Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nguzo za zege kuleta neema ya umeme

UPATIKANAJI wa umeme nchini umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu hali inayorudisha nyuma maendeleo. Tatizo hilo la upatikanaji wa umeme linatokana na miundombinu duni toka uhuru wa Tanzania Bara hadi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Serikali yajipanga kutumia nguzo za zege kusambaza umeme

Wataalam wa Sekta ya Umeme kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamoja na Shirika la Umeme nchini (Tanesco), wakiongozwa na Kamishna Msaidizi wa Umeme Mhandisi Innocent Luoga (wa kwanza kushoto), wakiwa katika mazungumzo na wawakilishi wa Kampuni ya Sunshine Group Ltd (Kulia). Mazungumzo yalifanyika hivi karibuni Makao Makuu ya Wizara, jijini Dar es Salaam na yalihusu uanzishwaji wa Kiwanda cha kutengeneza nguzo za umeme za zege kwa ajili ya kusambaza umeme nchini.Ujumbe kutoka Kampuni ya...

 

9 years ago

Michuzi

Serikali kuanza kutumia Nguzo za Zege Utoaji Tenda uzingatie sifa stahiki: Chambo

Wizara ya Nishati na Madini kupitia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) iko mbioni kuanza kutumia Nguzo za kusambazia Umeme za Zege ili kuondokana na nguzo za miti ambazo zina changamoto kadhaa ikiwa ni pamoja na kuvunjika, kuoza kwa kuliwa na wadudu na kuanguka hivyo kusababisha usumbufu kwa wananchi kukosa huduma muhimu ya umeme.
Hayo yalielezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo alipokutana na Ujumbe kutoka Ujerumani Ofisini kwake hivi karibuni jijini Dar...

 

11 years ago

Habarileo

Bilionea Dangote kuleta neema Tanzania

Mfanyabishara maarufu wa Nigeria, Aliko Dangote akizungumza na Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya TSN, Gabriel Nderumaki (wapili kulia), Mhariri Mtendaji wa Uhuru Publications, Joseph Kulangwa (wapili kushoto) na Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Nurdin Abdallah Mangochi (kulia) jijini Dar es Salaam jana. (Na Mpigapicha Wetu).KAMPUNI ya Dangote Group inayomilikiwa na bilionea kutoka Nigeria, imetangaza neema itakayotokana na uwekezaji wa kiwanda cha saruji unaofanyika mkoani Mtwara, miongoni mwake ikiwa ni kupungua kwa bei ya saruji uzalishaji utakapoanza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kongamano Kanda ya Ziwa kuleta neema kiuwekezaji

KILA nchi kwa njia zake huwa inajitahidi kuweka sera madhubuti ili kuhakikisha uwekezaji unafanyika na kuongeza pato la taifa na la mtu mmoja mmoja. Kutokana na kugundua hilo, Kituo cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mvua yaangusha nguzo 35 za umeme

MVUA iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo ikiambatana na kimbunga, imeangusha nguzo 35 za Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kusababisha ukosefu wa umeme kwa wilaya za Handeni na Kilindi, mkoani...

 

5 years ago

Michuzi

MPANGO WA ‘BLUE PRINT’ UMEANZA KULETA NEEMA YA KIUCHUMI KWA WAFANYABIASHARA

Na Ismail Ngayonga,MAELEZO-DAR ES SALAAM
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR -TAMISEMI) inatekeleza Mpango wa wa Uboreshaji wa Mazingira ya Biashara (BLUE PRINT) unaolenga kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji kwa Njia ya Majadiliano ili kuwainua Wananchi Kiuchumi.
Mpango huo unatekelezwa ili ili kukabiliana na changamoto za kibiashara na uwekezaji hususani zinazokwamisha kukua kwa biashara na maendeleo ya kiuchumi katika ngazi ya chini na wananchi wanaojishughulisha...

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua zatarajiwa kuleta neema ya mavuno kwa nchi za Afrika Mashariki

Uzalishaji wa chakula Ukanda wa Nchi za Afrika Mashariki, unatarajiwa kuongezeka msimu wa kilimo wa 2014/2015, hivyo kupunguza soko la mazao ya chakula yanayozalishwa nchini.

 

11 years ago

GPL

NGUZO YA UMEME YADONDOKEA NYUMBA MKWAJUNI KINONDONI

Nguzo ya umeme ikiwa juu ya paa baada ya kuanguka leo huko Mkwajuni, Kinondoni. Mkazi wa jijini akipita jirani na nguzo hiyo iliyoanguka. Nguzo inavyoonekana kwa…

 

11 years ago

GPL

NGUZO ZA UMEME ZILIZOKAA KIHATARI KATIKA MITAA YA DAR

  Nguzo ya umeme ambayo imeinama kihatari maeneo ya Mbagala-Rangi Tatu japokuwa shirika la umeme nchini, Tanesco, halina habari na wapita njia wa eneo hilo pia hawakuwa na wasiwasi na jambo hilo. Nguzo ya taa za barabarani ikiwa imeinamia barabarani eneo la Msasani, jambo…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani