Serikali yajipanga kutumia nguzo za zege kusambaza umeme
Wataalam wa Sekta ya Umeme kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamoja na Shirika la Umeme nchini (Tanesco), wakiongozwa na Kamishna Msaidizi wa Umeme Mhandisi Innocent Luoga (wa kwanza kushoto), wakiwa katika mazungumzo na wawakilishi wa Kampuni ya Sunshine Group Ltd (Kulia). Mazungumzo yalifanyika hivi karibuni Makao Makuu ya Wizara, jijini Dar es Salaam na yalihusu uanzishwaji wa Kiwanda cha kutengeneza nguzo za umeme za zege kwa ajili ya kusambaza umeme nchini.
Ujumbe kutoka Kampuni ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hNecO4POOik/VnE8PLMfgFI/AAAAAAAIMtA/J7nPGSrE_-w/s72-c/Untitledc1.png)
Serikali kuanza kutumia Nguzo za Zege Utoaji Tenda uzingatie sifa stahiki: Chambo
Hayo yalielezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo alipokutana na Ujumbe kutoka Ujerumani Ofisini kwake hivi karibuni jijini Dar...
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Nguzo za zege kuleta neema ya umeme
UPATIKANAJI wa umeme nchini umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu hali inayorudisha nyuma maendeleo. Tatizo hilo la upatikanaji wa umeme linatokana na miundombinu duni toka uhuru wa Tanzania Bara hadi...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Serikali yajipanga kukabiliana na Wizi wa Umeme Nchini!
Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo pichani)mapema leo jijini Dar es Salaam kuhusu mpango wa Serikali wa kuunda kikosi maalum cha kukabiliana na tatizo la wizi wa umeme na kuimarisha ukaguzi ili kubaini wateja wasio waaminifu na kuwachukulia hatua za kisheria. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa. (Picha na Fatma Salum- Maelezo)
Na. Fatma Salum – MAELEZO
Serikali inatarajia kuunda kikosi maalum...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uiEfxR1DPfk/VLA5Dw6XYSI/AAAAAAAG8VY/lxc3VNKLhb0/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APATA MAPOKEZI MAKUBWA WILAYANI KISHAPU MKOANI SHINYANGA. AITWA “MZEE WA NGUZO” NA KUKABIDHIWA ZAWADI KWA KUSAMBAZA UMEME KWA KASI KUBWA WILAYANI HUMO
![](http://4.bp.blogspot.com/-uiEfxR1DPfk/VLA5Dw6XYSI/AAAAAAAG8VY/lxc3VNKLhb0/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2EUDvqIPqk0/VLA5EENpUWI/AAAAAAAG8Vw/O6DCoOihWWY/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SpqID-27gnA/VLA5EUBwhVI/AAAAAAAG8Vo/az4eL8wG2wk/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Mvua yaangusha nguzo 35 za umeme
MVUA iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo ikiambatana na kimbunga, imeangusha nguzo 35 za Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kusababisha ukosefu wa umeme kwa wilaya za Handeni na Kilindi, mkoani...
11 years ago
GPLNGUZO YA UMEME YADONDOKEA NYUMBA MKWAJUNI KINONDONI
11 years ago
GPLNGUZO ZA UMEME ZILIZOKAA KIHATARI KATIKA MITAA YA DAR
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Sh14bilioni kusambaza umeme
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QEK8-Bk_bIY/U_cUrCiMNzI/AAAAAAACn2Q/udJqeJK73eQ/s72-c/1.jpg)
Umeme wa uhakika ndiyo nguzo ya maendeleo ya uchumi nchini — IPTL
![](http://4.bp.blogspot.com/-QEK8-Bk_bIY/U_cUrCiMNzI/AAAAAAACn2Q/udJqeJK73eQ/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pXWbG8ksrqk/U_cUtFa72MI/AAAAAAACn2c/yS4Lt7JfRE4/s1600/4.jpg)