Shein: SMZ itaendelea kusambaza umeme
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amezindua mradi wa umeme katika kijiji cha Dongongwe Mkoa wa Kusini Unguja na kusema serikali ina wajibu wa kupeleka kwa wananchi huduma bora za kijamii, kiuchumi na maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Sh14bilioni kusambaza umeme
10 years ago
Habarileo17 Jan
Mradi wa kusambaza umeme Kipawa wahujumiwa
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limepata hasara ya Sh milioni 200 baada ya watu wasiofahamika kuhujumu kwa kuiba nyaya 25 katika mradi wa kituo cha kusambaza umeme cha Kipawa jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Akon kusambaza umeme Kibera Kenya
Rais Uhuru Kenyatta akiwa kwenye mazungumzo na msanii Akon kwenye Ikulu yake jijini Nairobi.(Picha zote kwa hisani ya ukurasa wa Facebook wa Rais Uhuru Kenyatta).
Na Mwandishi wetu
Mwanamuziki nyota wa R&B kutoka Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon amekutana na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na kufanya mazungumzo nae juu ya mpango kusambaza umeme katika eneo la Kibera na sehemu nyingine za vijijini zisizokuwa na nishati hiyo.
Mpango huo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wake wenye lengo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q0n_3sJXlmc/Xu44Ktg6RWI/AAAAAAALuxs/FlrK3U_EylYCRSVUxPOOes5IIHKH4-UAwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC4342-2048x1689.jpg)
SERIKALI ITAENDELEA KUHAKIKISHA HALI YA AMANI NA UTULIVU-RAIS DKT.ALI SHEIN
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q0n_3sJXlmc/Xu44Ktg6RWI/AAAAAAALuxs/FlrK3U_EylYCRSVUxPOOes5IIHKH4-UAwCLcBGAsYHQ/s640/DSC4342-2048x1689.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC4345-1-scaled.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar kabla yac kulivunja rasmin leo katika ukumbi wa mkutano Chukwani Jijinin Zanzibar.(Picha na Ikulu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC4635-scaled.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Jun
Kinana akiri kuridhishwa na kasi ya kusambaza umeme
SERIKALI imepongezwa kwa kasi yake kubwa ya kusambaza umeme vijijini.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dqMvG5PIThg/VV89LNxP0mI/AAAAAAAHZOE/v2ezYwA1PUI/s72-c/unnamed.jpg)
REA YAENDELEA KUSAMBAZA UMEME VIJIJI VILIVYOBAKI
WAKALA wa nishati vijijini (REA) inaendelea kusambaza umeme katika vijiji vilivyobaki kwa awamu, kupitia mradi kabambe wa umeme vijijini ambao umelenga kuweka umeme maeneo ambayo yalikuwa mbali na huduma hiyo.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA), Edmund Mkwawa wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Mkwawa amesema kuwa mradi huo umeweza kutoa mafunzo na kuwajenga wajasiliamali...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
CAG: Taasisi za SMZ wadaiwa sugu wa umeme
9 years ago
StarTV05 Jan
Kampuni ya SPENCON yatakiwa kukamilisha kusambaza Umeme Mei 31
Kampuni ya SPENCON Serikali imeitaka Kampuni ya SPENCON nchini Kenya iliyopewa zabuni ya kusambaza umeme katika vijiji 90 vya mkoa wa Singida kuhakikisha kuwa inakamilisha shughuli hiyo kabla ya Mei 31 mwaka huu vinginevyo itachukuliwa hatua kulingana na sheria za mikataba.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dokta Medard Kalemani ametoa agizo hilo wakati akikagua mradi huo uliogharimu dola za kimarekani milioni 20.
Amebaini kuwa licha ya mkandarasi huyo kuwa nyuma ya mkataba kwa miezi minne...
10 years ago
MichuziSerikali yajipanga kutumia nguzo za zege kusambaza umeme