Mfumo mpya wa kuwatambua na Kudhibiti Wadaiwa Sugu Wa Mikopo wazinduliwa
Taasisi za Fedha Nchini zimeshauriwa kujiunga na mfumo mpya wa upatikanaji taarifa za wahitaji wa mikopo katika benki mbalimbali ili kuweza kudhibiti vitendo vya baadhi ya wananchi kutolipa kwa wakati ama kutolipa kabisa.
Mfumo huo ujulikanao kama Credit Scoring Tool utaziwezesha benki kuongeza mapato kutokana na uhakika wa urudishwaji mikopo kutoka kwa wateja na utasaidia kuongeza ufanisi wa utoaji wa mikopo kwa muda mfupi tofauti na mfumo wa zamani.
Taarifa zinaonyesha kuwa baadhi ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-69WSTnko-r0/VnFB0CxtBNI/AAAAAAAApO8/HPDS0ghFDi4/s72-c/NMB-1.jpg)
NMB YAZINDUA MFUMO WA KISASA WA UTUNZAJI WA TAARIFA ZA MIKOPO, WATEJA SASA KUPATA MIKOPO NDANI YA SIKU 4.
![](http://4.bp.blogspot.com/-69WSTnko-r0/VnFB0CxtBNI/AAAAAAAApO8/HPDS0ghFDi4/s640/NMB-1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--9b5tR4SWeA/VnFCKG-pU9I/AAAAAAAApPQ/1hskTdNVBKs/s640/NMB%2B-2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Benki ya NMB yazindua mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa mikopo, wateja sasa kupata mikopo ndani ya siku 4
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB’s) kwa lengo la kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 .
Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari (hawapo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Zl1L2gW_yHo/UxBcZE_VppI/AAAAAAAFQP4/7F0GaA89EhI/s72-c/unnamed+(28).jpg)
MAKARANI 90 WA MAHAKAMA MBALIMBALI NCHINI KUPEWA MAFUNZO YA KUJIFUNZA MFUMO MPYA WA TEKNOLOJIA WA KUDHIBITI MASHAURI MAHAKAMANI KWA NJIA YA KOMPYUTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zl1L2gW_yHo/UxBcZE_VppI/AAAAAAAFQP4/7F0GaA89EhI/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rCGQeO2cQgk/UxBccYMJotI/AAAAAAAFQQA/6Bh6aB98ff8/s1600/unnamed+(29).jpg)
11 years ago
Habarileo26 Mar
Mradi kudhibiti saratani ya shingo ya kizazi wazinduliwa
ONGEZEKO la ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi limeelezwa kufukuzia kasi ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi (VVU) mkoani Iringa. Katika kukabiliana na ongezeko hilo, Shirika la T-Marc Tanzania limekuja na mradi wa miezi 18 wa kuzuia na kudhibiti saratani ya shingo ya kizazi mkoani Iringa.
10 years ago
Uhuru Newspaper28 Aug
Wataka wadaiwa sugu wasakwe
Na Ahmed Makongo, Bunda
WADAU wa pamba katika wilaya ya Bunda, wamepitisha azimio la kuwasaka wakulima wanaodaiwa na kampuni zinazonunua zao hilo na kuwekeza katika kilimo cha mkataba wilayani hapa.
Azimio hilo lilipitishwa jana baada ya wadau hao kubaini kwamba wakulima wengi waliokopeshwa pembejeo na dawa za kunyunyizia pamba wilayani hapa, wanadaiwa mamilioni ya fedha.
Wadau hao wakiongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda, Demunicus Lusasi, walipitisha azimio hilo katika kikao...
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Wadaiwa sugu wa ardhiwafikishwa mahakamani
NA RACHEL KYALA
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imezifikisha mahakamani kampuni 11 ambazo ni wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi.
Miongoni mwa kampuni hizo zinadaiwa ni S.H Amon, Highland Estate na Costix Limited ambazo zinadaiwa sh. milioni 80.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba, Wilaya ya Ilala, Yose Mlyambina, alisema malalamiko dhidi ya kampuni na watu binafsi 120, yaliwasilishwa katika baraza hilo na Kamishna wa Ardhi, Dk. Moses...
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Dawasco: Tumeikabidhi Serikali wadaiwa Sugu
10 years ago
Mwananchi04 Nov
CAG: Taasisi za SMZ wadaiwa sugu wa umeme
11 years ago
Mwananchi12 Jan
Dawasco yataja wadaiwa sugu wa Sh40 bilioni