’s) kwa lengo la kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 .

NMB -2

Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari (hawapo...

 

11 years ago

Michuzi

MAKARANI 90 WA MAHAKAMA MBALIMBALI NCHINI KUPEWA MAFUNZO YA KUJIFUNZA MFUMO MPYA WA TEKNOLOJIA WA KUDHIBITI MASHAURI MAHAKAMANI KWA NJIA YA KOMPYUTA

    Mhe. Hussein Kattanga, Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, akifungua mafunzo hayo rasmi jana, katika maneno yake ya ufunguzi Kattanga amewaasa Makarani kutokufanya kazi kwa mazoea bali kufanya kulingana na misingi ya maadili ya Mahakama iliyopo lengo likiwa ni kubadili taswira ya Mahakama kwa wananchi, (kushoto) ni Msajili wa Mahakama ya Ardhi, Mhe. Lameck Mlacha, kulia ni Naibu Mkurugenzi Mafunzo, Bi. Rehema Vyas.

 Mmoja wa Makarani kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam,...

 

11 years ago

Habarileo

Mradi kudhibiti saratani ya shingo ya kizazi wazinduliwa

ONGEZEKO la ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi limeelezwa kufukuzia kasi ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi (VVU) mkoani Iringa. Katika kukabiliana na ongezeko hilo, Shirika la T-Marc Tanzania limekuja na mradi wa miezi 18 wa kuzuia na kudhibiti saratani ya shingo ya kizazi mkoani Iringa.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wataka wadaiwa sugu wasakwe


Na Ahmed Makongo, Bunda
WADAU wa pamba katika wilaya ya Bunda, wamepitisha azimio la kuwasaka wakulima wanaodaiwa na kampuni zinazonunua zao hilo na kuwekeza katika kilimo cha mkataba wilayani hapa.
Azimio hilo lilipitishwa jana baada ya wadau hao kubaini kwamba wakulima wengi waliokopeshwa pembejeo na dawa za kunyunyizia pamba wilayani hapa, wanadaiwa mamilioni ya fedha.
Wadau hao wakiongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda, Demunicus Lusasi, walipitisha azimio hilo katika kikao...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wadaiwa sugu wa ardhiwafikishwa mahakamani


NA RACHEL KYALA
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imezifikisha mahakamani kampuni 11 ambazo ni wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi.
Miongoni  mwa kampuni hizo zinadaiwa ni S.H Amon, Highland Estate na Costix Limited  ambazo zinadaiwa sh. milioni 80.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba, Wilaya ya Ilala, Yose Mlyambina, alisema malalamiko dhidi ya kampuni na watu binafsi 120, yaliwasilishwa katika baraza hilo na Kamishna wa Ardhi, Dk. Moses...

 

10 years ago

Mwananchi

Dawasco: Tumeikabidhi Serikali wadaiwa Sugu

Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasco), imekabidhi kwa Wizara ya Maji wadaiwa sugu 12 wa huduma ya maji kwa ajili ya kuchukuliwa hatua.

 

10 years ago

Mwananchi

CAG: Taasisi za SMZ wadaiwa sugu wa umeme

Wakati Shirika la Umeme Tanzania Zanzibar likitangaza operesheni kata umeme kwa wananchi na wafanyabiashara wanaodaiwa, taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) zinadaiwa 13.6 bilioni, ikiwamo Ikulu ya Zanzibar, imefahamika.

 

11 years ago

Mwananchi

Dawasco yataja wadaiwa sugu wa Sh40 bilioni

Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), imesema inawadai wateja sugu Sh40 bilioni huku ikiwataka kulipa madeni hayo ili kunusuru utendaji wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani