Nguzo za zege kuleta neema ya umeme
UPATIKANAJI wa umeme nchini umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu hali inayorudisha nyuma maendeleo. Tatizo hilo la upatikanaji wa umeme linatokana na miundombinu duni toka uhuru wa Tanzania Bara hadi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSerikali yajipanga kutumia nguzo za zege kusambaza umeme
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hNecO4POOik/VnE8PLMfgFI/AAAAAAAIMtA/J7nPGSrE_-w/s72-c/Untitledc1.png)
Serikali kuanza kutumia Nguzo za Zege Utoaji Tenda uzingatie sifa stahiki: Chambo
Hayo yalielezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo alipokutana na Ujumbe kutoka Ujerumani Ofisini kwake hivi karibuni jijini Dar...
11 years ago
Habarileo24 Jun
Bilionea Dangote kuleta neema Tanzania
KAMPUNI ya Dangote Group inayomilikiwa na bilionea kutoka Nigeria, imetangaza neema itakayotokana na uwekezaji wa kiwanda cha saruji unaofanyika mkoani Mtwara, miongoni mwake ikiwa ni kupungua kwa bei ya saruji uzalishaji utakapoanza.
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Kongamano Kanda ya Ziwa kuleta neema kiuwekezaji
KILA nchi kwa njia zake huwa inajitahidi kuweka sera madhubuti ili kuhakikisha uwekezaji unafanyika na kuongeza pato la taifa na la mtu mmoja mmoja. Kutokana na kugundua hilo, Kituo cha...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Mvua yaangusha nguzo 35 za umeme
MVUA iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo ikiambatana na kimbunga, imeangusha nguzo 35 za Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kusababisha ukosefu wa umeme kwa wilaya za Handeni na Kilindi, mkoani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZB4ZxU03WM8/XsO-wz1AhdI/AAAAAAALqwU/sW0iFv72qXgedceftkcg2IS95wwIL_5uACLcBGAsYHQ/s72-c/Waziri-wa-Tamisemi-Seleman-Jafo.jpg)
MPANGO WA ‘BLUE PRINT’ UMEANZA KULETA NEEMA YA KIUCHUMI KWA WAFANYABIASHARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZB4ZxU03WM8/XsO-wz1AhdI/AAAAAAALqwU/sW0iFv72qXgedceftkcg2IS95wwIL_5uACLcBGAsYHQ/s320/Waziri-wa-Tamisemi-Seleman-Jafo.jpg)
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR -TAMISEMI) inatekeleza Mpango wa wa Uboreshaji wa Mazingira ya Biashara (BLUE PRINT) unaolenga kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji kwa Njia ya Majadiliano ili kuwainua Wananchi Kiuchumi.
Mpango huo unatekelezwa ili ili kukabiliana na changamoto za kibiashara na uwekezaji hususani zinazokwamisha kukua kwa biashara na maendeleo ya kiuchumi katika ngazi ya chini na wananchi wanaojishughulisha...
11 years ago
Mwananchi11 May
Mvua zatarajiwa kuleta neema ya mavuno kwa nchi za Afrika Mashariki
11 years ago
GPLNGUZO YA UMEME YADONDOKEA NYUMBA MKWAJUNI KINONDONI
11 years ago
GPLNGUZO ZA UMEME ZILIZOKAA KIHATARI KATIKA MITAA YA DAR